serikali

  1. Superbug

    Muda muafaka wa kujengea kaburi ni upi? Sheria za serikali kuhusu kumiliki kaburi zinasemaje?

    Wazee wenzangu Good morning! Naomba mnifahamishe muda mzuri wa kujengea kaburi baada ya ndugu kufariki. Naomba mnijuze sheria za serikali za kumiliki kaburi zinasemaje in case wakitaka kuyahamisha. Na je, muda maalumu wa kumaliza msiba ni lini ukipita mwaka mmoja hamjamaliza msiba, yaani 40...
  2. A

    Serikali italipa lini malimbizo ya mshahara?

    Naiuliza tu hii Serikali italipa lini malimbikizo ya mishahara ya walimu? Kuna awamu mbili ya madai ya malimbikizo ya mishahara ya walimu,kuna waliopanda daraja 2018 na 2019 hatujalipwa hadi leo hii. Kwa upande wangu ninadai shilingi laki nane. Kiasi hicho cha pesa kwa kada yangu hii ya uwalimu...
  3. A

    Serikali ya CCM inahofia nini ACT Wazalendo?

    Tarehe 14 Julai, siku moja baada ya picha za Bernard Membe kuwa na viongozi wakuu wa ACT Wazalendo kusambaa mitandaoni, msajili wa vyama vya siasa aliwaandiki barua viongozi wa chama kukusudia kukichulia hachua chama hiko kwa kile msajili anachokiita ukiukwaji wa sheria ya vyama vya siasa...
  4. M

    Itaje hapa shule ya Msingi ya Serikali inayotoa elimu kwa lugha ya kiingereza (English medium) iliyopo mkoani kwako

    Habari zenu wanabodi, Kuna watu wengi hawafahamu kama serikali inazo shule zake za msingi za mitaala ya kiingereza (English medium) kwa gharama nafuu, Tusaidiane kufahamu majina na zilipo kwa kila eneo/mkoa hizi shule. Naanza 1. Olympio - Dar Es Salaam 2. Diamond - Dar Es Salaam 3. Magufuli -...
  5. Daisy Llilies

    Mtanzania aishutumu Serikali ya UK

    Immigrant to sue the UK for £11 million - for making him UNHAPPY By Nick Fagge for the Daily Mail 12:54 17 Jun 2012, updated 02:01 18 Jun 2012 An immigrant is suing the Government for £11million for making him unhappy after he and his family were ordered to leave the country. In what appears...
  6. YEHODAYA

    GE2020 CHADEMA isihangaike na Urais imeweka wagombea asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania, hawawezi shinda au kuunda Serikali

    CHADEMA isihangaike na uraisi imeweka wagombea ubunge asilimia tano tu ya majimbo yote ya Tanzania hawawezi shinda au kuunda serikali. CHADEMA walioomba kuteuliwa na chama kugombea ubunge wameomba majimbo asilimia tano tu ya mnajimbo yote ya uchaguzi Tanzania, asilimia 95 ya majimbo hakuna...
  7. YEHODAYA

    Robot lapewa Uraia na Serikali ya Saudi Arabia

    Wakati watu huhangaika kupata Uraia Serikali ya Saudi Arabia imelipa Uraia li Robot linalojulikana kama Sofia. Hilo hapo
  8. Miss Zomboko

    Serikali: Familia ya Majuto na Kanumba wameshalipwa fedha walizokuwa wanadai kutokana na kazi zao walipokuwa hai

    Serikali imesema kuwa imeokoa na kurejesha mamilioni ya fedha kwa familia za marehemu Mzee Majuto pamoja na familia ya marehemu Steven Kanumba kupitia mikataba ya kazi walioingia wakiwa hai. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi...
  9. M

    Mnachokifanya MTUWASA ni kuhujumu kazi bora ya Serikali awamu ya tano

    Tangu serikali iamue kupeleka miradi ya maji ya vijiji kwa mtuwasa Mtwara vijiji tunapata taabu sana. Miradi ambayo siku zote ilikuwa inaenda vizuri siku hizi ni kero sana. Mfano mradi wa kata ya naumbu tangu uchukuliwe umekuwa haupati maji kwa hali ipasavyo. Maji yetu ambayo hupampiwa na...
  10. M

    Shura ya Maimamu yautambua waraka uliosomwa na sheikh Ponda kuwa ni waraka halali wa Taasisi hiyo

    Siku tatu baada ya kukamatwa na kushikiliwa kwa Katibu wa Shura ya Maimamu nchini Tanzania Sheikh Ponda Issa Ponda, hatima ya kupata dhamana yake bado haijulikani, amesema msemaji wa Shura ya Maimamu. Sheikh Ponda alikamatwa siku ya Jumapili baada yakuzungumza na waandishi wa habari juu ya...
  11. Jidu La Mabambasi

    Janga la mafuriko Ziwa Victoria: Mbona Serikali iko kimya?

    Heavy Rains, Human Activity, and Rising Waters at Lake Victoria Water levels in Africa’s largest lake have risen over a meter since last fall and continue to increase as land use changes and heavy rains enhance the flow. Heavy Rains, Human Activity, and Rising Waters at Lake Victoria - Eos...
  12. Miss Zomboko

    Serikali: Mechi ya Simba na Yanga imeonesha elimu zaidi bado inahitajika kuhusu CoronaVirus

    SERIKALI imesema changamoto ya kupeana nafasi kwa mashabiki walioingia uwanjani katika mchezo wa Simba na Yanga inaashiria elimu zaidi inahitaji ili kuchukua tahadhari ya janga la maambukizi ya virusi vya corona viwanjani. Katika mchezo huo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam...
  13. Meneja Wa Makampuni

    Ni mradi upi ungerudisha mtaji wa uwekezaji kwa TPDC?

    Mada: Ni mradi upi ungerudisha mtaji wa uwekezaji kwa TPDC kwa haraka zaidi Habari za leo wa kuu, Mimi ni kijana wenu, leo nimekuja na mada hii yenye tija kwa taifa. Taifa letu linayo gesi asilia ambayo, ina matumizi mengi 1. Gesi asilia inatumika kupikia majumbani 2. Gesi asilia inatumika...
  14. Miss Zomboko

    Mgonjwa wa 1 wa Corona apanga kuishtaki Serikali akidai fidia kwa picha yake kuwekwa kwenye mitandao ya kijamii

    Osma Shariff, mtu wa kwanza kuthibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya corona (covid-19) nchini Kenya katika Kaunti ya Isiolo, amepanga kuiburuza Mahakamani Serikali ya Kaunti hiyo akiidai fidia ya Sh.25 milioni za Kenya. Shariff mwenye umri wa miaka 62, amesema kuwa alipata matatizo makubwa...
  15. Zegota

    Ni huduma gani uliyopata kutoka Taasisi ya Umma/Binafsi kinyume na matarajio ikakustajabisha?

    Nakumbuka ilikuwa mwaka jana, Ndugu yangu mmoja alikuwa amemaliza kidato cha sita na alikuwa huko sitimbi. Akanipigia simu ili nimsaidie upatikanaji wa cheti chake cha kuzaliwa ili aombe mkopo baada ya matokeo kutoka kama vigezo vilivyokuwa vimeainishwa. Nikawazamia RITA, nikajaza fomu zao kwa...
  16. YEHODAYA

    Rasta ateuliwa Mwanasheria Mkuu wa Malawi aapishwa, baadhi ya maneno kwenye kiapo agoma kuyatamka. Jaji amsainisha kiapo. Je, ni sahihi kisheria?

    Rastafarian ateuliwa na Raisi mpya Mchungaji Chikwera kuwa mwanashria mkuu wa serikali ya Malawi aapishwa kwa Biblia watu wamshangaa huyo Rasta akiapa kwa Biblia. Maneno mengine kwenye kiapo anayeapa agoma kuyatamka Jaji muapishaji ajikausha na kupotezea ni kituko fulani hivi Wanasheria...
  17. B

    Serikali yasaini mikataba ya Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko (112.3km) Jijini Dodoma

    11 Julai 2020 Dodoma, Tanzania Serikali yasaini mikataba ya Ujenzi wa Barabara ya Mzunguko (112.3km) Jijini Dodoma Imewekwa Tarehe: July 10th, 2020 Serikali leo imetia saini mikataba miwili ya kuanza rasmi kwa ujenzi wa Barabara ya lami ya njia nne ya Mzunguko (Outer Ring Road) ndani ya...
  18. assadsyria3

    Kwanini Askofu Bagonza hakamatwi ila Sheikh Ponda? Tunaomba Serikali itoe ufafanuzi

    Askofu Bagonza amekuwa akiikosoa Serikali waziwazi na mara ya mwisho amehamasisha watu wavae nguo nyeupe maarufu kama 7/7 na Polisi kuzuia maandamano siku hio lakini alietoa tamko hajakamatwa. Namna masuala yanavoshughulikiwa ndipo dhana mbaya hujegeka. Au kwa kwa sababu yeye ni Askofu hawezi...
  19. Wakulonga

    Kuvaa barakoa kwenye Ofisi za Serikali lazima?

    Habari Wanajamvi, Ndugu zangu naomba kuuliza hivi kuvaa barakoa kwenye ofisi za serikali ni lazima? Maana jana mke wangu alimpeleka mtoto clinic walikataaa kumhudumia mtoto kisa mama mtu hakuvaa barokoa Sasa hawa watu Hawaendi kinyume na Mh. Rais maana Mh Rais ameshasema kuvaa barakoa isiwe...
  20. T

    Serikali iajiri walimu wa sekondari na msingi, hali ni tete mashuleni

    Kwa heshima na taadhima naomba kuhufahamisha umma changamoto mbalimbali tunazopitia mashuleni nahisi kama serikali haijui au na kama inajua na imeamua kukaa kimya hali mashuleni mbaya sasa hivi vipindi vinamalizika mashuleni saa 11 mpaka 12. Kwa hiyo mwalimu au waalimu tuna toil kinyama bora...
Back
Top Bottom