selukeng'e
Member
- May 11, 2015
- 10
- 24
Kwa wakazi wa Toangoma Kongowe Mkuranga Vikindu na hata abiria wanaotokea Dar kwenda Lindi, Mtwara, Songea na masasi watakuwa wameshakutana na kero ya kipande cha barabara kutoka Mbagala hadi Kongowe ambapo Barabara ni nyembamba sana
Kero ya barabara hii hutokea pale mlima wa Kokoto ambapo ikitokea gari ikaharibikaa magari mengine huziba njia na kusababisha foleni kubwa mno aidha huwa haipiti wiki bila adha hii kutokea
Jana kwa mfano abiria tulitembea kwa mguu kwa umbali mrefu sana
Nashauri wahusikaa watafute ufumbuzi wa kipande hiki kwa masirahi ya nchi ukizingatia kwamba kwa sasa viwanda vingi vipo mkuranga na pia ndiyo njia kuu ya mikoa ya kusini nawasilisha
Kero ya barabara hii hutokea pale mlima wa Kokoto ambapo ikitokea gari ikaharibikaa magari mengine huziba njia na kusababisha foleni kubwa mno aidha huwa haipiti wiki bila adha hii kutokea
Jana kwa mfano abiria tulitembea kwa mguu kwa umbali mrefu sana
Nashauri wahusikaa watafute ufumbuzi wa kipande hiki kwa masirahi ya nchi ukizingatia kwamba kwa sasa viwanda vingi vipo mkuranga na pia ndiyo njia kuu ya mikoa ya kusini nawasilisha