Habari Mbaya: Mkurugenzi wa Meatu achomewa nyumba yake, yote yateketea

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Mkurugenzi wa Meatu mkoani Simiyu amechomewa nyumba yake usiku wa kuamkia leo.

Nyumba yote imechomwa na vitu vyote vilivyomo ndani.

RPC wa Simiyu, ACP Richard Abwao amesema kwenye nyumba alikuwepo mdogo wake na Mkurugenzi Fabian Manonza ndiye aliona moshi ndani na kibaya zaidi gesi nayo ikalipuka.

Mdogo wake na Mkurugenzi ndiye alitoa taarifa kwa askari Polisi waliokuwa kwa Mkuu wa Wilaya.

Kulikuwa na gari karibu na ukuta ambao ulikuwa unawaka moto, Polisi walichukua maamuzi ya kuvunja kioo ili kuondoa handbrake ya gari ,bahati nzuri ufunguo ukapatikana na kuiokoa gari.

Nyumba yote imeteketea na moto. Timu ya Polisi na jeshi la Zimamoto na uokoaji na TANESCO wanaendelea na uchunguzi ili kujua chanzo cha moto huo.

RPC amesema ni mapema kulihusisha tukio hilo na mambo mengine.

Mkurugenzi Fabian Manonza amenukuliwa akisema kuna hujuma sababu inaonekana petrol ilimwagwa kabla ya nyumba kuchomwa. Yeye hakuwepo muda huo nyumba inachomwa.

MY TAKE:
Polisi ifanye jitihaza za kuleta Utulivu Nchini sababu nchi yetu ni kisiwa cha Amani. Iwachukulie hatua wote waliohusika.
 
Hizi ndio mambo CHADEMA wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
 
Hizi ndio mambo CDM wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Wala hatufarahi kabisa kama ambavyo hatufurahi hawa wakurugenzi wakishiriki kuingiza kura feki kwenye masanduku ya kura.
 
Nimeshuhudia Kijiji kimoja mkoani Rukwa watu wamegawana soko dogo pale Kijijini. Kulia wànauza na kununua CCM peke yao, Kushoto CHADEMA na ACT.

Naungana na wewe kuwaomba Polisi kwa kutumia falsafa yao ya polisi jamii warejeshe umoja na utangamano miongoni mwa Watanzania maana wengine wanajali madaraka tu.
 
Nimeshuhudia Kijiji kimoja mkoani Rukwa watu wamegawana soko dogo pale Kijijini. Kulia wànauza na kununua CCM peke yao, Kushoto CHADEMA na ACT. Naungana na wewe kuwaomba Polisi kwa kutumia falsafa yao ya polisi jamii warejeshe umoja na utangamano miongoni mwa Watanzania maana wengine wanajali madaraka tu.
Soko gani? Lipo Kijiji gani? Elezea kwa urefu ili tuifuatilie. Kwanini Wanafanya hivyo?
 
Hizi ndio mambo CDM wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
CCM mkisikia wapemba wanapigwa risasi ndio furaha yenu.
 
Hizi ndio mambo Chadema wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Pole sana mwathirika wa tukio hili, naomba ulizi utolewe kwa wakurugenzi wote nchini,kama sababu ni uchaguzi basi wote inapaswa kuwaongezea ulinzi!
 
Hizi ndio mambo Chadema wanafurahia, wakisikia vurugu roho wao kwatu, wakisikia kuna watanzania wamepata matatizo Mtwara huko kwa kuuliwa wao roho kwatu, wakisikia MKIRU wenyekiti wa vijiji wameuliwa wao roho kwatu, huu upambuvu ni kuendelea kuushughulikia bila huruma, Tz inahitaji vyama mbadala ila sio wapinga maendeleo.
Ndo demokrasia usipanic, nyie mlipofurahia dhuluma hakuna aliyewasumbua, kwa hiyo hata wao wakifurahia kuchomwa moto kwa Msimamizi wa uchaguzi feki ni haki yao.
 
Back
Top Bottom