NEC yatangaza Uchaguzi mdogo kwenye Kata tatu

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,444
7,804
Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyike wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.

NEC 1.jpg

NEC 2.jpg
 
Tume ya Taifa ya uchaguzi(NEC) imetangaza uchuzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyika wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.

View attachment 1626034
View attachment 1626035
Ni jambo jema!

Huko waachiwe CHADEMA nao waambulie kidogo!
 
Uhuni uliotokea uchaguzi wa juzi, sioni tena Watanzania kwa wingi wao kujitokeza kupiga kura, kuanzia sasa na kuendelea. CCM watajitokeza, nao ni kwa uchache sana maana wao ni wafaidika wa huo wizi.
 
Uhuni uliotokea uchaguzi wa juzi, sioni tena Watanzania kwa wingi wao kujitokeza kupiga kura, kuanzia sasa na kuendelea. CCM watajitokeza, nao ni kwa uchache sana maana wao ni wafaidika wa huo wizi.
Nakwambia hata CCM wenyewe hawataenda labda tu wale wachache wenye masilahi.
 
Tume ya Taifa ya uchaguzi(NEC) imetangaza uchuzi mdogo katika kata tatu za Nyahanga iliyopo mji wa Kahama mkoani Shinyanga, Igumbilo iliyopo Halmashauri ya manispaa ya Iringa mkoani Iringa na Kibosho kati ilipo halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.

Kata husika zinafanya uchaguzi mdogo kutokana na sababu mbalimbali zilizosababisha uchaguzi usifanyika wakati wa uchaguzi mkuu Octoba 28, 2020.

View attachment 1626034
View attachment 1626035
Pitisheni CCM. Hakuna chama Cha upinzani kitakachochukua fomu. Hakuna watu wa kupoteza muda
 
Nakwambia hata CCM wenyewe hawataenda labda tu wale wachache wenye masilahi..

Kabisa, halafu hili jambo la kutokupiga kura litadumu kwa muda mrefu, hadi mfumo wa kupiga kura ubadilike ikiwemo kupatikana tume huru. Madhara yake ni kuwa na viongozi wasio na ridhaa ya umma, ambayo itapelekea viongozi kukosa support ya umma, hivyo watatengeneza sheria kandamizi ili kuufanya umma kuwakubali kwa shuruti.

Nakumbuka mtendaji wetu aliyepatikana kwa ule uchaguzi fake wa SM aliitisha kikao mwezi wa saba, watu walijitokeza wachache sana mpaka ikabidi kikao kiahirishwe. Nasikia anaongea kwa jazba kuwa, kama watu hawajitokezi yeye hajali ataendelea na shughuli zake, hao wananchi wakawasikilize CHADEMA kama wana uhalali. Kwa sasa hili Bunge litapoteza mvuto kabisa kama ilivyo TBC1 na gazeti la Uhuru. Watajaribu kufanya hoja za kulazimisha kuvuta watu, lakini sioni wakipata mvuto huo.
 
Kabisa, halafu hili jambo la kutokupiga kura litadumu kwa muda mrefu, hadi mfumo wa kupiga kura ubadilike ikiwemo kupatikana tume huru. Madhara yake ni kuwa na viongozi wasio na ridhaa ya umma, ambayo itapelekea viongozi kukosa support ya umma, hivyo watatengeneza sheria kandamizi ili kuufanya umma kuwakubali kwa shuruti.

Nakumbuka mtendaji wetu aliyepatikana kwa ule uchaguzi fake wa SM aliitisha kikao mwezi wa saba, watu walijitokeza wachache sana mpaka ikabidi kikao kiahirishwe. Nasikia anaongea kwa jazba kuwa, kama watu hawajitokezi yeye hajali ataendelea na shughuli zake, hao wananchi wakawasikilize CHADEMA kama wana uhalali. Kwa sasa hili Bunge litapoteza mvuto kabisa kama ilivyo TBC1 na gazeti la Uhuru. Watajaribu kufanya hoja za kulazimisha kuvuta watu, lakini sioni wakipata mvuto huo.
Na hata hawa wabunge wa kulazimisha watokosa watu wa kuwasikiliza wakiitisha mikutano kwenye majimbo yao.

Watajuta sana hawa watu kwa udhalimu walioufanya.
 
Back
Top Bottom