johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,919
- 141,884
Tunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!
Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?
Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?
Maendeleo hayana vyama!