Kwanini ACT-Wazalendo wanaishitaki Serikali ICC badala ya Mahakama ya Afrika Mashariki? Huu ni uzalendo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,919
141,884
Tunazo mahakama za Afrika na mahakama ya Afrika mashariki lakini ACT wazalendo wamevuka mipaka hadi bara la Ulaya kupeleka malalamiko yao ya kisiasa.

Je, ICC ni bora kuliko mahakama za Afrika?

Je, ACT wazalendo ni wazalendo kweli?

Maendeleo hayana vyama!
 
Mahakama zote ulizotaja hapo hazina meno na haziwezi kutoa hukumu sawasawa na matendo yaliyofanywa, mara nyingi huwa zinahafifisha kuhukumu na kupitisha vifungo rafiki kama kufanya suruhu kwa wahusika.

Kama unafuatilia, mfano ni kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na late mchungaji Christopher Mtikila kwa mahakama hizo, ilihishia wapi?
 
Umesema Africa Mashariki...Marais wake ni akina nani vile? Jiwe, Kagame, Nkurunzinza na Museveni..hawa si ndio wanatoa pesa za kuendesha hizi Mahakama...kama hujatumwa jiongeze...
Katika maraisi wa Afrika Mashariki, wanaoripotiwagwa mara kwa mara huko ICC, aliyefunguliwagwa kesi na hiyo ICC ni nani vile????
KENYATTA peke yake.
 
Back
Top Bottom