johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Waziri wa fedha Dkt. Mpango amewataka watumishi wote wa Hazina kuwa makini zaidi kwa sababu fedha nyingi za serikali bado zinapotea kwenye miradi inayotekelezwa kwenye halmashauri.
Dkt. Mpango amesema Serikali inahitaji fedha ili kukamilisha miradi ya kitaifa ikiwemo ujenzi na ukarabati wa meli, ujenzi wa SGR, ununuzi wa ndege 5 nk hivyo haitavumilia uzembe wowote unaopelekea upotevu wa mapato ya serikali kwenye matumizi.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Dkt. Mpango amesema Serikali inahitaji fedha ili kukamilisha miradi ya kitaifa ikiwemo ujenzi na ukarabati wa meli, ujenzi wa SGR, ununuzi wa ndege 5 nk hivyo haitavumilia uzembe wowote unaopelekea upotevu wa mapato ya serikali kwenye matumizi.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!