Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

Naombeni tips za sehemu nzuri Dar Kwa Outing low budget

R_Breazy

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2025
Posts
281
Reaction score
562
Habari zenyu, poleni na majukumu

Moja Kwa moja kwenye pointi, 2024 nlivyoondoka huku dar kulikuwa na kabinti Kwa huo mwaka niliona si vyema kuingia nako kwenye mahusiano, tukawa tu marafiki story story na maswali ya shuleni ya hapa na pale, in short sikuwa na interest nacho.

2026 nimerudi ila nilipita Kwa mtu wangu ajira mpya mkoani😃😃🙌 nilivumilia ila mwisho nilishindwa nikamtia vitasa then nikaamua kuja Dsm. Baada ya kupitia mikanganyiko ya Hapa na pale+ugomvi na baby mama wangu nikaamua kukimbilia dar, nianze life upya japo maumivu hayaepukiki ila kiume nakaza as nothing goes on my mind.
Nimerudi mitaa hii nikawa nimeweza kukutana nacho tena safari hii, ngozi imekua laini, dimpoz-mwili teketeke alooo, kamenichangamkia kiasi Jana nlifunguka ya moyoni ....aibu aibu mwisho kalijubu YES.

ILinibidi nifanye hivyo coz tayari alishanipa ratiba zake kuwa siku yupo free ni jumapili tu, na alikuwa tayari tutoke, kuona vile nkawahi kuomba ili akizngua ncancell mtoko kuepusha gharama zsizo za lazima.
Mpaka sasa kila kitu Kiko well arranged ila wakuu dar siijui vizuri na msaada naohtaji kwenu ni kuniekekeza sehemu nzuri bei kitonga na mazingira rahisi kuchakata tunda la huyu Binti (18yrs)

Karibuni, MAWAZO yenu ni muhimu
Naomba kujua sehemu, features zake na cost
Asanteni
 
Nenda public beaches, Kigamboni au mbezi Beach.

Kiingilio mara nyingi ni 2000 mpaka 5,000 tu. vinywaji na chakula vinaweza kugharimu 15,000- 30000 kwa watu wawili, mnaweza kula chips, mishikaki, samaki n.k
😁😁 Current balance 25k
Na plan yangu kama kakieleweka, nijue joto lake, ongezea nyama mkuu naweza kupata room for show time maeneo hayo, literally hakana njaa ya pesa...
 
😁😁 Current balance 25k
Na plan yangu kama kakieleweka, nijue joto lake, ongezea nyama mkuu naweza kupata room for show time.
Mpaka hapo umeshafeli mkuu, kwa hiyo balance nenda naye Lodge moja kwa moja.

Ushauri wa ziada kama una ghetto, nenda naye maeneo niliyo kutajia, kamchangamshe, mkitoka huko ni moja kwa moja unarudi naye mpaka ghetto, na hautopata usumbufu wa aina yoyote.
 
Ghetto nipo na mwana na hatakiwi hata aone Wala kujua, sababu mshikaji wangu anakiamini sana, na huwa anakitumia kusort ata mambo yake ya msingi na mwana ndo kanipokea mjini Baada ya valangati la Mimi na mama mtu wangu😅🙌🙌
 
Ghetto nipo na mwana na hatakiwi hata anyone make mshikaji wangu anakiamini sana, na anakitumia kusort ata mambo yake na mwana ndo kanipokea😅🙌🙌
Wewe upo maeneo gani ili tukutajie lodge zilizo maeneo ya karibu na wewe..?
Huyo hutakiwi umnunulie hata maji, maana kwa balance yako hio ni inabidi straight to bed na umkunje kweli ili asikose hela na show nzuri kwa pamoja. Maskini msingi wetu kiuno.
 
Ghetto nipo na mwana na hatakiwi hata aone Wala kujua, sababu mshikaji wangu anakiamini sana, na huwa anakitumia kusort ata mambo yake ya msingi na mwana ndo kanipokea mjini Baada ya valangati la Mimi na mama mtu wangu😅🙌🙌
Mi nashauri, panda budget kutoka 25-50 hivi ndio umle. Kwa 25 uyo dogo kama kaja Dar kitambo kashakua mjanja. Utamla mara moja atokupa tena
 
Kwani hakuna anaeweza kunikopesha wakuu??

Nipunguze maumivu after breakup watu wanajiua kisa K**a

Ila Mimi nimechagua kupokea maumivu na kusonga mbele, Mimi kuwa chini ya mwanamke ni NEVER na siwezi endeshwa kisa anapokea mshahara tamisemi....
 
1. Unahitaji lodge, kwa Dar angalau 25k kwenda juu nje kabisa ya town, classic kabisa atleast 40k.

2. Lazima mtakula na kunywa. Hapo angalau 20k.

3. Nauli angalau 10k.

4. Atataka hela ya kusuka, au ya zawadi kumzugia mdogo wake kwao. Angalau 20k.

Jumlisha: 75-90k.

Private ghetto itaokoa 80%

Kama upo mitaa ya Ubungo nikuazime Ghetto.
 
Mi nashauri, panda budget kutoka 25-50 hivi ndio umle. Kwa 25 uyo dogo kama kaja Dar kitambo kashakua mjanja. Utamla mara moja atokupa tena
Ntahakikisha naitapanya vizuri...sisi tunaojtafuta nguzo yetu ni hiyo
Wa kuja kunitoa awe na inch 7+ na awe na hela

Ila mwenye inch 6 ntahakikisha tunakula wote adi mifupa😊😊💯
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom