Acha kujipa umuhimu sehemu usiyostahili

Acha kujipa umuhimu sehemu usiyostahili

majam19

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2024
Posts
1,715
Reaction score
1,973
Vijana,wazee

Kunawakati inabidi kujitafakari kwanza na kujiuliza kuwa ninachokifanya ni sahihi
Yaan unajipa umuhimu Kwa mtu ambaye hajui thaman ya nafasi Yako

Kiufupi tuache kujiingiza kweny kusqidia watu ambao hajatuomba msaada,shida,tatizo n.k
Sababu tunahaibishwa Kwa kuzalauliwa mnoo Kisha tunaonekana tunajipendekeza Kwao wakihisi tunawahitaji sana kweny maisha yetu kuliko kawaida

Kiufupi tuache kujipendekeza maeneo ama Kwa watu wasio tuhitaji
Yangu ni hayo
Wabadu ukatabaduh fakiri
 
Hivi mtu akikuelezea shida zake bila kukuomba ushauri wala msaada ,

Je inapaswa ujiongeze kumpa ushauri au kumsaidia au usubiri kwanza afunguke?
 
Hivi mtu akikuelezea shida zake bila kukuomba ushauri wala msaada ,

Je inapaswa ujiongeze kumpa ushauri au kumsaidia au usubiri kwanza afunguke?
Afunguke kwanza ila ukimsaidia usimtangaze
 
Nulijipendekeza sana kwa demu mmoja hivi huku nikitumai kupewa tunda la katikati. Kilichonikatisha tamaa ni kuwa yule demu alimtunuku mwalimu wetu na kuniona Mimi sifai.

Mimi wala sikufanya ajizi, nilizama mzimamzima katika tasnia ya nyeto, na tunavyozungumza, nyeto imeninufaisha mno na sina time na mtu.

Fuata nyayo zangu na hutajuta.
 
Nulijipendekeza sana kwa demu mmoja hivi huku nikitumai kupewa tunda la katikati. Kilichonikatisha tamaa ni kuwa yule demu alimtunuku mwalimu wetu na kuniona Mimi sifai.

Mimi wala sikufanya ajizi, nilizama mzimamzima katika tasnia ya nyeto, na tunavyozungumza, nyeto imeninufaisha mno na sina time na mtu.

Fuata nyayo zangu na hutajuta.
Ahahahah 😄😄😄
 
Nulijipendekeza sana kwa demu mmoja hivi huku nikitumai kupewa tunda la katikati. Kilichonikatisha tamaa ni kuwa yule demu alimtunuku mwalimu wetu na kuniona Mimi sifai.

Mimi wala sikufanya ajizi, nilizama mzimamzima katika tasnia ya nyeto, na tunavyozungumza, nyeto imeninufaisha mno na sina time na mtu.

Fuata nyayo zangu na hutajuta.
hahaha ! mkongwe kazini na style ya kutoboa godoro.
 
Mpaka imekuja point ya " usijipe umuhimu kwenye maisha ya watu" manaake ulikua una expectation fulani juu ya huyo mtu, unafanya kitu in return maybe akuone mwema, au unatafta approval au kukubalika na hapo ndo maumivu yanapo anzia.

But trust me ukifanya swala kwa upend tu na kutoka moyoni, na kutotegemea chochote kutoka sehemu husika either kwakutoa support au msaada wa namna yoyote huwezi umia au kuja na maswali kwamba mbona kanilipa hivi kwa wema wote nlio mfanyia?

Nini namaanisha ? If you do something just do for love not anything else .

1 CORINTHIANS 16:14
Let all that you do be done in love
 
Back
Top Bottom