Igunga ni ki center kidogo sana, ni miji inayoibuka baada ya barabara za lami kuwepo.Habarini ndugu.
Kwa wanao pafahamu igunga vizuri ni sehemu gani nzuri ya kula bata palipo changamka siku za weekend + mziki mzuri .
Natanguliza shukran.
Shukran mkuuIgunga ni ki center kidogo sana, ni miji inayoibuka baada ya barabara za lami kuwepo.
Lodge za kawaida zipo, usitegemee za nyota5 eneo kama hilo.
Kula bata wenzako wanachukulia kama kusanyiko la mnadani kuchoma mbuzi.
Na mnada mzuri wa mbuzi hadi uvuke mto manonga, uende Mhunze(Kishapu) huko.
Tz bado Dar ni number 1Tembea ndugu usijifungie sehemu moja
Nzega mjini fresh, pako poa sana.Njoo nzega chacha magasi ule mema ya nchi.
Nzega nayo mjini?Nzega mjini fresh, pako poa sana.
NB: igunga sio mkoa mkuu!Hivi kweli mtu upo mkoani Igunga huko unawaza bata.?
uko sehemu gani,ndo naingia igunga hapa.Kuna umbali kidogo mkuu siwezi fika maana sio kitu cha lazima