The Syrian Arab News Agency (SANA) (Arabic: الوكالة العربية السورية للأنباء (سانا), al-Wakālah al-ʿArabīyah as-Sūrīyah lil-ʾAnbāʾ (SĀNĀ)) is a Syrian state-controlled news agency. It is a Syrian state media organization linked to the Ministry of Information. It was established in June 1965.
Wanajamvi!
Enzi za medani ni medani kweli, nazungumzia enzi zile "Jumba jeupe" kuna watu wenye akili timamu, weledi, maarifa, wivu na uzalendo mkubwa sana kwa watu na nchi yao.
Enzi ile kabla ya "vetting" haijabadirika ya kuingiza "vilaza" kwenye medani bila vipawa.
Naam, enzi ile ambayo Spy...
VIta vya kiuchumi ni halisi wengine wanadhani kwamba ni matani matani ya kwenye mitandao ya kijamii. Adui atatumia mbinu zote kuhakikisha kwamba tunakwama na yeye aendelee kuwa juu.
Haya maendeleo yanamfanya adui wetu azidi kuumia. Anajiuliza why them not us?
atika Afrika Mashariki, kuna...
Ukiafuatilia kinachoitwa maridhiano utagundua uwezekano wa jambo hilo kwa Tanzania ni mdogo sana kwa sababu hakuna aliye tayari kwa hayo maridhiano. Ili maridhiano yawezekane Tanzania CCM itabidi kwanza ikubali mambo kadhaa kama sita yaliyo muhimu ambayo kwa uhakika uwezekano wa CCM kukubali ni...
Nywinywinywi Nywaaaaaa!
Chikichiki Pah Pah Paaah!
Hoja hai, haiwi mfu kwa Risasi! Za nini Risasi?
Nashambulia nikitokea upande wa winga wa uchumi. Eee bana wee! Wanazuoni wengi mashuhuru kwenye uwanda wa sayansi ya siasa na uchumi, wamekuwa mara nyingi wakinasibisha jamii huru na zenye haki na...
JF
Sijui kuhusu mitaa yenu, ila mitaa mingi nliyopita kunatokota sana. Watu wana machungu na hasira sana.
Kama wanadhani watu wameanza kusahau, wajue ardhi bado ni ya moto sana.
Haki huinua taifa.
Kupitia misuko suko ya maandamano kuna jambo moja nime weza kuli gundua .
BODA BODA wetu wako vizuri sana kwenye kulenga shabaha na kulinda upotevu wa risasi , kwani wahanga wengi uki achilia walio pigwa risasi wakiwa wame lala chini wengi wame pigwa risasi za kichwa .
Ova and Out
Friends and Our Enemies...
La mgambo limeliaaa,La mgambo limeliaa..
Serikali sasa imetangaza msako,dhidi ya wale wezi,walanguzi,wahaini na wanaohujumu miundombinu ya taifaa...
Lilikuwa ni suala la muda tuh kabla ya mkono wa sheria kuwafikia hawa vibaka na wahamasishaji wao wa fujo na wizi kwa...
Dar ni automatic sauna
Niende kwenye mada, ukija Africa utakutana na jamii ya watu wa ajabu kwelikweli wao kila muda Mungu Mungu tu hawajali jitihada zao na mbinu zao wao wanaamini kila kitu ni mipango ya Mungu tu.
Mtu kapata kazi halmashaur anasema Mungu kamsaidia lakini jitihada zake hazip...
Bwana asifiwe!
Mmeamrishana kufanya Ibada maalumu jumapili hii ya tarehe 9.11.2025 kwa ajili ya kuwarehemu marehemu waliotokana na fujo za juzi katika uchaguzi mkuu pamoja na kuwaombea uzima majeruhi wote. Aidha, mmewataka watu kupeleka misaada kwenu kwa ajili ya majeruhi. Ni jambo jema...
Kwanza kabisa sababu kuu za harakati za kudai mabadiliko hazihusiani na muungano hata kidogo, ni za kisiasa tu.
Hata hivyo kumekuwa na shutuma za ubaguzi zinazofanywa na wazanzabar kwa watanganyika hali hii inaweza kuwagharimu sana kwa ubaguzi wanao uanzisha na kupanua harakati za mabadiliko...
Kwa jeshi hili siku tukijichanganya kwa Burundi tutachapika vibaya mno, ndani ya masaa 8 nchi yote itakua mikononi mwa Burundi.
Wanajeshi wetu mnachoweza nikukamata vijana waliovaa sare zenu basi
Msije kujichanganya kwa Burundi au Rwanda. Nimemaliza.
Kwanza nitoe angalizo mimi sio mwanachama wa chama chochote na hususan Chama tawala. Kwangu mimi nafahamu fika wanasiasa wengi wa kiafrika ni wachumia matumbo tu.
Tukija kwenye mada , Leo mange kimambi amepost habari kua askari wa kizanzibari wamefanya mauaji ya cold blood. Siungi mkono...
Viongozi wa kisiasa wa Tanzania ni wema sana kablana wakati wa kampeni na kupiga kura,hua wanatubembeleza sana tuende tukapige kura za kuwachagua,lakini mara tu tukishawachaguaa thamanj yetu inaisha,wanatugeuka,wanabadilika wanakua wakali,wanatutukana,wanatuteka,wanatupiga na kutuua.
Hatuwezi...
Ule ukatili uliyofanywa na police hadharani tena mchana wa jua kali umenipa tafakuri nzito sana.
Ule ukatili wao umesababisha hadi niwaze utimamu wa afya za akili za wahusika.
Ule ukatili wao umefanya niwaze utimamu wa akili wa aliyewatuma.
Ule ukatili wao umefanya niwaze majukumu ya msingi...
Sisi ni watia mwanga katika Giza , Ukombozi unatutegemea.
Damu za wenzetu zilizomwagika zinatutaka kuendelea kupigania HAKI zao , Haki ambazo Ushindi wake ni Faraja Kwa Wazazi wao, Watoto,Ndugu, Rafiki na Jamaa.
Nilishuhudia Jamaa yangu Ubongo unamwagika 'Mpaka Leo Sijui ni aina gani ya...
Baada ya haya kutokea nimegundua CCM na genge lake hakuna kitu
wananchi tungesema tuwashambulie si dhani kama kuna yeyote ambaye angepona ila walitukana maskini sisi hatuna chochote cha kujisaidia nacho basi acha tuwaite mashujaa ila Next time watakufa wengi sana
Hakika nimechukia huyu mtu vibaya sana na hakuna zuri wala jema analoweza fanya likafuta majeraha au uovu wake katika katika kichwa changu na kamwe siwezi kumsamehe..Nimemchukia sana.
Pia, nimewachukia sana wale wavaa sare wanaotumika na huyu mtu na sitaki urafiki kabisa na hawa watu kwani...
Wakuu,
Yani katika vitu Magufuli alitukosea sana kama watanzania ni kuua upinzani kitu ambacho kinafanywa kwa muendelezo mpaka sasa.
Kitu kingine ni kumteua Samuya kama makamu wake asee hapa alitukosea mnooo.
Alikua Rais mzuri aliyependwa na kila mtu lakini katika uchaguzi mkuu wa 2020...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.