Je hapo lindi na kule kizimkazi wapi ni ghali zaidi?Huku labda uwe unakula mihogo tu.
Chips kavu 2,500/= hapa nimeagiza Chips yai sijui itakuja bei gani?
Hafu sehemu local tu wala sio ushuani. View attachment 3579814
Hii sumu 1,200/=
Hapo Shoppers 850/=
Huku ila mafuta bei ile ile kama mjini.
View attachment 3579815
Kumechoka Sana maendeleo hakuna, na idadi ya watu ni ndogoHuku labda uwe unakula mihogo tu.
Chips kavu 2,500/= hapa nimeagiza Chips yai sijui itakuja bei gani?
Hafu sehemu local tu wala sio ushuani. View attachment 3579814
Hii sumu 1,200/=
Hapo Shoppers 850/=
Huku ila mafuta bei ile ile kama mjini.
View attachment 3579815
Bob ni Lindi ipi hiyo unayoizungumzia vyakula vya bahari bei rahisi?Katika sehem ambapo nashindwa kuspend hata Kwa siku mbili ni Lindi. Mji wa zamani lakini maemdeleo yamechelewa sana.
Ila uzuri wa Lindi vyakula vya baharini ni bei chee sana. Hapo iyo buku 2 ungekula ugali samaki ungeshangaa unapata samaki wa maana tu.
Londi mjini ndio hahahaha. Kuna sehemu inaitwa kariakoo kuna kama soko la samaki bei chee sanaBob ni Lindi ipi hiyo unayoizungumzia vyakula vya bahari bei rahisi?
Lindi si sehemu ya kuishi kiumbe hai hapana kwa kweli hapa nazungumzia Lindi mjini
Hili nakataa Kariakoo ni sehemu nayoijua vizuri sana na nilikuwa hapo mwezi uliopita tu bei za vitu ni ghali sanaaaaaa hakuna kinachopatikana kwa bei rahisi LindiLondi mjini ndio hahahaha. Kuna sehemu inaitwa kariakoo kuna kama soko la samaki bei chee sana
Unafananisha na mkoa gani bosi? Me naishi kigamboni, huku pweza wa elfu tano huwezi kula na familia lkn pweza wa elfu 5 Lindi ni wakutosha.Hili nakataa Kariakoo ni sehemu nayoijua vizuri sana na nilikuwa hapo mwezi uliopita tu bei za vitu ni ghali sanaaaaaa hakuna kinachopatikana kwa bei rahisi Lindi
Karibu LindiLindi kucheleee.
FisiLondi mjini ndio hahahaha. Kuna sehemu inaitwa kariakoo kuna kama soko la samaki bei chee sana
Pande gani lindi..nimeishi sana kariakoo na mtanda almost 4 yearsKaribu Lindi
Kariakoo hakuna soko la samaki...pale ni ofisi za maji na stendi labda na hospitali ya sokoine ..labda kama unamaanisha fisi...ila bado bei tu vilevile....Hili nakataa Kariakoo ni sehemu nayoijua vizuri sana na nilikuwa hapo mwezi uliopita tu bei za vitu ni ghali sanaaaaaa hakuna kinachopatikana kwa bei rahisi Lindi
Dah umenikumbusha sana machungu mika wa kibabe sana huo ni kama tuko nje ya Tanzania kama vile tuko Comoros hukoHuo mkoa wa kijinga sana life is very expensive .
Labda ule ugali ila kuanzia maji ya kunywa dukani n.k Bei kubwa .
Serikali ni kama imeutenga huo mkoa unajiendea autopilot.