Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

Niweke Mlango wa Nje? Inanitatiza sana

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,783
Reaction score
136,820
1. Mlango wa mbele ni mkubwa

2. Sipendi kuweka mlango wa mbao halafu kwa nje niweke grill naona kama ni uchafu, halafu unauondolea thamani mlango wa mbao, ambao ni lazima uwe mkali

3. Sometimes nafikiria milango ya chuma, ile steel security door. Ina show nzuri sana, Lakini vipi kutu na makelele ya funga-fungua?

4. Sometimes nafikiria kwa mbele niweke mlango wa mbao mkubwa halafu kwa ndani niweke zile grills za kufunguka pembeni kwa kujikunja. For security purposes

a33cd7242f4479515378ec79e0dcf11c.jpg


Inanitatiza, Mawazo tafadhali
 
1. Mlango wa mbele ni mkubwa

2. Sipendi kuweka mlango wa mbao halafu kwa nje niweke grill naona kama ni uchafu, halafu unauondolea thamani mlango wa mbao, ambao ni lazima uwe mkali

3. Sometimes nafikiria milango ya chuma, ile steel security door. Ina show nzuri sana, Lakini vipi kutu na makelele ya funga-fungua?

4. Sometimes nafikiria kwa mbele niweke mlango wa mbao mkubwa halafu kwa ndani niweke zile grills za kufunguka pembeni kwa kujikunja. For security purposes

Inanitatiza, Mawazo tafadhali
Choose one, Grili au Mbao
 
Weka mlango wa mahogany asilia , bila ma grill ya chuma, kumbuka kuna feki nyingi 🤔, hapo inabidi uwe na fundi unaemuamini , utafurahia sana
 
1. Mlango wa mbele ni mkubwa

2. Sipendi kuweka mlango wa mbao halafu kwa nje niweke grill naona kama ni uchafu, halafu unauondolea thamani mlango wa mbao, ambao ni lazima uwe mkali

3. Sometimes nafikiria milango ya chuma, ile steel security door. Ina show nzuri sana, Lakini vipi kutu na makelele ya funga-fungua?

4. Sometimes nafikiria kwa mbele niweke mlango wa mbao mkubwa halafu kwa ndani niweke zile grills za kufunguka pembeni kwa kujikunja. For security purposes

View attachment 3582542

Inanitatiza, Mawazo tafadhali
Economic gap kati ya walionacho na wasionacho ime7bisha nyumba nyingi zinazojengwa cku izi kuwa kama Magereza aise.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom