Ogopa sana Binadamu, spirit ya MO29 iliniogopesha

Ogopa sana Binadamu, spirit ya MO29 iliniogopesha

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,469
Reaction score
11,247
Aisee ninauhakika kuwa ata CCM na majeshi Yao Kuna funzo kubwa walilipata kuhusu binadamu.

Kabla ya MO29 watanzania walihamasishana mitandaoni kukiwasha ila watawala waliwachukulia poa. Kwa nchi kama US inayofanya security analysis kamwe wasingepuuzia.

Serikali walipitisha majeshi mitaani wakifanya mazoezi kujiandaa na uchaguzi, lengo la wanajeshi na polisi kufanyia mazoezi mitaani ni kuogopesha raia.

Viongozi kina Chalamila na Piter Magoti walikuwa wanajiropokea kuwa kamwe hakuna wa kutoa pua barabarani.

Kina Manala na Steve Nyerere walikuwa wanabeza,na kutukana kuwa hakuna wakutoa pua kuandamana.

Amiri jeshi mkuu ndo akamalizia na vitisho kuwa hakutakuwa na nywinywi Wala nywinywinywi.

Ila pamoja na vitisho vyote bado raia waliandamana walikiwasha vibaya mno. Toka Tanzania iundwe hapajawai kutokea National tragedy kama ya MO29...

Kina Lissu wa kitaa walikuja barabarani na bendera uku wakijua watakufa siku iyo. Kuna kijana wa Mwanza yeye aliacha na husia kabisa Kwa mke wake , can you imagine this spirit?? Mimi sio nabii ila Hali hisipobadilika Tanzania hakutapita chaguzi mbili bila ya hii nchi kuwa na makundi ya waasi.

Nilichojifunza ogopa kiumbe binadamu , binadamu ni kiumbe hatari sana. Pamoja na mauaji ya MO29, ila watanzania wakiamua kukiwasha tena wanakiwasha .

Mwisho. Kama waandamanaji wa MO29 wangekuwa na silaha ata bunduki 200 mtaani hii nchi ingewaka moto.

Mto wa mbu
State of Illinois
 
Jaman mo29 nikiikumbuka
Ile show sio ya nchi hii, ata wall street journal iliandika Samia ameisababishia Tanzania janga kubwa since independence.

Effects of MO29

Yaani ile hamu ya mamipira ya Tanzania imeshuka sana Kwa Tanzania

Legacy yoote ya Samia, imeharibika

Kina Muliro na Mafwele hawauzi sura tena kwenye ma TV

Vibaka kina Manala na Magoti kamwe hawatokuja kudharau watanzania
 
Ile October 29 ni kama simba kula nyama ya mtu kamwe hataweza kuacha.

Wanajidanganya sijui yalipangwa mara watu walilipwa mara mafunzo lakini ukweli mchungu ile ilikua nguvu ya uma.

Zile damu zilizo mwagika ipo siku zitaamka tena , zitawaamsha tena vijana na hawatal lala tena.
 
Mwisho. Kama waandamanaji wa MO29 wangekuwa na silaha ata bunduki 200 mtaani hii nchi ingewaka moto.
Nimeshangaa mzee Chande kwenda kudanganya watu eti waandamanaji walikuwa na silaha? Kama ingekuwa hivyo wasingekubali kuuawa vile lazima na wao wangeua!
 
Aisee ninauhakika kuwa ata CCM na majeshi Yao Kuna funzo kubwa walilipata kuhusu binadamu.

Kabla ya MO29 watanzania walihamasishana mitandaoni kukiwasha ila watawala waliwachukulia poa. Kwa nchi kama US inayofanya security analysis kamwe wasingepuuzia.

Serikali walipitisha majeshi mitaani wakifanya mazoezi kujiandaa na uchaguzi, lengo la wanajeshi na polisi kufanyia mazoezi mitaani ni kuogopesha raia.

Viongozi kina Chalamila na Piter Magoti walikuwa wanajiropokea kuwa kamwe hakuna wa kutoa pua barabarani.

Kina Manala na Steve Nyerere walikuwa wanabeza,na kutukana kuwa hakuna wakutoa pua kuandamana.

Amiri jeshi mkuu ndo akamalizia na vitisho kuwa hakutakuwa na nywinywi Wala nywinywinywi.

Ila pamoja na vitisho vyote bado raia waliandamana walikiwasha vibaya mno. Toka Tanzania iundwe hapajawai kutokea National tragedy kama ya MO29...

Kina Lissu wa kitaa walikuja barabarani na bendera uku wakijua watakufa siku iyo. Kuna kijana wa Mwanza yeye aliacha na husia kabisa Kwa mke wake , can you imagine this spirit?? Mimi sio nabii ila Hali hisipobadilika Tanzania hakutapita chaguzi mbili bila ya hii nchi kuwa na makundi ya waasi.

Nilichojifunza ogopa kiumbe binadamu , binadamu ni kiumbe hatari sana. Pamoja na mauaji ya MO29, ila watanzania wakiamua kukiwasha tena wanakiwasha .

Mwisho. Kama waandamanaji wa MO29 wangekuwa na silaha ata bunduki 200 mtaani hii nchi ingewaka moto.

Mto wa mbu
State of Illinois
Kiukweli kwa Jambo lile hata kama CCM ni sikio la kufa ila awatamani tena lile Jambo litokee nchi hii.

Pengine wanatamani wangelimsikiliza pole pole Ila ndo hivyo tena. Mama juzi anasema anatamani zirudi siku nyuma wafute Ili jambo lakini ndo ishakuwa hivyo.

Lile jambo limetuacha na heshima huwez sikia kiongozi anawapuhuza watu tena kama mwanzo. Naona hapa katiba itakuja kabisa, sababu hakuna mwanaccm mwenye akili timamu atakubari tuingie kwenye uchaguzi Mkuu kwa mazingira ya tume na katiba tuliyonayo sasa. Make watu wakitishia tu kuwa tunaingia barabarani siku ya uchaguzi weeeeee nani akubali kurudi kwenye kadhia kama Ile.?.
 
Achana na habari za Mo kufanyeje

Binadamu mwenye utimamu mbali na hulka na upumbavu wake

Ikiwa umezaliwa na mwanamke ukiwa fala mpaka ukajipata

Unaanzaje kudhani upumbavu wa wengine ni kikwazo.!?

Sisi binadamu tunazaliwa wapumbavu tunaweza kutunuku ujinga Pasi na kujua gharama ya vitendo vyetu

Kwa kulijua hilo wenye hekima wa kaunda magereza ili kuwafinyia watu wajipate

Hawakuwahi kutazamia binadamu ni mashetani ila kupitia udhibiti anaweza kujipata

Wewe anayechupa kidogo tu unamuondoa.!? 🥱

Sio mzazi hufai kuwa na hadhi hio

Ila kujirudi kwa kukumbuka hukuwahi kuwa chochote kwa maisha ya watu, unaweza kuwa kitu siku zijazo
 
Ile October 29 ni kama simba kula nyama ya mtu kamwe hataweza kuacha.

Wanajidanganya sijui yalipangwa mara watu walilipwa mara mafunzo lakini ukweli mchungu ile ilikua nguvu ya uma.

Zile damu zilizo mwagika ipo siku zitaamka tena , zitawaamsha tena vijana na hawatal lala tena.
Ndugu yangu ile spirit ilikuwa hatari, na aliyepanga siku ya uchaguzi alipatia aswaaa, sijui kama chaguzi zijazo kama CCM watakubali kuingia kwenye uchaguzi wa kijinga peke Yao ,,Jambo Ambalo Nina uhakika nao ni 2030 uchaguzi utakuwa at least fair
 
Achana na habari za Mo kufanyeje

Binadamu mwenye utimamu mbali na hulka na upumbavu wake

Ikiwa umezaliwa na mwanamke ukiwa fala mpaka ukajipata

Unaanzaje kudhani upumbavu wa wengine ni kikwazo.!?

Sisi binadamu tunazaliwa wapumbavu tunaweza kutunuku ujinga Pasi na kujua gharama ya vitendo vyetu

Kwa kulijua hilo wenye hekima wa kaunda magereza ili kuwafinyia watu wajipate

Hawakuwahi kutazamia binadamu ni mashetani ila kupitia udhibiti anaweza kujipata

Wewe anayechupa kidogo tu unamuondoa.!? 🥱

Sio mzazi hufai kuwa na hadhi hio

Ila kujirudi kwa kukumbuka hukuwahi kuwa chochote kwa maisha ya watu, unaweza kuwa kitu siku zijazo
Sijaelewa
 
Kiukweli kwa Jambo lile hata kama CCM ni sikio la kufa ila awatamani tena lile Jambo litokee nchi hii.

Pengine wanatamani wangelimsikiliza pole pole Ila ndo hivyo tena. Mama juzi anasema anatamani zirudi siku nyuma wafute Ili jambo lakini ndo ishakuwa hivyo.

Lile jambo limetuacha na heshima huwez sikia kiongozi anawapuhuza watu tena kama mwanzo. Naona hapa katiba itakuja kabisa, sababu hakuna mwanaccm mwenye akili timamu atakubari tuingie kwenye uchaguzi Mkuu kwa mazingira ya tume na katiba tuliyonayo sasa. Make watu wakitishia tu kuwa tunaingia barabarani siku ya uchaguzi weeeeee nani akubali kurudi kwenye kadhia kama Ile.?.
MO29, imeharibu totally legacy ya Samia, ata afanye nini hatokumbukwa Kwa mazuri.

Lakini pia CCM wamepata funzo, Karne hii huwezi andaa chaguzi za kijinga watu wakakuchekea.

Aluyebuni maandamano siku ya uchaguzi alipatia sana

Na kitendo Cha Chadema kugomea uchaguzi aiseee kiliwasha hasira za raia Kwa CCM
 
Kilichotokea October 29,ni strategic mistake by the government na ilitakiwa kuwa hivyo sababu kulikuwa hakuna mahusiano mazuri kati ya Serikali na mshirika wake ambaye ni CDM hata ingekuwa mie SAMIA ningefanya hivyo.
Wewe mwananchi wa Kigurunyembe unaweza kudhania ilitokea kwa bahati but wahusuka tayari walikuwa walisha predict kutokea kwa tukio kama hilo na kuliandalia mkakati ndio maana liliisha

Jambo la msingi ni chama chochote kilichopo madarakani kutotumia strategy hii tena,kama impact yake inaweza kupelekea chama kufutika kabisa moyoni mwa watu.
 
Binadamu anapofikia hatua ya kukata tamaa au kupoteza tumaini, hofu huwa inatoweka na kubadilika kuwa ujasiri wa hatari.

Huwezi kumtisha mtu ambaye tayari ameshajitoa mhanga.

Kiufupi, Binadamu akishavuka mstari wa hofu kwa mara ya kwanza, ni vigumu kumrudisha nyuma kabisa.
 
Kilichotokea October 29,ni strategic mistake by the government na ilitakiwa kuwa hivyo sababu kulikuwa hakuna mahusiano mazuri kati ya Serikali na mshirika wake ambaye ni CDM hata ingekuwa mie SAMIA ningefanya hivyo.
Wewe mwananchi wa Kigurunyembe unaweza kudhania ilitokea kwa bahati but wahusuka tayari walikuwa walisha predict kutokea kwa tukio kama hilo na kuliandalia mkakati ndio maana liliisha

Jambo la msingi ni chama chochote kilichopo madarakani kutotumia strategy hii tena,kama impact yake inaweza kupelekea chama kufutika kabisa moyoni mwa watu.
MO29 imeongeza hasira sana Kwa CCM, ndo maana wana CCM kina Nape walitahadharisha CCM iwe na utu kwenye kudili na watu.

Ila huwezi ignore nguvu ya Chadema,,,Nina hakika 100% Mbowe angeshinda uchaguzi, hasingegomea uchaguzi wa October na maandamano yasingekuwepo. Ila No reform no election ya Lissu,,ilichochea moto Aswaa.

Watu waliona uchaguzi kama bogus process
 
Binadamu anapofikia hatua ya kukata tamaa au kupoteza tumaini, hofu huwa inatoweka na kubadilika kuwa ujasiri wa hatari.

Huwezi kumtisha mtu ambaye tayari ameshajitoa mhanga.

Kiufupi, Binadamu akishavuka mstari wa hofu kwa mara ya kwanza, ni vigumu kumrudisha nyuma kabisa.
Hao kina Lissu wa kitaa wangekuwa na bunduki wangekufa na many security personnel
 
MO29, imeharibu totally legacy ya Samia, ata afanye nini hatokumbukwa Kwa mazuri.

Lakini pia CCM wamepata funzo, Karne hii huwezi andaa chaguzi za kijinga watu wakakuchekea.

Aluyebuni maandamano siku ya uchaguzi alipatia sana

Na kitendo Cha Chadema kugomea uchaguzi aiseee kiliwasha hasira za raia Kwa CCM
Uko sahihi kaka. Ccm walishindwa kusoma game na alama za nyakati mapema. Wakafikiri ni zile enzi za Mwinyi, Mkapa Jk pengine na Magufuli kuwa tutaburuza tu kama siku zote, kumbe muda ushawatupa mkono.

Wakashindwa kujari mambo ya watu watu wanatekwa kisiasa mnawajibu pumba, watu wanaenda mahakamani sehemu muhimu ya kuipata haki wanapigwa na kuvunjwa miguu. Wanafungia makanisa zaidi ya 2,000 mara anavamiwa na anapigwa katibu wa TEC raia hasira zinajaa balaha.


Unafungia chama cha siasa tena kikuu cha upinzani kisifanye siasa na mwenyekiti wake unamtia ndani, machungu unawajengea hawa wananchi je wayaelezee wapi machungu yao?.

Alafu anatoka mtu eti watu walilipwa nani atalipa mamilioni hayo yote ya watu Ili waandamane?.


Najiuliza chadema Ile kauli mbiu yao ya NRNE ingeendelea nchi nzima ingelikuwaje kama tu hiyo Kidogo imetikisa hivyo.

Ushauri tu kwa ccm hii nchi ni kubwa na raia wameongezeka, hamuwezi kutawala peke yenu tena kwa sera za miaka ya 1970s is big no.

Watu million 61 wote hawawezi kuwa na fikra za ujamaa tuu wakati ambapo tunatawaliwa na ubepari ulimwengu karibia wote. Acheni kiburi raia hawapo upande wenu tena namna nzuri ya kusababisha raia wawe upande wenu balancini uwanja wa kisiasa.
 
Aisee ninauhakika kuwa ata CCM na majeshi Yao Kuna funzo kubwa walilipata kuhusu binadamu.

Kabla ya MO29 watanzania walihamasishana mitandaoni kukiwasha ila watawala waliwachukulia poa. Kwa nchi kama US inayofanya security analysis kamwe wasingepuuzia.

Serikali walipitisha majeshi mitaani wakifanya mazoezi kujiandaa na uchaguzi, lengo la wanajeshi na polisi kufanyia mazoezi mitaani ni kuogopesha raia.

Viongozi kina Chalamila na Piter Magoti walikuwa wanajiropokea kuwa kamwe hakuna wa kutoa pua barabarani.

Kina Manala na Steve Nyerere walikuwa wanabeza,na kutukana kuwa hakuna wakutoa pua kuandamana.

Amiri jeshi mkuu ndo akamalizia na vitisho kuwa hakutakuwa na nywinywi Wala nywinywinywi.

Ila pamoja na vitisho vyote bado raia waliandamana walikiwasha vibaya mno. Toka Tanzania iundwe hapajawai kutokea National tragedy kama ya MO29...

Kina Lissu wa kitaa walikuja barabarani na bendera uku wakijua watakufa siku iyo. Kuna kijana wa Mwanza yeye aliacha na husia kabisa Kwa mke wake , can you imagine this spirit?? Mimi sio nabii ila Hali hisipobadilika Tanzania hakutapita chaguzi mbili bila ya hii nchi kuwa na makundi ya waasi.

Nilichojifunza ogopa kiumbe binadamu , binadamu ni kiumbe hatari sana. Pamoja na mauaji ya MO29, ila watanzania wakiamua kukiwasha tena wanakiwasha .

Mwisho. Kama waandamanaji wa MO29 wangekuwa na silaha ata bunduki 200 mtaani hii nchi ingewaka moto.

Mto wa mbu
State of Illinois
Kama hamza alikua na bunduki moja akasimamisha jiji siku nzima wakiwa na bunduki 200 si milele jiji litasimama
 
Back
Top Bottom