sababu

The Black Liberation Army (BLA) was an underground Black Power organization that operated in the United States from 1970 to 1981. Composed entirely of Black Panthers (BPP) who served as members of both groups, the organization's program was one of war against the United States government, and its stated goal was to "take up arms for the liberation and self-determination of black people in the United States." The BLA carried out a series of bombings, killings of police officers and drug dealers, robberies (which participants termed "expropriations"), and prison breaks.

View More On Wikipedia.org
  1. YEHODAYA

    GE2020 Sababu kuu ya Lissu kushindwa, asilimia 80 ya Watanzania wanaishi Vijijini hawamjui Lissu ni nani, Magufuli anajulikana kila kona Vijijini

    CHADEMA wamekuwa wakijipa matumaini hewa kuhusu mgombea wao Lissu kushinda wakisema yuko popular sana. Wakisema wanalalia mtaji wa kura za 2015 ambapo Lowasa alipata kura milioni sita. Kitu kimoja wanasahau Lowassa alikuwa Waziri Mkuu muda mrefu na Waziri aliyejulikana sana vijijini ambako...
  2. YEHODAYA

    GE2020 Mtihani mkubwa ulio mbele ya CHADEMA ni kupata fedha za kampeni za Urais. Chama hakina fedha na Mgombea hana fedha

    Mtihani mkubwa mbele ya CHADEMA ni kupata pesa za kampeni za ugombea urais sababu chama hakina pesa na aliyependekezwa kugombea pesa hana. Pesa nyingi mno huhitajika kwenye kampeni ya urais. Ni mtihani mkubwa mno ulioko mbele ya CHADEMA. Kampeni inahitaji bilions of money kwa ajili ya...
  3. Dam55

    Unaweza kuacha kazi kwa sababu Kama hii!( Kisa mke wa Boss).

    Hii nimeikuta sehemu fulani huko, hivi Kama ni wewe unaweza kuacha kazi kwa sababu Kama hii. Kiukweli ningekuwa mimi hii kwangu ingekuwa ni fursa kazi na dawa. 🤣 🤣 !!
  4. Duduvwili

    Makonda akabidhi ofisi kwa RC Kunenge, adai ofisi hiyo ina majungu mengi

    Wakuu Shalom naona mubashara hapa RC Matata Bwana Makonda akidai kua anafurahia sana kwenda kumtunza Mwanae na kwamba hajapoteza lolote na amedai70% ya wananchi wa Dar ni wambea uzi tayari ntazidi kuwajuza. ======= NISAMEHENI NILIPOENDA KINYUME NA MAPENZI YENU. MAADAMU YESU NINAYE, MUSIWE NA...
  5. J

    GE2020 Wabunge walioshindwa kuongoza kura za maoni ni wazembe kwa sababu ya ubahili

    Mtu unatoka bungeni ukiwa umekamilika na mzigo wako wa 200m+ kibindoni halafu kwenye kura za maoni unakuwa namba 3 huo ni uzembe uliotukuka. Hata sheria na kanuni zitakucheka. Maendeleo hayana vyama!
  6. Alex Fredrick

    Watanzania Wakenya Wasiwasumbue

    NARUDIA TENA :- WATANZANIA WAKENYA WASIWASUMBUE. Na Thadei Ole Mushi. Wiki hii toka jumatatu joto la kidiplomasia Kati yetu na Kenya limepanda Kiasi. Joto hili linasababishwa na vurugu za ugonjwa wa Corona. Nimejaribu kwa kiasi kuwaonyesha watanzania sababu za kuendelea kukataa mchezo wa...
  7. MK254

    Sababu za Kenya kupigania sana suala la Afrika kufunguliana

    Imebainika Kenya itakua ya tatu Afrika kunufaika kutokana na kufunguliana kwa Afrika, huu ndio umuhimu wa kuwa na watu wenye hulka ya kujituma na ujasiri wa kutoka. Afrika inabadilika, Afrika mpya isiyo ya taswira ya kuomba omba, ila Afrika ya biashara na viwanda, japo kuna baadhi wamenunia...
  8. kagoshima

    Udikteta na ukandamizaji haki wa Serikali za vyama kongwe vinavyotawala hadi leo. Sababu...

    Mifano ni mingi lakini chukulia chukulia mifano ya hivi vyama na inchi husika hapa chini . 1. CPDM cha Cameroon 2. CCM cha Tanzania 3. ZANUPF cha Zimbabwe 4. Frelimo cha msumbiji 5. PDG huko garbon Utagundua kwamba inchi zote tajwa hapo juu serikali zao zinaongozwa na vyama kongwe vilivyopokea...
  9. Pascal Mayalla

    Kumbe sababu ya kifo cha Mkapa ni Cardiac Arrest. Asante sana mwanafamilia William Erio kumaliza sintofahamu hii

    Wanabodi, Kumbe sababu ya kifo cha Mpendwa wetu, Benjamin William Mkapa ni Cardiac Arrest!. Asante sana Mwanafamilia wa familia ya Mkapa, William Erio, kuusema ukweli huu na kumaliza rasmi ile sintofahamu ya chanzo cha kifo, ambayo imezua mijadala kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo JF. Kama...
  10. Meneja Wa Makampuni

    Nini sababu mwanamme kuwa na marafiki wengi wa kike kuliko wa kiume?

    Katika hali isiyo ya kawaida wapo wanaume ambao hupata marafiki wengi wa kike kirahisi kuliko wa kiume. Nini sababu? Ingia kwenye hoja dondosha jibu lako
  11. T

    Kuna sababu gani Tanzania kuendelea kuwa na wabunge wa viti maalum?

    Nchi masikini kama Tanzania ambazo zaidi ya 40% ya mapato yake ya kuendeshea serikali yanatokana na mikopo na misaada, zina idadi kubwa sana ya baraza la mawaziri pamoja na bunge. Kuna kipindi Tanzania tuliwahi kua na baraza la Mawaziri zaidi 60. Hoja yangu ni kwamba, kwa nini bado tunaendelea...
  12. Y

    Je, ni ipi sababu kubwa ya ongezeko la singo maza kwa sasa?

    Natumai hamjambo wanabodi. Miaka ya sasa kumekuwa na ongezeko kubwa sana la singo maza mitaani, je sababu kubwa ya ongezeko hili hasa ni ipi kati ya zifuatazo: 1. Malezi mabovu ya wazazi wa sasa 2. Utandawazi 3. Kizazi cha sasa ndo kilivyo karibu tujadili
  13. S

    Hii ni moja ya sababu kwanini CCM hii na serikali yake wanapaswa kuondolewa madarakani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu

    POLICE WAKAMATA WANACHAMA WA ACT WAZALENDO MASASI Ziara ya mwenyekiti wa ACT WAZALENDO ndugu Maalim Seifu Sharifu Hamad leo alifika Masasi na kufanya kikao cha ndani mara baada ya kuondoka ukumbini hapo police walivamia na kukamata wanachama na viongozi 14 pamoja na mtoto-ACT Wazalendo on...
  14. Naantombe Mushi

    Darasa la uongozi: Sababu ya Wagombea wengi kushindwa ni matokeo ya kukosa mipango na mikakati ya ‘kuwekeza kwenye uongozi’

    Watu wanapenda matokeo ya haraka, ila ni wavivu kuyatafuta. Wahenga walivyosema ‘Mtaka cha uvunguni, sharti ainame’, walikuwa na maana ya kwamba, unavyokuwa na ndoto za kupata kitu chochote kwenye maisha, ni lazima uweke mipango na mikakati ya kufanikisha azma yako. Mtu unataka kuwa kiongozi...
  15. Kibosho1

    Mlioangukia pua kwenye kura za maoni mjifunze sio kukimbilia fomu tu kwa sababu una hela ya kuchukulia

    Habari wana jamvi? 😁😁😁🤪🤪🤪😏😏 Nacheka kwa dharau sana hasa waliokurupuka kuchukua form na kuangukia pua kama paskal Mayala,Stive Nyerere,Gwajma n.k Kwanini nawacheka? Ukiangalia wengi wamekurupuka kisa JPM anadaiwa kurudisha heshima chamani na ni mchapa kazi sana. Kutokana na wapinzani wengi...
  16. Mystery

    Watanzania kushangilia kuangushwa kwa Makonda katika kura za maoni Jimbo la Kigamboni kunaashiria nini?

    Kuangushwa katika kura za maoni za CCM, katika jimbo la Kigamboni, kwa Paul Makonda na Faustine Ndugulile, kumepokelewa kwa shangwe kubwa sana na watanzania wa nchi nzima Hivi hali hiyo inaweza ikawa inaashiria nini? Hivi inawezekanaje kwa mkuu wa mkoa, ambaye mara kwa Mara amekuwa akisifiwa...
  17. Latrice

    Sababu zilizopelekea niache kuvuta Crack

    Crack ni madawa ya kulevya yanayotengenezwa kwa kiwango kidogo sana cha Cocaine na kuchanganywa na Baking powder au amatriptayne (ATM). Amatriptayne (ATM) ni dawa ambazo ukimeza lazima ulale. Hizi hapa sababu chache zilizopelekea niache. Tatizo la kusahau. Hili tatizo lilikuwa likinipata...
  18. Sema Tanzania

    Malezi - Sababu nne kwa nini watoto wanahitaji malezi ya baba pia

    Ripoti ya idadi ya watu ya mwaka 2000 huko nchini Brazil ilionyesha kwamba familia milioni 11.2 kati ya familia milioni 44.7 zinaongozwa na wanawake. Nchini Nikaragua 25% ya watoto huishi na mama zao pekee. Mnamo mwaka 1990 huko nchini Kosta Rika takwimu zilionyesha kwamba idadi ya watoto...
  19. muzi

    Ulishawahi kujuta mpaka kurudiana na X-wako sababu alikuwa na kitu special?

    Tukiendelea kusubiri list ya watia nia watakaopitisha, unajua wanaume tunapenda kula mboga za namna mbalimbali. Sasa kipindi fulani nilikuwa na demu wangu tulizoeana na tulikuwa na mengi tumepanga kufanya maishani. Katika harakati za maisha nilipata kazi mkoa fulani ambayo itanichuklua siku...
  20. Swahili_Patriot

    Sababu ya Watanzania kuidharau Kenya

    Mimi ni Mtanzania asilimia mia ila kutokana na mitihani ya maisha, nikipata fursa (bhati) ya kusomea Kenya kutoka primary at Kisii-gesima _Mosobeti way, Dorcas Academy, Secondary at Nyari Sstate, Karura SDA, uni mku theka. Ninaijua Kenya vzuri kwa miaka na mijukuu. Sikatai Kenya ipo mbali sana...
Back
Top Bottom