johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,975
- 141,986
Tangu chaguzi za vyama vingi zianze tumezoea kuona wagombea urais wa upinzani ambao wamewahi kuwa wanachama wa CCM au TANU huko nyuma.
Sina hakika kama huyu Tundu Lissu aliwahi kupitia chipukizi au UVCCM wakati akiwa mwanafunzi ila siasa za " ukubwani" amezianzia NCCR mageuzi.
Ndio kusema kwa mara e kwanza CCM inakutana na mpinzani wa kweli tangu mfumo wa vyama vingi uasisiwe.
Maana yake ni kwamba ushindi wa Rais Magufuli hapo Oktoba 28 utakuwa mtamu sana kupita chaguzi zote zilizotangulia.
Maendeleo hayana vyama!
Sina hakika kama huyu Tundu Lissu aliwahi kupitia chipukizi au UVCCM wakati akiwa mwanafunzi ila siasa za " ukubwani" amezianzia NCCR mageuzi.
Ndio kusema kwa mara e kwanza CCM inakutana na mpinzani wa kweli tangu mfumo wa vyama vingi uasisiwe.
Maana yake ni kwamba ushindi wa Rais Magufuli hapo Oktoba 28 utakuwa mtamu sana kupita chaguzi zote zilizotangulia.
Maendeleo hayana vyama!