Kwahiyo tutarajie kuwa waliopiga kura ya mapema leo, kesho hawatapiga kura ya Rais na Mbunge wa Muungano kwa sababu watakuwa 'busy'?

Duniahadaa

JF-Expert Member
Oct 16, 2017
336
677
Nimesikia kutoka BBC kuwa Maafisa wa Uchaguzi na wanausalama wamepiga kura leo kwa sababu kesho watakuwa bize. Kumbuka kuwa kesho kutakuwa na uchaguzi wa NEC. Kwa hiyo tutarajie kuwa waliopiga kura ya leo ya mapema, kesho hawatapiga kura ya rais na mbunge wa Muungano kwa sababu watakuwa bize?

Naomba ujibu kwa utulivu.
 
  • Thanks
Reactions: ffn
Hizo zinaitwa kura za watu wenye kazi maalumu.
Mwisho wa kunukuu.
 
Screenshot_2020-10-27-19-54-54.png


Wamepiga kwa amani na usalimini
 
Hii nchi ni kama tupo karne ya 16 huko...kuna mambo watawala na ccm wanafanya ....unashindwa kuelewa kama wanatumia kichwa kufikiri ama ni makalio...
 
Naomba kuuliza, mawakala walikuwepo? Je baada ya kupigwa zinahesabiwa leo au mpaka za kesho? Je zinalala wapi leo? Je zitalindwa na mawakala wa vyama vyote Hadi kesho?
 
Mwanakulitafuta, mwanakulipata, piga hao kama paka mwizi, ijumaa saa 7 mchana ndio tutaanza kuzungumza lugha ambayo tutaelewana.

Sirro amekwisha sema tii sheria bila shuruti. Wanakulitafuta msiwasikilize deko hao.

Piga wachakae, sisi tuna hitaji kuwa salama na nchi yetu hao waliotumwa na basha zao kina Ámsterdam tusiwasikilize wataharibu uchaguzi.
 
Back
Top Bottom