Duniahadaa
JF-Expert Member
- Oct 16, 2017
- 336
- 677
Nimesikia kutoka BBC kuwa Maafisa wa Uchaguzi na wanausalama wamepiga kura leo kwa sababu kesho watakuwa bize. Kumbuka kuwa kesho kutakuwa na uchaguzi wa NEC. Kwa hiyo tutarajie kuwa waliopiga kura ya leo ya mapema, kesho hawatapiga kura ya rais na mbunge wa Muungano kwa sababu watakuwa bize?
Naomba ujibu kwa utulivu.
Naomba ujibu kwa utulivu.