rushwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    OCD Gairo amempatia Shabiby walinzi katika zoezi la kugawa rushwa

    Wakati wajumbe wakianza kuingia mjini Gairo kwa ajili ya kupiga kura ya maoni kwa waliojaza na kurudisha fomu, mbunge aliyemaliza muda wake Mhe. Shabiby anakabiliwa na wagombea wengine zaidi ya 20. Juzi baada ya kikao cha wagombea wake, amesambaza pesa kupitia kwa wagombea udiwani waliomaliza...
  2. J

    GE2020 Kahama Mjini wanaCCM 60 wanaogombea Ubunge wapewa onyo kali kwa kujihusisha na rushwa

    Wagombea 60 wa ubunge jimboni Shinyanga Mjini wamepewa onyo kali baada ya kujihusisha na vitendo vya rushwa. Katibu wa CCM mkoani Shinyanga amesema atalifutilia mbali zoezi la kura za maoni kama wagombea wataendeleza vitendo hivyo haramu vya kununua kura Chanzo: ITV habari Maendeleo hayana...
  3. Nyendo

    TAKUKURU: Rushwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020

    TAKUKURU chini ya kifungu cha 7 cha sheria ya kuzui na kuoambana na rushwa namba 11/2007 imepewa jukumu la kuzuia na katika jamii ikiwemo rushwa katika uchaguzi ukiwemo uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020. Makosa ya rushwa katika uchaguzi yameanishwa katika sheria ya uchaguzi Cap...
  4. Miss Zomboko

    TAKUKURU yamsafisha Lusinde baada ya kukosa ushahidi wa tuhuma za rushwa dhidi yake

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imemsafisha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtera Livingstone Lusinde baada ya kukosa uthibitisho kuhusiana na tuhuma za rushwa walizokuwa wanamtuhumu. Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Dodoma, Sosthenes Kibwengo. Hivi karibuni, Taasisi hiyo ilitoa...
  5. J

    TAKUKURU yasimamisha uchunguzi dhidi ya Livingstone Lusinde ( Kibajaj) baada ya kukosa ushahidi wa rushwa

    TAKUKURU mkoani Dodoma imesimamisha uchunguzi uliokuwa unaendelea dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde aka Kibajaj baada ya kukosekana ushahidi wa rushwa. Source Azam tv! Livingstone Lusinde (Kibajaji) adakwa live na TAKUKURU nyumbani kwake akigawa rushwa kwa wajumbe wa CCM
  6. J

    Rushwa imebadilika katika kipindi cha miongo miwili iliyopita, jitihada za kupambana lazima nazo zibadilike

    Benki ya Dunia imejikita katika kuzisaidia nchi mbalimbali katika mapambano dhidi ya rushwa tangu mwaka 1996 baada ya aliyekuwa Rais wa taasisi hiyo, James Wolfensohn kutoa hotuba yake huku akiifananisha rushwa na ugonjwa wa saratani Hotuba hiyo ilikuwa kichocheo cha kuifanya rushwa kuwa agenda...
  7. Chachu Ombara

    GE2020 TAKUKURU walitishwa na CCM kuwajibishwa endapo hawatawachukulia hatua watia nia wanaojihusisha na vitendo vya rushwa

    Wakuu kama mnavyojua kuwa watia nia wengi majimboni wamekuwa wakikumbana na rungu la Takukuru kwa tuhuma za kutoa rushwa ili kuweka mazingira ya kupitishwa kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kuelekea uchaguzi mkuu 2020. Pia soma> Uchaguzi 2020 - Polepole: Watia nia wanaotoa rushwa kote...
  8. M

    Kiinua mgongo walichopata wabunge kinachangia rushwa na uondoa usawa

    BAadhi ya wabunge wasitaafu wanatumia kiinua mgongo waliachopata hivi majuzi kurubuni wajumbe na hicyo kuondoa keshima ya chama chetu. Kila kona rushwa. Hii inaondoa usawa kwa wagombea ubunge mwaka huu. Itakuwa vigumu sana wasio na pesa kupata ubunge. Tunaimba uongozi wa chama chetu ccm uwe...
  9. T

    Mkurugenzi wa TAKUKURU ya Nigeria Bwana Magu amekamatwa kwa rushwa

    Wanasema Nigeria vituko na matukio yasiyo ya kawaida ni vitu ambavyo sio vipya na vinatokea mara kwa mara Mkurugenzi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa bwana Ibrahim Magu amekamatwa kwa rushwa Bwana Magu amekua mkuu wa taasisi hiyo toka mwaka 2015 Nigeria’s anti-corruption boss...
  10. M

    GE2020 Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Manyovu, Albert Obama akamatwa na TAKUKURU kwa kugawa Rushwa

    DG, Ninapenda kukujulisha kwamba katika ufuatiliaji wa vitendo vya rushwa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020, leo TAKUKURU(M) Kigoma katika jimbo la uchaguzi la Buhigwe tumekamata Tsh. 210,000/= zilizokuwa zimeshagawiwa Tsh. 10,000/= kwa kila mjumbe kwa wajumbe 21 kutoka kata ya Mnanila jimboni humo...
  11. J

    Mbona Takukuru wanakamata wagombea ubunge wa CCM pekee ina maana Chadema hakuna rushwa?

    Najiuliza tu. Maana kwanza alikamatwa Dr Kigwangalla akigawa baiskeli lakini akajitetea na kutoa vifungu vya sheria vinavyomlinda. Kisha akakamatwa Kibajaji bado sijajua imeishaje lakini leo kakamatwa Serukamba. Ndiposa najiuliza hiyo rushwa inatolewa huko chama tawala pekee? Au CHADEMA bado...
  12. L

    Kukamatwa na kuhojiwa kwa tuhuma za rushwa watia nia wa CCM, sehemu mbalimbali nchini kunaashiria nini miaka 5 ya serikali ya awamu ya 5?

    Kila siku kupitia vyombo vya habari tunasikia watia nia wa CCM sehemu mbali mbali za nchi yetu amawanahojiwa na TAKUKURU au kukamatwa na polisi kwa TUHUMA za RUSHWA. Je, hii inamaana gani kwa utawala wa awamu ya 5?
  13. J

    GE2020 Polepole: Watia nia wanaotoa rushwa kote Mikoani chama kina taarifa zao, hawatapata Uongozi

    Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku. Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe. Chanzo: Channel ten. Maendeleo...
  14. Nyendo

    Raia wa China mbaroni kwa rushwa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza, imemkamata raia wa China Bwana SHENG BING LIN (40) kwa kosa la kushawishi na kutoa rushwa kiasi cha shilingi laki moja (100,000/=) ambapo ni kinyume na Kif cha 15 (1) (b) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa namba 11 ya...
  15. Q

    Mbozi Songwe: Rushwa za ngono na vitendo viovu Chuo cha Uuguzi Yohana Wavenza

    Mi ni mgeni wa Jamii forums naomba mnisaidie malalamiko haya yafike kunakotakiwa.. Ni muhitimu wa chuo cha uuguzi cha yohana wavenza kilichopo wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe. Naandika malalamiko haya ili yaweze kuwafikia wanaohusika na kuweza kuyatatua maana mimi binafsi nimekuwa muhanga wa...
  16. Nafaka

    Hivi Serikali inajua rushwa inayoendelea kwenye shirika la Hifadhi ya Jamii?

    Nadhani kwa sasa hawa wafanyakazi wa hilli shirika wamepiku askari wa babarani kwa kuonea watu na kula rushwa. Mtu akiwa nafuatilia haki yake atazungushwa sana ili mradi tu atoe rushwa. Kuna mama mmoja ni kati ya wafanyakazi wa DSTV walioachishwa kazi toka mwaka juzi, amefuatilia anaambiwa atoe...
  17. S

    Ushauri: Ili kudhibiti Rushwa, Bunge likivunjwa Wabunge wasilipwe kiinua mgongo kwani itasaidia kupunguza rushwa na kuweka mizani sawa katika kugombea

    Kwa mtazamo wangu, naamini fedha wanazolipwa wabunge mara tu baada ya Bunge kuvunjwa,ndio hutumiwa na baadhi ya waliokuwa wabunge kuhonga wajumbe wanaohusika katika upigaji kura za maoni katika maeneo yao ili wafanikiwe kushinda katika hatua hiyo. Kwa kifupi,inawezekana kabisa fedha hizi,hasa...
  18. Nyendo

    TAKUKURU Shinyanga inamshikilia Joseph Jonas Tasia kwa kukutwa na doti mia sita (600) za vitenge vyenye nembo ya Chama Cha Mapinduzi na vya kawaida

    TAKUKURU mkoa wa Shinyanga katika ufatiliaji wa vitendo vya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi, manao tarehe 29/06/2020 majira ya saa tatu usiku mtaa wa Mwasele B nyumbani kwa Joseph Jonas Tasia ilikamata doti mia sita za vitenge zenye nembo ya Chama cha Mapinduzi na vya kawaida vikiwa...
  19. Nyendo

    Tuvunje ukimya ili kupambana na rushwa ya ngono

Back
Top Bottom