chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,959
- 20,531
Ndugu wa JF, Rais wetu na viongozi wakuu wa kitaifa wamekuwa wakijipambanua kupambana na rushwa na Mkuu wetu amekuwa akitumbua watumishi wa umma na wakandarasi huku na kule
Je, wajumbe wametupa kikosi cha wagombea kinachochukia rushwa au JPM yuko peke yake ?
Kama bila CCM imara taifa litayumba, je kuna mikakati gani ya kuondoa vimelea vya rushwa ndani ya chama ambayo itayumbisha taifa?
Je, itawezekana kusafisha rushwa Serikalini bila kuisafisha ndani ya chama?
Je, JPM akiangalia kushoto na kulia anaona kazungukwa na wagombea wa aina gani? Je, kama hapendi rushwa lakini kazungukwa na wagombea hawa, nini kitatokea akiiondoka madarakani?
Je, si ndio hawa hushangilia pale JPM anaposhambulia corruption na hata wakati wa hotuba ya kuvunja bunge kidogo meza zipasuke kwa makofi pale JPM alipoonyesha mafanikio ya vita dhidi ya rushwa
Je, wajumbe wametupa kikosi cha wagombea kinachochukia rushwa au JPM yuko peke yake ?
Kama bila CCM imara taifa litayumba, je kuna mikakati gani ya kuondoa vimelea vya rushwa ndani ya chama ambayo itayumbisha taifa?
Je, itawezekana kusafisha rushwa Serikalini bila kuisafisha ndani ya chama?
Je, JPM akiangalia kushoto na kulia anaona kazungukwa na wagombea wa aina gani? Je, kama hapendi rushwa lakini kazungukwa na wagombea hawa, nini kitatokea akiiondoka madarakani?
Je, si ndio hawa hushangilia pale JPM anaposhambulia corruption na hata wakati wa hotuba ya kuvunja bunge kidogo meza zipasuke kwa makofi pale JPM alipoonyesha mafanikio ya vita dhidi ya rushwa