Ukimya wa CCM kwenye kuteua wagombea una jambo nyuma yake,sio bure!
Kwa nyepesi nyepesi zilizoko mtaani ni kuwa majimbo karibu yote rushwa imehusika!
Je,itakuwa funika kombe???View attachment 1535784View attachment 1535784
Daaah 😁😁😁😁,halafu kuna mtu anatamba kapambana na rushwa!!!!!😂😂😂View attachment 1535791Masisiemu ndio yanaongoza kwa rushwa kwenye nchi yetu!
CCM ya JIWE hiyo, eti ndio safi kuliko zote.Ukimya wa CCM kwenye kuteua wagombea una jambo nyuma yake,sio bure!
Kwa nyepesi nyepesi zilizoko mtaani ni kuwa majimbo karibu yote rushwa imehusika!
Je,itakuwa funika kombe???View attachment 1535784View attachment 1535784
Ccm na rushwa baba yao na mama yao mmoja!CCM ya JIWE hiyo, eti ndio safi kuliko zote.
Mwenzenu naona ndio INAZIDI kung'ara kwa demokrasia ya RUSHWA
Maana hata wanaojifunza kutoa rushwa , kama yule mwaJF aliepata 0, walijivunia kujazana huko kwenye nguvu ya RUSHWA