Habari wana jukwaa,
Nimeanza na kichwa hapo. leo ni siku ya 4 mkandarasi amekata rami barabara ya Old Bagamoyo Road ili kufanya marekebisho lakini mashimo yalikatwa mengi na makubwa na yana sharp edge, na hakuna tahadhari au onyo yoyote iliyowekwa kuwa kuna ujenzi unaendelea. Juzi usiku kuna...
Kisiasa, unapoisha uchaguzi mmoja maandalizi ya uchaguzi mwingine huanza. Maandalizi ya uchaguzi wa mwaka huu 2020 (kuihusu CCM pekee) yalianza tangu mwaka 2015. Makada walijipanga kutetea majimbo na kata na wengine wakitamani kuzipoka kata na majimbo kutoka kwa wasasa. Maandalizi ya kiuchaguzi...
Tulisikia "maigizo" ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Humphrey Polepole, akieleza kuwa safari hii kwenye uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, hawataruhusu hata kidogo watoa rushwa wenye nia ya kutaka kupendekezwa na chama hicho kwa nia ya kuwa wagombea kwa nafasi yoyote katika uchaguzi ujao...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Wilaya ya Kinondoni, inawashikilia viongozi wanne wa Jimbo la Ubungo(CCM) kwa tuhuma za rushwa pamoja na kuanza kampeni za uchaguzi mkuu kabla ya muda.
Salaam Wakuu,
Kuelekea Uchaguzi mkuu, Wanasiasa wamekuwa wakivalia nguo za vyama na kisha kuzunguka huku na huku kutoa Zawadi na kudaiwa kwamba wanatimiza ahadi walizozitoa 2015.
Na hii imekuwa na pande mbili:
1). Anayetoa Msaada kama sio Mbunge au kiongozi yoyote wa Kuchaguliwa huwa...
Habari wanajamvi.
Rushwa ni adui wa haki! Hii zamani ilikuwa ni ahadi ya Mwana TANU lakini kwa bahati mbaya haikurithiwa na wana CCM.
Juzi tumeona tausi lukuki wakitolewa kwa Marais wastaafu kama zawadi. Kwangu mimi ile ni rushwa tena first class. Nitafafanua.
Kwangu mimi ile ni rushwa...
Katika mkoa wa simiyu Kuna tabia ya polisi kuwakamata BODABODA na kuomba rushwa ili wawaachie. Sababu za ukamataji huo zimejificha kwenye makosa makuu mawili.
1. Leseni
2. Bima
Pamoja na kuwa BODABODA hao wengi wao hawana vitu hivyo vya muhimu kisheria lakini pia jeshi la polisi haliwasaidii...
fatuma Karume ameuliza je Matumizi ya mabaya ya fedha ni RUSHWA? Au ni kazi ya CAG? Waseme kuna KESI YA RUSHWA. Wasituambie matumizi MABAYA maana hata Serikalini, CAG kabaini kuna MATUMIZI MABAYA ya fedha, lakini haina maana ni RUSHWA chini ya SHERIA ya RUSHWA!!! Mamlaka ya PCCB ni kwa makosa...
Hapo vip!!!
Kwa muda mrefu uongozi ndani ya chadema imekuwa ikituhumiwa kuhusika na rushwa ya ngono kwa wabunge wa viti maalum ila washabiki na baadhi ya wanachama wa chadema wamekuwa wakitafrisi tuhuma hizo kama giliba za kisiasa.
Binafsi wakati nikiwa university nilivutiwa na sera ya...
DIWANI wa Kata ya Kijichi halmashauri ya Manispaa wa Temeke kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM), Elias Mtarawanje (29), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke akikabiliwa na mashtaka mawili likiwamo la kupokea rushwa ya Sh. Milioni moja kutoka kwa Yusuf Omary.
Diwani huyo amefikishwa...
Mahakama ya Wilaya ya Kongwa, imemhukumu Ofisa Tabibu wa wilaya hiyo, Martine Ndahani, kifungo cha miaka sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kumshawishi mwananchi ampe rushwa ya Sh. 100,000 ili mgonjwa wake aongezwe damu.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mfawidhi wa Wilaya hiyo...
Jumapili ya leo najaribu kuvirejea viapo mbalimbali nilivyowahi kuapa na ahadi mbalimbali nilizoahidi kuzitekeleza.
Miongoni mwa hizo ni ahadi nilizoahidi wakati napokea kadi yangu ya uanachama wa CCM kutoka kwa mwalimu JK Nyerere katika Uwanja wa Samora mjini Iringa.
Hizi ahadi zimekaa vizuri...
Habarini za huku.
Leo nimeona niandike jinsi gani watumishi wa mamlaka ya mapato TRA kitengo cha ukusanyaji mapato wa uwanja wa ndege airport jinsi wanavotumia vyeo vyao vibaya kujipatia hela kwa njia kandamizi na kwa kuomba rushwa nje nje.
Wafanyabiashara hupendelea kupanda Ethiopian...
UNAJUA MADHARA YA KIUCHUMI YA KUWEKEZA NJE YA NCHI?
Nchi za kiafrika zimelalamikiwa mara kwa mara kujihusisha na rushwa na kutumia fedha hizo kuwekeza kwenye makampuni au benki zilizoko nje ya nchi
Rushwa, ipo kila sehemu duniani. Kuna uwezekano mkubwa rushwa kuwa nyingi katika nchi...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ambayo Mheshimiwa Magufuli hajajulishwa ni kampuni isiyo rasmi inayomilikiwa na mtu mmoja, kutoka Dodoma mwenye mke kutoka Kigoma akishirikiana na watu wa UDART-wachache kuingiza omba omba vituoni ili kuomba na mapato hayo hugawana wahusika.
Sasa ukifika...
"Mmoja amlima barua mwenzake ili makao makuu waingilie kati" barua imeambatanishwa.
Hali inazidi kuwa tete Wilaya ya Bunda baada ya Viongozi wa CCM wilaya kushutumiana kula rushwa za Mtia Nia Zury Nanji maarufu kama Mwanza Huduma.
Viongozi hao wamefikia hatua mbaya ya kushutumiana na kuomba...
Kuna kiongozi wa CHADEMA amewahi kusema bungeni juu ya mwenendo wa kushughulikia mambo ya wizara ya uvuvi kwa operations. Pamoja na waziri Mpina kuitetea wizara yake, kumbukumbu yangu inaonesha hakuna operation ambayo imewahi kufanikiwa bila matatizo kwa wananchi, bahati mbaya wanaoendesha...
Kusema kweli mimi mkiristu kisa cha Ramadhani Ntunzwe kimenisikitisha
Mwenye MB zako nisimwage chumvi Ona hapa[emoji116][emoji116][emoji116]
Hii issue ikianza hivi natoa pongezi kwa Ramadhani kwa uvumilivu
VIDEO: Hivi ndivyo mfanyabiashara aliyetajwa na Magufuli
Baadae ikafuata hii mpaka...
TAARIFA KWA UMMA KUPITIA VYOMBO WA HABARI
IMETOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM
MACHI 20, 2020
WATUMISHI WAWILI WA TAKUKURU
WASIMAMISHWA KAZI KUPISHA UCHUNGUZI.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa — TAKUKURU inapenda kuufahamisha umma kwamba, watumishi wake wawili akiwemo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.