Double standards: TAKUKURU yashindwa kuwachukulia hatua watoa rushwa wa CCM wasema chama ndio kiwachukulie hatua

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
IMG_20200813_060642.jpg
 
Hatari sana, nimeona pia gazeti moja limemchafua sana Tundu Lisu Leo, Nikajiuliza hivi ndo ingekuwa magufuli kaandikwa hivi ingekuwaje.....Ila hivi vyombo vya serikali vijue kabisa kuwa Urais ni kupokezana , Leo huyo mnaempendelea kesho atakuwa mpinzani, na huyu mnarmkandamiza kesho ndo atakuwa rais, Sijui mtaficha wapi sura zenu. Kumbukeni Malawi, Kenya, Zimbabwe, Congo na nchi nyingine nyingi kuwa vyama tawala sasa hivi ndio vyama vya upinzani.
 
Hatari sana, nimeona pia gazeti moja limemchafua sana Tundu Lisu Leo, Nikajiuliza hivi ndo ingekuwa magufuli kaandikwa hivi ingekuwaje.....Ila hivi vyombo vya serikali vijue kabisa kuwa Urais ni kupokezana , Leo huyo mnaempendelea kesho atakuwa mpinzani, na huyu mnarmkandamiza kesho ndo atakuwa rais, Sijui mtaficha wapi sura zenu. Kumbukeni Malawi, Kenya, Zimbabwe, Congo na nchi nyingine nyingi kuwa vyama tawala sasa hivi ndio vyama vya upinzani.
Nimesikiliza kipindi cha magazetini Leo, nikajiuliza maswali kama yako. Hivi Nipashe lingeandika "mgombea wa CCM aache kuropoka" lingeendelea kuwa mitaani? Halafu tunaambiwa kuna uchaguzi huru!!!
 
Nimesikiliza kipindi cha magazetini Leo, nikajiuliza maswali kama yako. Hivi Nipashe lingeandika "mgombea wa CCM aache kuropoka" lingeendelea kuwa mitaani? Halafu tunaambiwa kuna uchaguzi huru!!!
Hatari sana, nimeona pia gazeti moja limemchafua sana Tundu Lisu Leo, Nikajiuliza hivi ndo ingekuwa magufuli kaandikwa hivi ingekuwaje.....Ila hivi vyombo vya serikali vijue kabisa kuwa Urais ni kupokezana , Leo huyo mnaempendelea kesho atakuwa mpinzani, na huyu mnarmkandamiza kesho ndo atakuwa rais, Sijui mtaficha wapi sura zenu. Kumbukeni Malawi, Kenya, Zimbabwe, Congo na nchi nyingine nyingi kuwa vyama tawala sasa hivi ndio vyama vya upinzani.
Unashangaa ya Tundu Lissu kuitwa mropokaji, gazeti Hilo Hilo Jana liliandika kuwa Maalim Seif Ni shoga,

IMG_20200813_120258.jpg
IMG_20200813_120253.jpg
EHQkNopXkAEQNcV.jpg
 
Back
Top Bottom