Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
talk of impunity.
Dr Mwanjelwa wa Mbeya ni boss wao.
TAKUKURU wako sahihi kwani ni wateule wa Rais ambaye pia ni mwenyekiti na mgombea wa chama chao hivyo kumuachia mwenyekiti wao ni sahihi hata Pascal analijua hilo.
Hiyo ndiyo mama Tanzania, hawasimamii wanacho kiongea
Watakuwa wanaunajisiKwa rushwa walizotoa CCM sidhani kama wanastahili washiriki uchaguzi ujao!
Sawa SawaTAKUKURU uko sahihi kwani ni wateule wa Rais ambaye pia ni mwenyekiti na mgombea wa chama chao hivyo kumuachia mwenyekiti wao ni sahihi hata Pascal analijua hilo.
Nimesikiliza kipindi cha magazetini Leo, nikajiuliza maswali kama yako. Hivi Nipashe lingeandika "mgombea wa CCM aache kuropoka" lingeendelea kuwa mitaani? Halafu tunaambiwa kuna uchaguzi huru!!!Hatari sana, nimeona pia gazeti moja limemchafua sana Tundu Lisu Leo, Nikajiuliza hivi ndo ingekuwa magufuli kaandikwa hivi ingekuwaje.....Ila hivi vyombo vya serikali vijue kabisa kuwa Urais ni kupokezana , Leo huyo mnaempendelea kesho atakuwa mpinzani, na huyu mnarmkandamiza kesho ndo atakuwa rais, Sijui mtaficha wapi sura zenu. Kumbukeni Malawi, Kenya, Zimbabwe, Congo na nchi nyingine nyingi kuwa vyama tawala sasa hivi ndio vyama vya upinzani.
Nimesikiliza kipindi cha magazetini Leo, nikajiuliza maswali kama yako. Hivi Nipashe lingeandika "mgombea wa CCM aache kuropoka" lingeendelea kuwa mitaani? Halafu tunaambiwa kuna uchaguzi huru!!!
Unashangaa ya Tundu Lissu kuitwa mropokaji, gazeti Hilo Hilo Jana liliandika kuwa Maalim Seif Ni shoga,Hatari sana, nimeona pia gazeti moja limemchafua sana Tundu Lisu Leo, Nikajiuliza hivi ndo ingekuwa magufuli kaandikwa hivi ingekuwaje.....Ila hivi vyombo vya serikali vijue kabisa kuwa Urais ni kupokezana , Leo huyo mnaempendelea kesho atakuwa mpinzani, na huyu mnarmkandamiza kesho ndo atakuwa rais, Sijui mtaficha wapi sura zenu. Kumbukeni Malawi, Kenya, Zimbabwe, Congo na nchi nyingine nyingi kuwa vyama tawala sasa hivi ndio vyama vya upinzani.
Hivi ndivyo TAKUKURU inavyopaswa kufanya kazi zake ?PCCB Umemaliza Kazi Yake Vema
Tuone Chama Dola!!! Wakitenda Haki
Mguu Wa Roho Huu
Mimi nilijua wanawapeleka mahakamani!!Sikuwahi kujua kuwa TAKUKURU wanakifanyia kazi chama!Yaani watoa rushwa wanashitakiwa kwenye chama?PCCB Umemaliza Kazi Yake Vema
Tuone Chama Dola!!! Wakitenda Haki
Mguu Wa Roho Huu
Ni kweli waliandika hivyo mkuu@Johnny Sack ? Ni gazeti gani? Tunaomba picha tuweke kumbukumbu, kesho tuwe na ushahidi.Unashangaa ya Tundu Lissu kuitwa mropokaji, gazeti Hilo Hilo Jana liliandika kuwa Maalim Seif Ni shoga,