rais

  1. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mr. Paul Makonda, kama Rais hajakuachia hata mlinzi mmoja akulinde, basi teuzi utazisikia kwenye Tv tu

    Habari wakuu! Huyu Makonda aliyesifiwa kukamata wauza madawa ya kulevya na kutikisa jiji na nchi aliongezewa ulinzi ghafla na Rais(serikali) mpaka pale hali ilipotulia. Baadaye aliendelea kuwa na ulinzi kiasi kutoka Vyombo mbalimbali vya Ulinzi vya mkoa wa Dar es Salaam mpaka alipoachia...
  2. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kifo cha Benjamin Mkapa, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu lawamani. Inahitaji kusaidiwa kumsaidia Rais - Jicho Letu Ndani ya Habari

    Wanabodi, Naangalia Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari, kipindi kinajadili Msiba wa Benjamin Mkapa. Tangazo la Msiba lililotolewa na Rais Magufuli, Kurungenzi ya Mawasiliano Ikulu imelaumiwa kwa kutokumsaidia rais kikamilifu kutoa tangazo hili, hali inayotafsiriwa kuwa katika baadhi ya...
  3. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Deogratias Nsokolo, Rais UTPC na kada wa CCM ni "kirusi"kwa waandishi wa habari nchini

    Deogratias Nsokolo, Rais UTPC na kada wa CCM ni "kirusi"kwa waandishi wa habari nchini Rais wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Deogratias Nsokolo ni kirusi kinachowauwa waandishi wa habari katika mapambano ya kudai haki na ukuaji wa tasnia hiyo kwa ujumla. Rais wa UTPC...
  4. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Jenerali Ulimwengu afunguka kuhusu Rais Mkapa

    Duh! Naona Jenerali Ulimwengu na marehemu Rais Mkapa walikuwa hawapikiki chungu kimoja!
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima

    Historia ya Benjamin Mkapa MFULULIZO WA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOTOKEA WAKATI WA MSIBA NA MAZISHI YA HAYATI MZEE BENJAMINI WILLIAM MKAPA WANANCHI WASIMAMA BARABARANI KUAGA MWILI WA RAIS MKAPA Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, wameonekana wakisimama barabara kuonyesha heshima kwa...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Mambo yaliyoanzishwa na Rais Benjamini Mkapa

    Benjamin William Mkapa alichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 1995 na alikuwa madarakani kuanzia mwaka 1995 hadi 2005. Katika utawala wake alifanya mengi haya ni machache kati ya hayo. TAKUKURU. Kabla ya kuwa TAKUKURU kwa sheria ya TAKUKURU ya 11 ya mwaka 2007, ilikuwa...
  7. Influenza

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Mkapa: Rais Kenyatta aotoa salamu za pole. Raila Odinga amlilia, asema Kenya itamkumbuka kwa juhudi zake za kuiletea nchi hiyo amani

    Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametuma ujumbe wa salamu za pole kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli; Watanzania wote pamoja na familia kufuatia kifo cha Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Katika ujumbe wake, Rais Kenyatta amemuomboleza kiongozi huyo kama mtu bora wa Afrika Mashariki aliyefanya kazi kwa...
  8. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Napinga viongozi wa dini kukutana kwa lengo la kuelezea kinachoitwa mafanikio ya Rais Magufuli, hii ni kampeni na haikubaliki

    Taarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5! Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Hayo malalamiko ya Rushwa kila kona kwenye uchaguzi ndio uhalisia wa CCM

    Mada inahusika sambamba na kinachoendelea kwenye kura ya maoni kuelekea uchaguzi mkuu 2020. Ndugu Mwenyekiti nadhani umepata picha halisi. Hayo malalamiko ya RUSHWA kila kona kwenye uchaguzi ndio uhalisia. Zile jitihada zako bado hazijafua dafu. Nadhani unazo taarifa za wateule hatua hii ya...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa utaalamu wa Diplomasia Rais Mtarajiwa Bernard Membe yuko vizuri sana

    Kwa Nyie Diaspora Mgombea mwenye kutetea maslahi yenu kwenye suala la Uraia pacha ni Bernard Membe Katika hii clip Rais Mtarajiwa Bernard Membe anazungumzia Umuhimu wa uraia pacha, anatambua magumu mnayopitia huko katika nchi mnazoishi Kwa mfano katika nchi ambazo Healthcare costs ni ndogo sana...
  11. T

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli jifunze kuwa vetting ni muhimu sana kabla ya kugawa cheo

    Leo nakuomba sana sana ukumbuke kuwa wale wapinzani wote mliowanunua na kuwapa mavyeo au kuwashindisha kwenye uchaguzi wa marudio hawakuwa wamefanyiwa vetting ama ya kiserikali ama ya kichama. Mngekuwa mmewafanyia vetting watu kama akina Protabas Katambi, Kafulila, Cecil Mwambe, Karanga, Mollel...
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda: Rais Museveni ajipanga kugombea tena

    Rais wa Ugnda Yower Museveni amethibitisha kugomea tena kwa muhongo wa nne tangu aanze kuwa Rais wa Uganda. Kiongozi huyo aliyeanza kuwa Rais wa Uganda mwaka 1986 na kuwa Rais wa Nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 30, anatarajiwa kugombea katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika 2021 nchini humo. Museveni...
  13. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Serikali: Nashauri Serikali iwanyang'anye passport za kusafiria wale wote waliotukana, kudhihaki na kumsema vibaya Rais wetu

    Kwako serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania. Mimi ni kijana mzalendo, niliyepata mafunzo ya kijeshi nikafundishwa kupenda taifa letu, nikafundishwa kulinda upendo na amani ya nchi yetu. Ninao uchungu mkubwa juu taifa langu. Nimekuwa nikikerwa sana juu ya ndugu zetu wengine ni viongozi...
  14. JOYOPAPASI

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, awashushua TAKUKURU na Watendaji wote wanajipendekeza kwake na kupeleka miradi ya Maendeleo Chato

    “Mnasema mnataka kujenga Ofisi ya TAKUKURU Chato nawashangaa, TAKUKURU Chato wana Ofisi ya Wilaya tuliwapa Jengo tena la ghorofa lipo juu milimani kwenye shamba la Marehemu Baba yangu ambalo alinyang’anywa, msizungumze mambo kwa kunifurahisha mimi na kujipendekeza this is not the way”-JPM wakati...
  15. Puma yetu

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kilio hiki kikufikie Dkt. Bashiru na Rais Magufuli. Rushwa yatoa mgombea Singida Magharibi

    Wasalaam viongozi wangu taifa! Kwanza kabisa ninaomba kuwasilisha vilio vingi kwa niaba ya wanachama wa CCM jimbo la Singida magharibi kupitia jukwaa hili. Ninamfahamu kabisa viongozi wangu mwenyekiti na katibu wa chama changu taifa uadilifu wenu hauna mashaka na hauwezi kutiliwa shaka ya...
  16. J

    JamiiForums Tanzania GE2020 Nakubaliana na Rais Magufuli kwamba Wagombea Urais kupitia Vyama vya Upinzani wamuunge mkono ili kuokoa fedha za walipakodi

    Wakati akiwapongeza NEC kwa kubana matumizi na kuokoa takribani sh bilioni 12 katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, Rais Magufuli " alichomekea" kwamba hata wagombea urais wa upinzani wanaweza kuamua kumuunga mkono yeye ili kuokoa kodi za wananchi. Mbatia, Prof. Lipumba na Mzee Cheyo walitabasamu na...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa Umma waliotia nia kugombea nafasi mbalimbali za kisiasa kukatwa mshahara wa mwezi Julai

    Haijulikani sababu ni zipi zimeletekeza watumishi wa Umma ndiyo kuwa wengi katika kutia nia kuliko wafanyabishara na wafanyakazi wa Sekta Binafsi. Kuna wengine ambao waajiri wao wamegoma kuwapitishi ruhusa. Kuna wengine kwa kuona mizengwe ya viongozi wao kuhusu kuomba ruhusa wameamua kuondoka...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Marekani: Rais Trump awataka wamarekani watumie barakoa

    Rais Donald Trump amewataka wamarekani watumie barakoa. Awali, Rais Trump alikuwa havai barakoa kwa madai kuwa hazina msaada wowote, ila sasa amesema ataanza kuvaa Nchi hiyo imerekodi vifo 1,000 vya COVID19 kwa siku ya Jumanne na kufanya kuwa na jumla ya vifo 144,953, nchi hiyo ina maambukizi...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kumkata Paul Makonda kwenye Kura za Maoni CCM, siyo maamuzi yenye akili

    KUMKATA MAKONDA SI MAAMUZI YENYE AKILI Na, Robert Heriel Ikiwa CCM itaamua kumkata Mhe. Paul Makonda itakuwa imefanya maamuzi yasiyo na busara. Yatakuwa ni maamuzi yasiyo na akili. Makonda ni moja vijana wachache muhimu kwa zama hizi katika taifa hili. Taifa la Tanzania linahitaji vijana mia...
  20. J

    JamiiForums Tanzania Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli amewaapisha Naibu/Makatibu Wakuu, Katibu Tawala na Mkuu wa Mkoa Njombe, awasisitiza wote kwenda kuchapa kazi

    Rais Magufuli leo anawaapisha wateule wake aliowateuwa hivi karibuni wakiwemo makatibu wakuu na mkuu wa mkoa wa Njombe Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Viongozi Wateule watakaoapishwa Chamwino Dodoma 1. Mhandisi Marwa Mwita Bubirya Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe 2. Dkt. Aloyce Nzuki, kuwa Katibu...
Back
Top Bottom