Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,613
Hawa ni wabeba maboksi wa huko Copenhagen, Denmark.
Huyo mdada ndo wewe?
Mimi niko pande nyingine kabisa nawakilisha Huyo sio mimiHuyo mdada ndo wewe?
Waulize wao.Kwa wanahofu gani mpaka washauri hivi?
HawajawapangiaWasitupangie,,,,
Sijaelewa swali lako.Wewe kama mdau uliyeanzisha uzi kulalamikia swala la passport na namna mpya ya mTanzania kutoka na kuingia humu nchini unawashaurije?
Eti wamewaasa watanzania, wao ni kina nani na wana sifa gani?Wamchague wao, sisi hatumchagui maana machungu yake tunayaona sisi!
🖕🏿Hawa ni makanjanja tu kama wewe
MpHawa wabeba maboksi ni wa Copenhagen, Denmark!
Hii habari ni mkuki wa sumu kwa matagaWaambie warudi waje kupiga kura wampigie.
Halafu waambie wanabebaje boksi ulaya wakati huku Magufuli kafanya kila kitu shwari, kwa nini wasirudi kuja kupiga kazi nyingi za kueleweka kuliko kuosha vikongwe makalio.