Ndugu zangu watanzania mm sipendi Kuwa mnafiki pamoja nampongeza Rais wangu Magufuli ila naumia Sana ninapo wasikilizaupinzani hata kama nichizi au umelamba benders za chama kuna msg nzito Sana hawa jamaa wanatupa Sisi watanzania na Taifa Kwa ujumla.
Watu hatuelewi na watu tumekuwa kama watu walio ktk mapango na hili linaibuwa maswali magumu na mazito Kwa muktadha wa Taifa. Hili.
Mzee Mmoja akiwa na malengo na shabaha kubwa kuijenga familia yake aliwekeza pesa na mitaji ktk maendeleo na akasahau familia yake mke na watoto walikuwa Wana muhitaji Yani ule umoja wa familia aliongoza familiaa yake vizuri akajenga magorofa na magari akanunua ila hakuwahi Kuwa na muda na familia yake mke na watoto wakajadili vipaumbele vyake na Kule Wana elekea. Watoto walisoma ila hawakuwa na furaha ya Mali Baba Yao kapata magari yapo ila hata mke haendeshi wala watoto hawayagusi. Mbaya walikula Kwa shida na wakati mwingine maisha Yao na ya Baba alie onekana nimwenye uwezo hayakuwa yakifanana. Nakila wakitamani kuuliza. Baba huwa mkali na mwenye kufoka Jambo hili liliwakwaza watoto Sana nakujiona wasio na thaman pamoja na utajiri Baba Yao alikuwa nao. Baba mkali asie na huruma wala muda na familia.
Miaka ilienda na watoto walikuwa na Mungu akawapa maisha Yao ila amino usiamini hawakuwa na muda na Baba Yao hata SIM japo mama walimpenda na kumkumbuka hata wakati mwingine kumuita wakae naye. Mzee alipo tamani kuwaona watoto walimtumia pesa ila hawakwenda kumuona Mzee Yule akiwa ktk majumba yake akashuka ghorofani aka kaa chini maana hakuwa na uwezo kipanda ngazi tena nyumban ulikuwa pweke na magari alinunua hakuna hata mtoto alitamani kuendesha maana walikuwa na ya kwao ndipo siku moja Mzee akavunja ukimya nakuwauliza wanae jamani kwanini hamji kuniona, watoto wakamjibu Baba he ulipokuwa ukitafuta uliwahi Kuwa na muda na Sisi,? Mzee alibubujika machoz ila miaka ilipozid kwenda Mungu akamchukua Yule Mzee amino usiamini malizake watoto walipiga mnada kweupe Kwa uchungu maana walipoziona walikumbuka ubeberu wa Baba shida na mateso walipita.
Ndugu zangu Taifa nisawa na familia na kamwe usije danganyika eti Taifa linatofaitiana na familia . Mh Rais amefanya mengi Sana ila amefanyaje ndio swali gumu litautesa utawala wake Kwa miaka mingi ijayo. Watu watasema amefanya kile na kile ila tukumbuke watu wameishi Kwa dhiki kuijenga Taifa kama kuna MTU hajapata ajira wala kuongezwa mshara kisa tunakenga nchi Kesho mtoto wake hatosema mazuri ya Yale utakuwepo. Habari za watu wasio julikana kubanwa Kwa vyombo vya habari na kutwezwa utu wa watu just because ni Rais kasema kutaigarimu Sana serikali yangu ya ccm na utawala huu.
nilikuwa mahalo MTU akasikia mkuu kamtumbuwa MTU akawa Hana hata muda kusikia maana umekuwa kawaida nilazima tujenge umoja wakitaifa tutake ama tusitake maana Taifa lisilo na umoja nimakazi ya shetani.
Watu wanasema nini kimetokea Libya watu waliokuwa wakipata kila kitu nakufurahia KAZI nzuri ya Rais wao. Watu walikuja kugunduwa wanatafunana wenyewe Kwa wenyewe na Kwa kipindi kirefu wakaja gunduwa anaye waongoza ndie anawala. Why Usimseme vibaya Ghadafi umepotea hii hali ikatengenezewa chuki Kali na mwisho Libya pakawa mahali pa vita.
Ndugu zangu hivi kweli watanzania wakifungua waone habari moja Tu ccm na hawapati taarifa nyingine mnategemea nn kitatokea? Hivi kweli ktk kila watu Mia alie msema vibaya Rais atapotea na kupigwa vibaya nini raia watatafasiri?
Tumejenga miundo mbinu yes we do makini tumejenga je na hapo ndipo kipimo cha serikali kipo ubabe na vitisho kamwe havijengi Taifa ila vinalibomoa nakuliangamiza.
Hayo ndio Naomi yangu.
Watu hatuelewi na watu tumekuwa kama watu walio ktk mapango na hili linaibuwa maswali magumu na mazito Kwa muktadha wa Taifa. Hili.
Mzee Mmoja akiwa na malengo na shabaha kubwa kuijenga familia yake aliwekeza pesa na mitaji ktk maendeleo na akasahau familia yake mke na watoto walikuwa Wana muhitaji Yani ule umoja wa familia aliongoza familiaa yake vizuri akajenga magorofa na magari akanunua ila hakuwahi Kuwa na muda na familia yake mke na watoto wakajadili vipaumbele vyake na Kule Wana elekea. Watoto walisoma ila hawakuwa na furaha ya Mali Baba Yao kapata magari yapo ila hata mke haendeshi wala watoto hawayagusi. Mbaya walikula Kwa shida na wakati mwingine maisha Yao na ya Baba alie onekana nimwenye uwezo hayakuwa yakifanana. Nakila wakitamani kuuliza. Baba huwa mkali na mwenye kufoka Jambo hili liliwakwaza watoto Sana nakujiona wasio na thaman pamoja na utajiri Baba Yao alikuwa nao. Baba mkali asie na huruma wala muda na familia.
Miaka ilienda na watoto walikuwa na Mungu akawapa maisha Yao ila amino usiamini hawakuwa na muda na Baba Yao hata SIM japo mama walimpenda na kumkumbuka hata wakati mwingine kumuita wakae naye. Mzee alipo tamani kuwaona watoto walimtumia pesa ila hawakwenda kumuona Mzee Yule akiwa ktk majumba yake akashuka ghorofani aka kaa chini maana hakuwa na uwezo kipanda ngazi tena nyumban ulikuwa pweke na magari alinunua hakuna hata mtoto alitamani kuendesha maana walikuwa na ya kwao ndipo siku moja Mzee akavunja ukimya nakuwauliza wanae jamani kwanini hamji kuniona, watoto wakamjibu Baba he ulipokuwa ukitafuta uliwahi Kuwa na muda na Sisi,? Mzee alibubujika machoz ila miaka ilipozid kwenda Mungu akamchukua Yule Mzee amino usiamini malizake watoto walipiga mnada kweupe Kwa uchungu maana walipoziona walikumbuka ubeberu wa Baba shida na mateso walipita.
Ndugu zangu Taifa nisawa na familia na kamwe usije danganyika eti Taifa linatofaitiana na familia . Mh Rais amefanya mengi Sana ila amefanyaje ndio swali gumu litautesa utawala wake Kwa miaka mingi ijayo. Watu watasema amefanya kile na kile ila tukumbuke watu wameishi Kwa dhiki kuijenga Taifa kama kuna MTU hajapata ajira wala kuongezwa mshara kisa tunakenga nchi Kesho mtoto wake hatosema mazuri ya Yale utakuwepo. Habari za watu wasio julikana kubanwa Kwa vyombo vya habari na kutwezwa utu wa watu just because ni Rais kasema kutaigarimu Sana serikali yangu ya ccm na utawala huu.
nilikuwa mahalo MTU akasikia mkuu kamtumbuwa MTU akawa Hana hata muda kusikia maana umekuwa kawaida nilazima tujenge umoja wakitaifa tutake ama tusitake maana Taifa lisilo na umoja nimakazi ya shetani.
Watu wanasema nini kimetokea Libya watu waliokuwa wakipata kila kitu nakufurahia KAZI nzuri ya Rais wao. Watu walikuja kugunduwa wanatafunana wenyewe Kwa wenyewe na Kwa kipindi kirefu wakaja gunduwa anaye waongoza ndie anawala. Why Usimseme vibaya Ghadafi umepotea hii hali ikatengenezewa chuki Kali na mwisho Libya pakawa mahali pa vita.
Ndugu zangu hivi kweli watanzania wakifungua waone habari moja Tu ccm na hawapati taarifa nyingine mnategemea nn kitatokea? Hivi kweli ktk kila watu Mia alie msema vibaya Rais atapotea na kupigwa vibaya nini raia watatafasiri?
Tumejenga miundo mbinu yes we do makini tumejenga je na hapo ndipo kipimo cha serikali kipo ubabe na vitisho kamwe havijengi Taifa ila vinalibomoa nakuliangamiza.
Hayo ndio Naomi yangu.