Wakati wananchi wa Afrika kusini wakiwa kwenye kipindi cha kujifungia ndani kukabiliana na corona baadhi wa waislamu waliamua kukiuka agizo la serikali la kukusanyika wakaamua kwenda ibadani kuomba baada ya mfungo wa waislam kuanza.
Baada ya watu hao kukiuka agizo la serikali la kukusanyika...
Watu 16 wameuawa kwa shambulio la risasi lilifanyika mjini Nova Scotia nchini Canada. Mmoja kati ya watu walioawa ni konstebo mstaafu Heidi Stevenson
Gabriel Wortman(51) amedaiwa kuwa ndiye aliyefanya shambulio hilo na kuwapumbaza askari kwa masaa mengi kwa kuwa inasemekana alikuwa amevaa kama...
Askari polisi wa kituo cha Mbalizi mkoani Mbeya leo wamefanya Ibada kituoni hapo kutimiza maelekezo ya Rais Magufuli ya kufanya maombi dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Ibada hiyo iliongozwa na mkuu wa kituo afande Lusekelo na kuhudhuriwa na mkuu wa wilaya.
Source ITV habari.
My take; Tukio hili...
Pamoja na jitihada zao binafsi za kujikinga lakini, makundi haya mawili, watu wake wako kwenye hatari kubwa zaidi ya kuangamia na kuziangamizia famili zao.
Huu ni ukweli usiopingika, watu hawa kutokana na uhalisia wa kazi zao wanakutana na watu wengi kwa siku, hivyo basi, nimuhimu wakaangaliwa...
Polisi wamevamia Bar za Kinondoni kutawanya mikusanyiko iliyokuwa inaendelea wakati wa usiku kipindi hiki cha janga la #CoronaVirus
Bar na shughuli nyingine zilizokuwa zinaendelea kwa muda wa usiku zilitakiwa kufungwa
Polisi hao walitawanya watu starehe baada ya kutoa tahadhari kwa ving’ora...
Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshikilia Mussa Jackson Kisinza, (25) mkazi wa kijiji cha Mwakitolyo namba 02 wilaya ya Shinyanga kwa kutoa taarifa ya uongo kwa kumpigia simu na kumdanganya Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kuwa ana ugonjwa wa Covid 19...
Katika hali isiyo ya kawaida inasemekana Jeshi la Polisi limelala usingizi wa PONO [samaki huyu hulala usingizi wiki mbili mfulilizo kwenye matumbawe].
Hali hiyo imekuja baada ya uwepo wa PIKIPIKI, VESPER NA BAISKELI za kisasa zenye kutumia umeme wa jua na umeme wa maji ambazo huchajiwa.
Swali...
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linamshikilia Mohamed s/o Kassim miaka 47, mkazi wa Mbagala kwa tuhuma za kumiliki silaha
aina fatih 13turukye Pisto yenye No, TZ C.A.R 1053515 ikiwa na magazine yake isiyokua na risasi kinyume cha sheria.
Mnamo tarehe 07/04/2020 saa 12:30 jioni...
Ni jambo ambalo linazidi kuenea Tanzania. Mara nyingi unakuta askari polisi wanatumwa kwenye tukio linalohitaji silaha (japo ni machache Tanzania) huku wakiwa wamesheheni silaha na bado wamevaa kiraia. Kwa nini wanafanya hivyo? Je inaruhusiwa kwa askari polisi aliye kwenye response unit kwenda...
Hatimaye serikali ya Kenya imeonekana kuchukua hatua dhidi ya mauaji na ukatili unaoripotiwa kuendelezwa na maafisa wa polisi wanapoidhinisha amri ya kutotoka nje ya saa moja usiku hadi saa kumi na moja asubuhi.
Idara ya usalama imetangaza kuwa polisi wanne wamesimamishwa kazi kusubiri...
Nikiwa hapa katika viunga vya jiji la Nairobi nimejaribu kupata maoni kutoka wa watu mbalimbali ambao nilitaka kufahamu kuhusu sakata la Polisi kupiga watu siku za hivi karibuni na jinsi suala Hilo lilivyoleta mtafaruku ndani na nje ya Kenya.
Wengi wamesikitishwa na kitendo hicho ila wengi...
Mh Kassim Majaliwa amesema ni waziri wa afya pekee mh Ummy Mwalimu ndiye atakayekuwa akitoa taarifa za Corona nchini.
Mh Majaliwa amesema itakapolazimu zaidi basi ama yeye Waziri mkuu, Makamu wa Rais au Rais Magufuli ndio watakaozungumza na si vinginevyo.
Waziri mkuu amesisitiza kuwa mtu...
Ili kupambana na usambaaji wa Virusi vya Corona Serikali ya India ilizuia watu kutoka nje.
Kwenye video hii polisi wanaonekana kuchapa watu waliowakuta wakitembeatembea nje na kuwapa adhabu mbalimbali kwa kukosa utii
Source: abcworldnewstonight
Wadau,
Jana asubuhi nikiwa njiani kwenye mwendo kasi nikiwa nakwenda kwenye mihangaiko yangu ya kila siku vijana wa mjini (wezi wa mifukoni) walinikwapulia simu yangu na vijisenti kiasi kadhaa. Nilistuka baada ya kusikia kijana wa pemebeni yangu alipokuwa analalama amekwapuliwa simu yake, na...
Kusema kweli mimi mkiristu kisa cha Ramadhani Ntunzwe kimenisikitisha
Mwenye MB zako nisimwage chumvi Ona hapa[emoji116][emoji116][emoji116]
Hii issue ikianza hivi natoa pongezi kwa Ramadhani kwa uvumilivu
VIDEO: Hivi ndivyo mfanyabiashara aliyetajwa na Magufuli
Baadae ikafuata hii mpaka...
"Mhe. Esther Bulaya, Mhe. Halima Mdee na Mhe. Jesca Kishoa wameruhusiwa juzi, isingekuwa Corona tulikuwa tunafikiria kuwapeleka nje kupata matibabu zaidi. Bado tunatafakari nini cha kufanya, hali zao bado hazijatengemaa, hasa Esther Bulaya aliyeumia ndani." Mhe. John Mrema
Askari wa Polisi wamezingira Hotel aliyofikia Mikocheni, Dar es Salaam, wakimtafuta Waziri Kivuli wa Wizara ya mambo ya ndani na Mbunge wa Arusha mjini kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mhe. Lema alikuwa azungumze na vyombo vya habari leo jijini D'Salaam kumjibu DPP
Polisi hao wenye silaha...
Inasikitisha sana kuona watanzania wenzetu wakiishi maisha ya hofu kana kwamba hawapo nchini mwao, kule Kitunda kuna sehemu inaitwa Nyantila ambapo maduka zaidi ya 20 yamebomolewa na kuibiwa siku tatu zilizopita.
Na yakaporwa tena jana, vijana wanapora adharani na wanaogopwa, watu wanakabwa saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.