MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,425
CHADEMA bila polisi hamna kitu kabisa zaidi ya mwezi sasa wanaoperate freely hawamake headlines tena, kila gazeti ni mafuriko ya JPM. Zuchu ana jina kubwa mikoani kuliko Lissu.
Wanataka hata Leo wakamatwe na polisi ili waandishi wapate cha kuandika lakini wapi. Mdee hapumui huko alipo Gwajima kamshika pabaya, Sugu kapewa ya mbao na mama la mama.
Wanataka hata Leo wakamatwe na polisi ili waandishi wapate cha kuandika lakini wapi. Mdee hapumui huko alipo Gwajima kamshika pabaya, Sugu kapewa ya mbao na mama la mama.