johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Mgombea urais wa JMT kupitia Chadema Tundu Lisu anasema jeshi la polisi limefanya kazi nzuri katika maeneo yote aliyopita na kufanya kampeni.
Lisu anasema polisi wasisingiziwe kwa lolote kwa sababu wanafanya kazi yao vizuri.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!
Lisu anasema polisi wasisingiziwe kwa lolote kwa sababu wanafanya kazi yao vizuri.
Source Ayo tv.
Maendeleo hayana vyama!