polisi

  1. Analogia Malenga

    Polisi yabaini hekari 100 za bangi

    KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa, atoa siku mbili kwa viongozi wa vijiji vitano mkoani humo kujisalimisha polisi baada ya operesheni iliyofanywa na jeshi hilo, kubaini hekari 100 za mashamba ya bangi. Vijiji hivyo amevitaja kuwa ni Bunduki, Misengere, Kododo, Vinile, na...
  2. Influenza

    Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

    Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, Gilles Muroto amesema leo alfajiri walipokea taarifa kutoka kwa Mbunge wa Viti Maaalum, akiwa na Dereva wa Mbowe, Wilhad Urassa (34) kuwa Mwenyekiti huyo wa CHADEMA wakati akipandisha ngazi kuelekea ndani kwake inadaiwa alishambuliwa na watu 3 Kamanda Muroto...
  3. Analogia Malenga

    Uingereza: Watu 36 wakamatwa kwa kuwashambulia polisi katika maandamano

    Jumla ya watu 36 wamaekamatwa wakati wa maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa Polisi uliofanyika na kusababisha kifo cha Mmarekani mweusi George Floyd. Waandamanaji hao wamekamatwa kwa kufanya fujo, uharibifu na kuwashambulia polisi. Taarifa iliyotolewa hivi karibuni imesema...
  4. GENTAMYCINE

    Ni kwanini mbwa wakali na farasi wababe wa Jeshi la Polisi tokea 2015 hawakukaguliwa na wamekuja kukaguliwa tena 2020?

    Na nasikia Maswali ya 'Mkaguzi' Mkuu 'aliyewakagua' jana yalikuwa ni Kuangalia kama Wanyama hao wana uwezo wa kutoka Baru (Kukimbia) hasa waonapo 'Adui' na pia kuhakikisha kama Farasi wana uwezo wa kupita 'Vichochoroni' sana na kukatisha Mitaa endapo 'Maadui' watakuwa wanaikatisha hiyo Mitaa...
  5. beth

    Cameroon: Mwandishi wa Habari adaiwa kufariki dunia mikononi mwa polisi, Shirika la RSF lataka uchunguzi binafsi kufanyika

    Shirika la Reporters Without Borders (RSF) limesema Samuel Wazizi ambaye alikamatwa Agosti 02,2020 kwa madai ya kukosoa Mamlaka za Serikali amefariki dunia Taarifa ya RSF imesema siku tano baada ya kukamatwa, Wazizi alihamishwa Kituo na kuanzia siku hiyo familia na wanasheria wake hakuruhusiwa...
  6. comte

    Tatizo kumbe ni polisi wala siyo ubaguzi

    Hapa naona dereva mweusi na askari polisi weusi wanaonyeshana kazi
  7. D

    Mjue "Mbokoo" kibaka aliyewahi kuitikisa Kigamboni-Dar kabla ya kudhibitiwa kwa mbinde na Polisi

    Alifahamika kwa jina la MBOKOO! Alikuwa kibaka mwenye miraba minne, Ambaye alikuwa kero kubwa kwa wakazi wa Kigamboni! Taarifa za uhalifu wake ziliwahi kuwa kero zilivyoripotiwa kila siku kwa matukio tofauti kiasi Cha kujaza REPORT BOOK (RB) ya polisi kila kuchwao akituhumiwa kuhusika na...
  8. Nancyjoa13

    IGP Sirro: Polisi hawatawaingilia wanasiasa watakaofuata sheria

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro akiwa Mkoani Simiyu amesema Jeshi hilo kamwe halitawaingilia Wanasiasa katika shughuli zao endapo hawatavunja sheria zilizowekwa wakati wakifanya kazi zao, huku akiwaonya baadhi ya Wanasiasa wenye tabia za kuingilia majukumu ya vyombo vya ulinzi...
  9. Return Of Undertaker

    Mwenyekiti wa CHADEMA Tarime, Martin Maranja akamatwa na Polisi usiku wa manane. Sababu za kukamatwa hazijaelezwa

    🎙”Taarifa: Kamanda @IAMartin_ amekamatwa na @tanpol usiku wa kuamkia leo Alhamis Mjini Tarime na mpaka sasa haijajulikana sababu za kukamatwa kwake.”- @PatricOleSosopi #FreeMartinMaranja
  10. Mystery

    Tunaomba Polisi watujulishe kuhusu upelelezi wao juu ya wale waliomnywesha sumu Mzee Mangula

    Mwanzoni mwa mwezi wa tatu mwaka huu, tulimwona Kamanda wa Polisi wa kanda maalum ya Dar, Lazaro Mambosasa, akiongea na waandishi wa habari, akielezea tukio la kulazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mzee Mangula. Katika taarifa yake hiyo alitutueleza...
  11. beth

    Paris, France: Maelfu waandamana kudai haki itendeke kwenye kifo cha Mfaransa mweusi aliyefia mikononi mwa Polisi mwaka 2016

    Waandamanaji zaidi ya 20,000 wamekusanyika katika Mji Mkuu wa nchi hiyo, Paris kudai haki itendeke katika kifo cha Mfaransa mweusi Adama Traore aliyefia mikononi mwa polisi mwaka 2016 Uchunguzi wa mazingira ya kifo Traore (24) umekuwa ukiendelea kwa miaka minne huku kukiwa na ripoti za kiafya...
  12. Trubarg

    Utafiti: Polisi wa Kenya wameua watu 15 na kujeruhi wengine 31 wakati wa 'ku-enforce Curfew'

    The Independent Policing Oversight Authority (IPOA) says 15 people have been killed and 31 others injured by police officers since Kenya heightened security measures to curb the spread of the novel Coronavirus. About 87 complaints which include deaths, shootings, harassment, assaults resulting...
  13. The Palm Tree

    USA: Hapa ndio polisi wameua mmoja tu, hali iko hivi ya maandamano. Wangekuwa watatu au zaidi unadhani ingekuwaje?

    Hii ndiyo USA. Polisi kwa kutokuwa makini na kwa kukanyaga sheria zinazowaongoza kufanya kazi zao wakaua RAIA MMOJA TU asiye na hatia na asiye silaha kabisa huku wakiwa wameshamkata. Hali iko hivi. Serikali nzima iko kwenye misukosuko. Inasemekana watu ilibidi waingie kwa nguvu hadi kwenye...
  14. T

    GE2020 Polisi iepuke kabisa kuwa Polisi ya USA dhidi George Floyd!

    USA ubaguzi wa rangi na matendo ya kinyanyasaji yalizidi sana. Mpaka leo bado kuna Miji inatangaza maandamano. Nimeona waandamanaji wanaokuwa tayari kugongwa hata na magari ili wafe kwa ajili ya uchungu wa manyanyaso hadi kifo ya mpendwa wao George Floyd. CCM yangu inaingia kwenye Uchaguzi...
  15. Q

    Polisi wa Jimbo la Florida US wawapigia magoti waandamanaji, Polisi Tanzania ina la kujifunza

    Police wa Jimbo la Florida nchini US wameweka silaha zao chini na wakapiga magoti mbele ya waandamanaji kuwaomba msamaha, wamekubali kubeba lawama kwa kifo cha Floyd. Humanity restored.
  16. Trubarg

    Kisingizio cha CORONA: Mume alazwa na Jeneza lenye mwili wa mke wake nje ya kituo cha Polisi

    Katika Hali ya kustaajabisha, Polisi wa Kenya wamemlazimisha mtu anayesadikiwa kuwa na mume wa marehemu kulala nje ya kituo cha polisi na mwili wa Mke wake ukiwa kwenye jeneza. Tukio Hilo lilitokea baada ya Polisi kuzuia msafara wa mazishi uliokuwa unatokea Malindi. Mwanaume Huyo anasema '...
  17. funaku

    Nasubiri tamko la Wanademokrasia CHADEMA kulaani mauaji yaliyofanywa na Polisi wa Marekani

    Nikiwa mzoefu wa kufuatilia matamko ya Chama cha Chadema naendelea kusubiri ni lini Chadema itatoa tamko kali na pengine kuandika barua kwa maseneta kule Marekani kuhusiano na tukio la Polisi wa Kimarekani kudhulumu maisha ya mweusi huko marekani. CC: Mmawia
  18. J

    Makamanda nisaidieni: Hivi " Peoples power" ni lazima iendane na uporaji? Au ndio sababu Polisi huzuia maandamano yenu!

    Nguvu ya Umma au peoples power kinadharia hutumiwa sana na Chadema lakini waliwahi kuitumia kivitendo wakati fulani tukashuhudia kifo cha binti asiye na hatia. Ninafuatilia kinachoendelea Marekani kupitia luninga ya Al-Jazeera kiukweli sijaelewa kama hii ndio nguvu ya Umma wanayoiamini...
  19. J

    Meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomfurusha Mwita Waitara akamatwa na polisi

    RPC wa Mwanza Jumanne amesema jeshi la polisi limefanikiwa kumkamata meya wa jiji la Mwanza mh Bwire anayedaiwa kuandaa vijana waliomtukana na kutaka kumpiga Naibu waziri wa Tamisemi Mwita Waitara. RPC Jumanne amesema Bwire amekamatwa baada ya kushindwa kuitikia wito wa polisi uliomtaka afike...
Back
Top Bottom