Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,092
Mgombea Mwenza wa CHADEMA anapita njiani, anakutana na wananchi, wanataka kumsalimia. Polisi walio kwenye msafara wanatoa mabomu na kuanza kuwapiga wananchi.
Lakini wakati hayo yanafanyika mgombea wa CCM yeye akipita sehemu akakuta wananchi njiani, anaongea nao tena masuala ya kuomba kura lakini hatusikii chochote kutoka kwa tume ya uchaguzi juu ya suala hilo
Wakati hayo yanafanyika, Waziri Mkuu naye ambaye hayumo kwenye ratiba rasmi za NEC za mahali wanakotakiwa kufanya kampeni wagombea Urais katika tarehe maalum, yeye hayumo kwenye ratiba iliyotolewa na NEC ya kampeni za urais lakini anazunguuka nchi nzima.
Hii siyo sawa, siyo sawa kabisa ni uonevu mkubwa kwa wananchi. Kwani kosa la wananchi ni nini?.
Mbona Jeshi la Polisi lilianza vizuri, leo imekuwaje mpaka linapiga wananchi wasio na hatia mabomu?
Kwa matendo haya ya Kikatili ya Polisi, ndiyo maana watu wanaichukia serikali, na kama hawajui, mabomu haya yanazidisha chuki dhidi ya Magufuli na Chama cha mapinduzi. Wananchi hawapendi ubabe ubabe na uonevu.
Wakati huo, Mgombea mwenza wa CCM anapita njiani anasalimiana na wananchi na wanachama wa CCM walioko njiani kabla ya kufika kwenye kituo cha kampeni lakini Jeshi la Polisi halitawanyi wananchi hao kwa hoja za kuwa hawako kwenye eneo rasmi la kampeni. Hii double standard na uonevu kwa wapinzani haikubaliki!
Lakini wakati hayo yanafanyika mgombea wa CCM yeye akipita sehemu akakuta wananchi njiani, anaongea nao tena masuala ya kuomba kura lakini hatusikii chochote kutoka kwa tume ya uchaguzi juu ya suala hilo
Wakati hayo yanafanyika, Waziri Mkuu naye ambaye hayumo kwenye ratiba rasmi za NEC za mahali wanakotakiwa kufanya kampeni wagombea Urais katika tarehe maalum, yeye hayumo kwenye ratiba iliyotolewa na NEC ya kampeni za urais lakini anazunguuka nchi nzima.
Hii siyo sawa, siyo sawa kabisa ni uonevu mkubwa kwa wananchi. Kwani kosa la wananchi ni nini?.
Mbona Jeshi la Polisi lilianza vizuri, leo imekuwaje mpaka linapiga wananchi wasio na hatia mabomu?
Kwa matendo haya ya Kikatili ya Polisi, ndiyo maana watu wanaichukia serikali, na kama hawajui, mabomu haya yanazidisha chuki dhidi ya Magufuli na Chama cha mapinduzi. Wananchi hawapendi ubabe ubabe na uonevu.
Wakati huo, Mgombea mwenza wa CCM anapita njiani anasalimiana na wananchi na wanachama wa CCM walioko njiani kabla ya kufika kwenye kituo cha kampeni lakini Jeshi la Polisi halitawanyi wananchi hao kwa hoja za kuwa hawako kwenye eneo rasmi la kampeni. Hii double standard na uonevu kwa wapinzani haikubaliki!