Swali kwako Kamishna wa Polisi Sabas

Swali kwako Kamishna wa Polisi Sabas

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,491
Reaction score
57,959
Amani iwe nawe Kamishna Sabas!!

Nimekusikia leo umesema wagombea wafanye kampeni sehemu ambazo wamepangiwa ratiba na Tume. Na mtamchukulia hatua mgombea yeyote ambaye anafanya kampeni sehemu ambayo hajapangiwa na Tume ya Uchaguzi!

Sasa swali langu kwako!

Waziri Mkuu wa Tanzania ndugu Kassim Majaliwa, anafanya kampeni za Urais kwa Ratiba ipi ya Tume ya Uchaguzi??? Ilitolewa lini na wapi???!

Je mmejipanga vipi kuzuia kampeni zake za mgombea Urais ambazo hazijapangiwa na Tume ya Uchaguzi???
 
Hii Spana sio ya nchi hii
Screenshot_20200915-102025.jpg
 
Amani iwe nawe Kamishna Sabas!!

Nimekusikia leo umesema wagombea wafanye kampeni sehemu ambazo wamepangiwa ratiba na Tume. Na mtamchukulia hatua mgombea yeyote ambaye anafanya kampeni sehemu ambayo hajapangiwa na Tume ya Uchaguzi!

Sasa swali langu kwako!

Waziri Mkuu wa Tanzania ndugu Kassim Majaliwa, anafanya kampeni za Urais kwa Ratiba ipi ya Tume ya Uchaguzi??? Ilitolewa lini na wapi???!

Je mmejipanga vipi kuzuia kampeni zake za mgombea Urais ambazo hazijapangiwa na Tume ya Uchaguzi???
Majibu ya kamanda tuyapate tafadhali.
 
Wanajua wapo enzi zile,bado watu hawajaifahamu nguvu ya technology.
Wamezuia channel zote za radio na television kuonyesha mikutano ya Lissu na hata kutangaza hoja zake. Wameweka mabango yao nchi nzima kiasi imekuwa ni uchafu badala ya matangazo ila mpakwa mafuta wa Bwana Tundu Antiphas Lissu anawakimbiza vibayaaaa!!! Hawaamini macho yao!!
 
Amani iwe nawe Kamishna Sabas!!

Nimekusikia leo umesema wagombea wafanye kampeni sehemu ambazo wamepangiwa ratiba na Tume. Na mtamchukulia hatua mgombea yeyote ambaye anafanya kampeni sehemu ambayo hajapangiwa na Tume ya Uchaguzi!

Sasa swali langu kwako!

Waziri Mkuu wa Tanzania ndugu Kassim Majaliwa, anafanya kampeni za Urais kwa Ratiba ipi ya Tume ya Uchaguzi??? Ilitolewa lini na wapi???!

Je mmejipanga vipi kuzuia kampeni zake za mgombea Urais ambazo hazijapangiwa na Tume ya Uchaguzi???
Wandishi was habari wanokuwa kwenye hizo press wanashindwa vp kuuliza maswali mujarabu Kama hayo?
 
Back
Top Bottom