pikipiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ahmad Abdurahman

    JamiiForums Tanzania Wamiliki/waendesha pikipiki za abiria tukutane hapa tupeane ushauri, tujue changamoto na jinsi ya kumudu biashara hii

    Wakuu wasalaam. Kama mada ilivo, naomba waendesha pikipiki za abiria tukutane hapa, tupeane uzoefu, tufahamu jinsi ya kupata wateja, tuzijue changamoto za hii biashara na jinsi ya kuzitatua, n.k. Binafsi mm ni mwajiriwa sekta binafsi, nimeamua kununua pikipiki ili nikiwa nipo off niweze...
  2. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Bernard Membe, kama basi limekuacha chukua pikipiki ufike

    Siwezi kusema kauli ya Father of The Nation Mwl. JKN kuwa mpinzani wa kweli atatoka ndani ya CCM, maana hata wakati wa Edo kauli hii ilitamkwa sana na kuaminisha umma kuwa sasa siasa ya Tanzania imepata uhalisia. CCM ni chama chenye mizizi iliyosambaa sana kiasi ukichimba juu juu huwezi kuiona...
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Waziri Kigwangalla amwaga baiskeli Nzega

    Inasemekana ni kwa ajili ya kuwawezesha viongozi wa ccm kufanya shughuli za chama kwa urahisi , Jumla ya baiskeli zilizogawiwa ni 780 Kutoa ni moyo .
  4. don g dou

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pikipiki Sanlg Inauzwa

    Inauzwa PIKiPIKI Aina Ya Sanlg Sl125-5 Haimjui Fundi Bei Ni 1.8m Ipo Kahama Piga 0622556749 Karibuni
  5. sawe4u

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU WA JF Twende pamoja kwa waliotumia na wanaotumia pikipiki tuu. Kati ya hizi pikipiki unaipenda sana ipi na kwanini(based katika matumizi binafsi)? 1. Boxer 2. SANLG 3. Feckon 4. TVS King 5. Hero 6. King Lion 7. Houjo --- --- --- BAADHI YA MAONI...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Pikipiki inahitajika, bei isizidi milioni moja

    Habari wakuu, ninahitaji kununua pikipiki aina ya kinglion ambayo no nzima sana bei isizidi milioni kwa mwenye nayo aweke picha hapa na mawasiano
  7. B

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kusafirisha pikipiki yangu kutoka Dar kwenda Karatu

    Je, usafiri gan utakuwa mzuri zaidi na wa bei nafuu kusafirisha pikipiki kutokea Dar kwenda Karatu?
  8. Premij canoon

    JamiiForums Tanzania Nina milioni 20. Nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na rejareja

    Salaam wanajukwaa, Pole na mitikasi na mihangaiko ya kila siku, natumai sote ni wazima wa afya njema. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika uhangaikaji nimefanikiwa kufikisha kiasi cha milioni ishirini (20,000,000), nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na reja reja...
Back
Top Bottom