pikipiki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Naomba kujuzwa pIkipiki nzuri kwa bajeti ya 3.2 Mil hadi 3.5mil

    Habari wanajukwaa naomba kufaham pikipiki nzuri mpya kwa matumizi binafsi ya kwenda ofisini na mizunguko ya kawaida weekend. Hasa pkpk za kijapan ambazo nadhani ni durable bajeti yangu ni 3.2-3.5 million. Karibuni kwa mani yenu.
  2. EvilSpirit

    Nini tofauti kati ya pikipiki aina ya Boxer na TVS

    Nahitaji kufahamu tofauti kati ya pikipiki boxer na TVS na bei ya kila moja wapo na je ipi ni bora kati ya pikipiki hizi? BOXER TVS
  3. I

    Chimbo la spea za Jumla za pikipiki

    Naomba kujuzwa chimbo la spea za pikipiki za jumla
  4. Cards Fantasy

    Natafuta pikipiki ya mkataba nipo Dar es Salaam

    Habari za leo? Nnahitaji pikipiki ya kufanyia kazi kwa mkataba, mimi ni mwanaume, umri wangu ni miaka 33, nina familia ya watoto 3, nipo Dar es Salaam, Tandika Magorofani. Ikiwa pikipiki itakuwa mpya basi mkataba utakuwa wa mwaka mzima, na ikiwa Pikipiki itakuwa si mpya tutajadili muda wa...
  5. Sarikiaeli

    Kwa Askofu Kakobe - Baada ya kufunga ndoa, maharusi wapanda daladala na pikipiki kwenda makwao

    Ilikuwa siku ya Ijumaa 19.2.2021, ni siku nyingine ya kukumbukwa, katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Dar-Es-Salaam, lililoko Barabara ya Sam Nujoma; pale ambapo jumla ya wahusika 84 waliposhiriki katika kufungwa kwa Ndoa 21, zilizofungwa kwa pamoja katika Ibada ya Ndoa...
  6. Debby the FEMINIST

    Lindi: Watumia mafuta ya Mil 7 kwa siku 4 na kununua pikipiki 2 kwa mil 11

    Mkuu wa wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi Hashim Komba ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU wilayani humo kufanya uchunguzi wa matumizi mabaya ya fedha kiasi cha shilingi milioni 18 zilizotumika kwenye mradi wa Usafi na Mazingira (WASH) wilayani humo ambapo ni Ununuzi wa...
  7. Red Giant

    Hivi hakuna sheria juu ya hizi pikipiki zinazopiga kelele kupita kiasi?

    Wakuu kuna hizi pikipiki ambazo zinapiga kelele kiasi kwamba kama mnaongea inawabidi msimame kama dk moja hivi. Mi binafsi zinanikera sana. Bahati mbaya sehemu ninayokaa ni karibu na barabara, hizi zimekuwa kero kubwa sana. Wengine nao wana hutu tusport car, wanapiga nato kelele balaa. Hivi...
  8. D

    Pata huduma ya kufungiwa GPRS kwenye chombo chako. Pikipiki, bajaji, gari

    GPS TRACKING SYSTEM NI NINI Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika. Mfano ---- Sehemu chombo kilipo ---- Mwendokasi wake ---- Kupata ripoti mbalimbali za mwenendo wa chombo husika ---- Chombo kuwashwa na kuzimwa...
  9. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA PIKIPIKI AINA YA TVS cc 150 kwa 1.3 mil

    Hello jf Hiki chombo kina kina document zote za umiliki Chombo kinafanya kazi vizuri Karibu tufanye biashara 0744033555 Loc: Dar es salaam
  10. moudytz

    Naomba kufahamu bei ya pikipiki aina ya XR 250 mpya

    Wakuu naomba kujua bei ya hii pikipiki ikiwa bado mpya kabsa kwa hapa Tanzania naipenda kuliko hata gari
  11. AbuuMaryam

    INAUZWA Pikipiki nzuri, ngumu inauzwa kwa bei nafuu!

    HIYO HAPO PIKIPIKI TOYO TOLEO LA KWANZA KABISA... BADO MBICHI KABISA...ILIKUWA YATUMIKA KWA MATUMIZI YA NYUMBANI...YAWEZA PIA KUWA BODABODA... NI NGUMU ASIKWAMBIE MTU...NISHASEMA NI TOLEO YA KWANZA WAKATI ZINAINGIA TU... Documents za msingi na Original zipo kabisa unapewa pikipiki yako...
  12. P

    Chuo gani Dar kinafundisha Ufundi pikipiki?

    Msaada kwa anaefahamu veta inayofundisha ufundi wa pikipiki kwa DSM
  13. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Jipatie pikipiki kwa bei poa

    PIKIPIKI BOXER 150 namba CAF BEI: 1,700,000 Tshs Pikipiki ina full document Engine safi. Haina tatizo wala mgogoro. Keko Dar es salaam. Call0744033555
  14. J

    Air compressor ( yakujaza upepo pikipiki)

    Habarini wakuu?? Naomba kujua bei ya compressor ya kawaida ya Kujaza upepo ni shilingi ngapi? Dukani?
  15. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Nauza pikipiki iliyotumika

    Habari Jf. Nimeamua kusimama na hii biashara ya kuuza pikipiki used. Pikipiki zote ziko na document kamili. Unaweza fuatilia Police kwa kujiridhisha zaidi kuepuka usumbufu kwa baadae. Kuna san lg, fekon, boxer tvs Napatikana Dar es salaam. Mawasiliano yangu ni 0744033555 nitafute any time...
  16. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA pikipiki TVS namba C inauzwa: Mbagala Dar es Salaam

    TVS cc 125 Full docs of ownership Haina tatizo lolote la kiufundi, engine haijawahi funguliwa. Bei: 1.5 milion Tshs Mbagala Dar Call 0744033555
  17. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Pikipiki mbili zote kwa bei nafuu sana

    Pikipiki aina ya fekon namba B inauzwa. Tsh laki 8 na nusu Fekon namba A laki 7 na nusu. Document zote halali za umiliki zipo. Dar, Mbagala Tuma sms ya kawaida tufanye biashara 0744033555
  18. Lagrange

    Naulizia Machimbo ya Spare Parts za Pikipiki Kariakoo

    Habari ya wakti huu wakuu, Naomba kujulishwa machimbo ya bei nafuu ya spare parts za pikipiki zote BM&GN. Asante.
  19. T

    Bei ya pikipiki aina ya SanLG mpya

    Habarini, naomba mwenye kufahamu bei ya Pikipiki za SanLG ikiwa mpya anifahamishe. Nahitaji bei kwa Kahama au Mwanza ili iwe rahisi kwangu kufika huko kutokea kijijini kwetu
  20. kimbendengu

    Hapa Dar pikipiki Aina ya Haojue zimekuwa adimu

    Wakuu leo nimezunguka kutafuta pikipiki tajwa hapo juu katika Joni hili la karaha na maraha nimeshindwa kupata wenyeji wananiambia kuwa hazipatikani kwa Sasa, swali je mchina ameshindwa kuzalisha au kuna tatizo mahala.
Back
Top Bottom