Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ipi?Ongeza nyama
Kuna tatizo kama ni kodi za watanzania?..muulizeni kama huo ukarimu anaufanya kwa fedha zake,au kwa fedha za serikali.
Pinda ana uzee gani wakati hata mvi moja Hana?Raisi ajaye wa jamhuri ya muungano wa Tanzania .... Alafu mbna Mzee pinda kama anarembua hvi
Kuna tatizo kama ni kodi za watanzania?
Tafsiri ya wapi?..ukarimu ni pale unapotumia fedha / mali binafsi.
..anapotumia kodi za watz anakuwa sawa na wengine wanaofanya hivyo ktk majukumu yao.
Acha roho ya kichawi.Chamsingi Covid-19 haisumbui sana watoto wadogo.
Mikatuni huna point.MATAGA wameanza propaganda na porojo!Baada ya muda mfupi utaanza kusikia mitano tena kwa makamu,makamu ameshushwa mbinguni na Mungu,Makamu ni Mungu na kadhalika.Wito wangu ni kwamba MATAGA msisahau kuwa Rais wetu ni Mama Suluhu.
Pinda nae chawa kama baba levo
Hatuna Makamo ni MakamuHuyo ni makamo wa raisi ovakado.
Hatuna Makamo ni MakamuHuyo ni makamo wa raisi ovakado.