Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,651
- 218,131
Sijui ni wapi ila nafikiri wamejumuika pamoja kama ishara ya kuadhimisha sikukuu ya Pasaka, bila shaka hawakusherehekea kama tulivyoelekezwa na Mamlaka.
Huyu ndio yule walisema mgonjwaSijui ni wapi ila nafikiri wamejumuika pamoja kama ishara ya kuadhimisha sikukuu ya Pasaka , bila shaka hawakusherehekea kama tulivyoelekezwa na Mamlaka .
View attachment 1743440
Naona Fred ameshapiga hiyo chupa zaidi ya robo tatu. Yupo vizuriSijui ni wapi ila nafikiri wamejumuika pamoja kama ishara ya kuadhimisha sikukuu ya Pasaka , bila shaka hawakusherehekea kama tulivyoelekezwa na Mamlaka .
View attachment 1743440
ndio yeyehuyi ndio yule walisema mgonjwa
Nape hata ajifanye mtu vipi ni shetani anaeishi alisema hawapelek mgonjwa ikulu taifa likaomboleza ???Huyu ndio yule walisema mgonjwa
Waliisha muua! Eti Ohhh subiri hili lipite!!!! Jamani?Huyu ndio yule walisema mgonjwa
Maisha ni fumbo. Mara oh Lowasa anataka afie ikulu, mara Lowasa ni mgonjwa, n.k. Pamoja na yote, Lowasa huyo hapo. Yu mzima akifurahia na uzao wake.Sijui ni wapi ila nafikiri wamejumuika pamoja kama ishara ya kuadhimisha sikukuu ya Pasaka, bila shaka hawakusherehekea kama tulivyoelekezwa na Mamlaka.
View attachment 1743440
Sijui ni wapi ila nafikiri wamejumuika pamoja kama ishara ya kuadhimisha sikukuu ya Pasaka, bila shaka hawakusherehekea kama tulivyoelekezwa na Mamlaka.
View attachment 1743440
... walisema kajinyea huku "mwamba" akimpigia push-ups kuithibitishia dunia alivyo "mzima" ilhali viungo muhimu vya ndani vinaendeshwa kwa codes za mabeberu! Ila Mungu, daaah; mwacheni aitwe Mungu peke yake.Huyu ndio yule walisema mgonjwa
Safi sanaSijui ni wapi ila nafikiri wamejumuika pamoja kama ishara ya kuadhimisha sikukuu ya Pasaka, bila shaka hawakusherehekea kama tulivyoelekezwa na Mamlaka.
View attachment 1743440
Mbona sasa kazeeka kuliko baba, au shauri ya hiyo chupa nyeusi!Naona Fred ameshapiga hiyo chupa zaidi ya robo tatu. Yupo vizuri
... ha ha ha! Taifa limeomboleza kweli!Nape hata ajifanye mtu vipi ni shetani anaeishi alisema hawapelek mgonjwa ikulu taifa likaomboleza ???