Wadau si nia yangu kuhamasisha visasi kwa kukumbusha yaliyopita. Tusitazame nyuma kwa hasira, bali kwa uoga. Tujihadhali tusirudi huko.
Ili kutafakari vizuri na kuepuka kumbukumbu kama hii, kuna maswali ya kujiuliza:
1. Mwenye Magwanda ya CDM ni nani?
2. Aliwakosea nini hawa CCM?
3. Hawa wazee walioshika mawe ni akina nani?
4. Wanajisikiaje kuona picha hii?
5. Tulifikaje kiwango cha kuchukiana namna hii?
6. Tungependa hali hii iendelee?
Kilangila.
Ili kutafakari vizuri na kuepuka kumbukumbu kama hii, kuna maswali ya kujiuliza:
1. Mwenye Magwanda ya CDM ni nani?
2. Aliwakosea nini hawa CCM?
3. Hawa wazee walioshika mawe ni akina nani?
4. Wanajisikiaje kuona picha hii?
5. Tulifikaje kiwango cha kuchukiana namna hii?
6. Tungependa hali hii iendelee?
Kilangila.