pesa

  1. W

    DOKEZO Jihadhari na Vidakuzi "Cookies", zinaweza kukugharimu pesa!

    Vidakuzi "Cookies" hufanya kazi ya kukusanya na kufuatilia taarifa zako mtandaoni, mara nyingi bila ya wewe kuona ni data gani zimekusanywa. Lengo lao kuu ni kuboresha na kulenga matangazo unayoyaona mtandaoni. Vidakuzi hufuatilia matumizi yako ya tovuti kwa ujumla, na zikiingia mikononi mwa...
  2. Aathan

    Tafteni pesa ma Genz

    Someni message hapo Screenshot
  3. Wakili wa shetani

    Pesa mwezi huu Disemba 2025 zimeenda wapi?

    Mbona raia hawanunui kabisa?
  4. Li ngunda ngali

    Serikali imeishiwa pesa?! Yashindwa kuwalipa Mahakimu pesa za posho kwa wakati

    Inavyoonekana Serikali haina pesa na ndiyo maana leo ni zaidi ya Siku nne imeshindwa kulipa Mahakimu pesa za posho isivyo kawaida Ki kawaida pesa za posho kwa Mahakimu hulipwa kila tarehe 8-9 ya kila Mwezi. Ajabu leo ni zaidi ya siku nne hiyo pesa hawajalipwa Je, ni rasmi fuko la Hazina...
  5. Logikos

    Ni kweli kuna Wahuni, tatizo sidhani tunaotumia nguvu kupambana nao ndio Wahuni

    Kuna nguvu inayotumika kwa gharama na kodi zetu kwa so called wahuni; ingawa nadhani huenda wahuni halisi wala hatuwagusi, nadhani busara ni kusikiliza hawa so called wahuni hoja zao kama zina mashiko, ukizingatia wahuni hao tunasema wengine wapo nje na wengine tayari wapo gerezani, lakini...
  6. M

    CRDB wamerejesha pesa yangu. walimu tuwe makini. Kuna uhuni na ujanja unafanyika

    Nimeamka na mawazo sana. Yaana wanakata pesa ambayo haihusianai na mkopo kabisa. Alafu nafika hapo wanajifanya kupigiana simu kana kwamba hawajui huo uhuni Eti labda system. System gani hiyo ya Crdb tu ndio inachukua pesa zisizo husika.
  7. technically

    Je, Mange kachukua pesa za Samia?

    Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas? Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani? Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke Na kila msaliti yeyote...
  8. Hance Mtanashati

    PostGE2025 Kinachovunja watu moyo wa kuandamana ni ile shuruti ya kuandamana, wengine wanaingiza pesa ndefu wakiingia kazini

    Rais Samia hapendwi na mamia ya watanzania, ila sasa kinachofanya watu wasitamani maandamano yawepo wakifikiria suala la maslahi. Wengine wakienda kazini wana uhakika wa kukunja laki 5 na kuendelea kwa masaa machache tu . Sasa suala la kukaa ndani au kuandamana linasababisha mtu kukosa hela ya...
  9. Fbn

    Dubai imejengwa kwa pesa haramu zote za dunia

    Mnaweza kubisha ila Airport ni geresha kusema ndio imejenga jangwa. Mafuta nakataa kabisa maana yaligundulika siku nyingi kabla ya dubai. Matapeli,human trafficking,pesa chafy,udukuzi na kila jambo unalofahamu dili zote ni dubai. Hush pup yule mnaijelia alikuwa anaishi dubai. Utakatishaji wa...
  10. jT0078

    Leta Laptop mbovu nikupe pesa

    Nanunua Laptop mbovu kama spare, bei maelewano Ilala – DSM 0767953873
  11. H

    CRDB nimetoa pesa kwenye ATM kwa simbanking sijarudishiwa wiki sasa

    Nawatahadharisha kuwa mtandao CRDB ni nyoko ukitoa pesa kwenye ATM kwa simbaking ikagoma wanasumbua kurudisha nilitoa 400,000/= ikakatwa kwenye akaunti ila haikutoka nikarudia tena kutoa 400,000/= ikakatwa kwenye akaunti ila haikutoka nikaambiwa wakijiamini ndani ya masaa 6 zitarudishwa ni wiki...
  12. BLACK MOVEMENT

    Kama unaweza anza kuhifadhi pesa kwa Pesa za kigeni kama USD au hata Ksh

    Wana ukumbi very soon tunaenda kushuhudia yale ya Zimbabwe verry soon. Kama unaweza hifadhi pesa kwa USD hata ikibidi Ksh, Mfano nawaza kuanza kuhifadhi kwa Ksh kuanzia sasa make niko jirani nao
  13. October 2pm

    Polisi tunajua nyie hamfi mnapewa pesa kuua maskini wenzenu. Tunakuja tena mtuue sawa

    Nye si mwapewa mamilioni ili muue maskini wenzenyu wanaotetea haki zao. Mwataka muwe tajili kama Elon Muski. Hehee! Mwatii amri haramu kumwaga damu za wenzenyu mliambiwa nye hamfi. Mayii! Mwambieni awaongezee posho zaidi ili mtuue zaidi. Twataka mwaka huu muwe mamilionea. Mle bata kwa pesa...
  14. Cute Wife

    Kwahiyo Mwigulu leo ghafla pesa zimeacha kuwa za Samia na kuwa pesa wananchi? Gen-Z hakuna kulegeza kamba

    Wakuu Kila pesa ilikuwa ya Samia, samia kanunua hiki Samia kanunua kile, Samia kajengga SGR, Samia kajenga madaraja, Samia kajenga barabara, baada ya wananchi "kukiwasha" ndio mnajua kwamba hela ni za Watanzania? Leo ndio mnajua kwamba mwananchi ndio kila kitu baada ya kuona wananchi...
  15. Q

    Iundwe Tume kuchunguza zile Pikipiki na Baiskeli zenye nembo ya SSH zilitoka wapi, kwa mabeberu, waarabu au pesa za ndani.

    Kama ni watu wa nje tume ituambie walikuwa ni akina nani na walikuwa na nia gani na nchi yetu na walitegemea kupata nini in return, na kama zilinunuliwa kwa pesa za ndani tume ituambie nani alitoa pesa na kama ni serikali tume ituambie zilitoka kwenye fungu gani la bajeti. Serious, sio kwa...
  16. Superintendent kimura

    Kila unapotoa pesa kwenye eneo hili unajitapeli mwenyewe

    “Kuna VITABIA vinavyofanana na MSAADA… lakini ni UTAPELI dhidi ya maisha yako.” Havikupi faida. Havikuongezei thamani. Havikujengi. Ni mianya ya kutolewa nguvu, pesa, muda, na akili bila kurudi na chochote. 01. Kukopesha Ndugu na Marafiki – “Mnaingia marafiki, mnatoka maadui.” Kwenye familia...
  17. Penguinelli Cactussini

    Nimejitolea kumsaidia BINTI kiasi cha flani cha pesa sasa roho inaniuma najihisi HATIA

    Msaada kisaikolojia tafadhali! Leo niliitwa na mmoja wa waalimu wake kuwa kuna safari wanafunzi wanapaswa waende wiki hii inayoanza. Mwalimu wake alinikuta na watu wa3 tulikuwa tunazogoa. Alivyonitajia kuwa kuna binti mwanafunzi mmoja anatamani kwenda ila pesa hana nikamjibu palepale kuwa...
  18. K

    Amani siyo kuwa na pesa bali ni kuwatendea wenzako Haki. Huyu mama mwisho wake utakuwa mbaya sana

    Huyu Mama hata kama mamlaka yatamtangaza kuwa Rais hatakuwa na Amani maishani mwake,na wenda binafsi yake itabidi ajiingize kwenye maisha ya vileo ili kujipa amani ya mda fupi Kusababisha watu kufa kwa ajili yako kwa uzembe ni kosa kubwa sana, atajikuta maisha yake yote anaishi ndani ya...
  19. N

    FlightRadar inaonesha ndege aina ya Boeing ikielekea kusikojulikana. Je, kuna utoroshaji wa pesa za umma au viongozi wakubwa wanakimbia nchi?

    Air Tanzania Dreamliner ime take off from JNIA masaa machache yaliyopita huku uelekeo ukionesha ni private. Unadhani kuna nini kinaendelea hapa?
  20. rich1

    Bill counter (machine ya kuhesabia pesa) kutoka Anostore zina changamoto

    Habar wandugu,,,,,,hawa jamaa wakuitwa Anostore muwe nao makini Kuna machine zao za kuhesabia pesa bill counter wanauza,,,zina changamoto ya kugundua pesa fake...juzi nimechukua moja inanisumbua na mwambia boss wao kagoma kurudisha... nifanyeje wadau????
Back
Top Bottom