Pesa yako anakula nani?

Pesa yako anakula nani?

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
17,369
Reaction score
19,202
Wa kwanza kabisa wanangu kisha wazazi
kisha ndugu zangu watumbo moja la mama

Na huyu special case "Ba mtu" ki ukweli nampa ila atailipa either in kind or in cash

Ukiacha na hizi case zingine kama misaada na sadaka

Ila hiyo ndo list yangu ya mda wote
 
Cha mlevi huliwa na mgema
Screenshot_2026-05-08_221923.jpg
 
Wa kwanza kabisa wanangu kisha wazazi
kisha ndugu zangu watumbo moja la mama

Na huyu special case "Ba mtu" ki ukweli nampa ila atailipa either in kind or in cash

Ukiacha na hizi case zingine kama misaada na sadaka

Ila hiyo ndo list yangu ya mda wote
Dah ila wanawake bhn 😞 😔 😔
 
Kam ukifuatisha kanuni ya matumizi ya pesa utaona kwamba hao unaosema wanakula pesa yako, pengine ni 10% to 15% tu ya pesa yako...

Pesa nyingi huwa inapotea kwenye matumizi ya kawaida na matumizi ya lazima, huku ndipo hela zetu huliwa na watu waliopo huko...

Mathalani genge au duka ambalo umezoea sana kufanya manunuzi, fundi gari uliyemzoea na anakutengenezea gari lako yeye tu, msusi au mtengeneza nywele, kucha n.k wanaokutengeneza kila wiki 2 n.k n.k
 
Back
Top Bottom