pesa

  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuna matangazo mengi ya mtandaoni ya mikopo ila TCRA na BOT wanajua pesa waliolipwa kwa uongo na uchochezi.

    Watu wamejikuta wakitapeliwa kwa singizio cha unafuu. Hapa serikali ya wapaka mikorogo na ushungu wa FFU uwezi kuona wakisema ili. Embu tupate Futuhi ya watoa mikopo
  2. K

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wamepanda mbegu kwa Watanzania, nguvu na pesa hazisaidii

    Hata leo mkifungia Chadema sera zao tayari zimesha eleweka na ndizo zipo kwa Watanzania wengi.!Pesa , uchawa, rushwa haitaweza kubadilisha imani ya watanzania ni kupoteza muda. Ukiwa na genius kama walina Lissu hata ukiwafunga haisaidii maana sera zao ni za kitaifa. Haki ni kitu cha kibinadamu...
  3. ELIA MWAPINGA

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya Kuanza Kutengeneza Pesa Mtandaoni Bila Mtaji (Kwa Wanaoanza Kabisa)

    ❌ Tatizo la Watu Wengi: Watu wengi wanataka kutengeneza pesa mtandaoni lakini wanaamini bila mtaji haiwezekani. Ukweli ni kwamba… mtaji mkubwa si pesa, ni maarifa + muda +uvumilivu . Njia 3 za kutengeneza pesa mtandaoni ambazo unaweza kuanza Bila Mtaji 1️⃣ Kuuza Ujuzi (Hata Kama Unaona Ni...
  4. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Zimebaki siku chache yule jamaa aanze kuwaambia kuwa mnaharibu pesa kupeleka watoto wenu english mediums

    "mimi watoto wangu wote wanasoma asante mkapa., hizi EMs ni utapeli."
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kumuona Mungu haraka, kosa pesa kwenye huduma za hospital za serikali

    Watu wanakufa sio kwa kusingizia sijui mungu kapanga ni uwongo. Wanaopanga vifo mfe ni hizi hospital zetu za serikali asilimia kubwa. Yani mtu unaumwa na pesa umekosa au ujatoa kidogo wakuokoea ,Wanaweza kukuacha hapo unajiona. Kuna mzee mmoja alinyimwa kifaa cha kupumulia kisa pesa ya...
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Bilioni 57 kuwekeza majengo katika Kozi ya urubani,Mbona mnachezea pesa ,Pale Chato kile kiwanja kinazidi kujifia

    Leo nilikuwa na mtu mmoja tuliongea mambo mengi kuhusu nchi yetu kuwa na kundi kubwa la CCM wajinga ndio wanaotawala. Nimeona NIT na serikali kuweka mabilioni ya pesa NIT maswala ya anga. Udogo wa kile chuo ,kwa nini wasiopeleke Kiwe chato hapo maana kiwanja kilishindikana kuwa na safari na...
  7. Arsenal Gunner

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi kashapewa pesa atulie kimya, wajinga ndio waliwao

    Mange kimambi kakatiwa kibunda chake Cha maana mapema sana baada ya serikali batili ya tanzania kutembeza mkong'oto Kwa manyumbu wasiojielewa kaingiza mitini Instagram Kwa kigezo kwamba kafungiwa account wakati kaifunga makusudi Kwa maelekezo ya Samia baada ya kupewa mpunga kama kweli kafungiwa...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Pesa ya dawa za HIV itoke kwenye ubunge wa viti maalumu badala ya kuwabebesha raia wa kawaida tu mzigo

    Nimeona taarifa ya tozo ya HIV katika ununuzi wa magari, sijui hii tozo kama ilipitishwa na linaloitwa bunge la JMT au hata kama ilipitishwa sijui ni lini kwa sababu nimeacha kabisa kufuatilia mambo ya bunge tangu mwaka 2021 Hata hivyo pamoja na kutawaliwa na watu waliojipachika wenyewe...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Watumishi Ajira Mpya HALMASHAURI YA CHALINZE hatujapewa pesa ya kujikimu

    Mimi ni mtumishi wa ajira mpya kutoka Halmashauri ya Chalinze. Yaani toka mwezi wa pili hatujapewa pesa za kujikimu na ilihali halmashauri nyingine za mkoa wa Pwani wameshalipwa. Kila tukiuliza tunaambiwa tutalipwa tu, wanasema kama sio December 2025, basi April au June 2026.
  10. W

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jihadhari na Vidakuzi "Cookies", zinaweza kukugharimu pesa!

    Vidakuzi "Cookies" hufanya kazi ya kukusanya na kufuatilia taarifa zako mtandaoni, mara nyingi bila ya wewe kuona ni data gani zimekusanywa. Lengo lao kuu ni kuboresha na kulenga matangazo unayoyaona mtandaoni. Vidakuzi hufuatilia matumizi yako ya tovuti kwa ujumla, na zikiingia mikononi mwa...
  11. Aathan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tafteni pesa ma Genz

    Someni message hapo Screenshot
  12. Wakili wa shetani

    JamiiForums Tanzania Pesa mwezi huu Disemba 2025 zimeenda wapi?

    Mbona raia hawanunui kabisa?
  13. Li ngunda ngali

    JamiiForums Tanzania Serikali imeishiwa pesa?! Yashindwa kuwalipa Mahakimu pesa za posho kwa wakati

    Inavyoonekana Serikali haina pesa na ndiyo maana leo ni zaidi ya Siku nne imeshindwa kulipa Mahakimu pesa za posho isivyo kawaida Ki kawaida pesa za posho kwa Mahakimu hulipwa kila tarehe 8-9 ya kila Mwezi. Ajabu leo ni zaidi ya siku nne hiyo pesa hawajalipwa Je, ni rasmi fuko la Hazina...
  14. Logikos

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kuna Wahuni, tatizo sidhani tunaotumia nguvu kupambana nao ndio Wahuni

    Kuna nguvu inayotumika kwa gharama na kodi zetu kwa so called wahuni; ingawa nadhani huenda wahuni halisi wala hatuwagusi, nadhani busara ni kusikiliza hawa so called wahuni hoja zao kama zina mashiko, ukizingatia wahuni hao tunasema wengine wapo nje na wengine tayari wapo gerezani, lakini...
  15. M

    JamiiForums Tanzania CRDB wamerejesha pesa yangu. walimu tuwe makini. Kuna uhuni na ujanja unafanyika

    Nimeamka na mawazo sana. Yaana wanakata pesa ambayo haihusianai na mkopo kabisa. Alafu nafika hapo wanajifanya kupigiana simu kana kwamba hawajui huo uhuni Eti labda system. System gani hiyo ya Crdb tu ndio inachukua pesa zisizo husika.
  16. technically

    JamiiForums Tanzania Je, Mange kachukua pesa za Samia?

    Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas? Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani? Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke Na kila msaliti yeyote...
  17. Hance Mtanashati

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kinachovunja watu moyo wa kuandamana ni ile shuruti ya kuandamana, wengine wanaingiza pesa ndefu wakiingia kazini

    Rais Samia hapendwi na mamia ya watanzania, ila sasa kinachofanya watu wasitamani maandamano yawepo wakifikiria suala la maslahi. Wengine wakienda kazini wana uhakika wa kukunja laki 5 na kuendelea kwa masaa machache tu . Sasa suala la kukaa ndani au kuandamana linasababisha mtu kukosa hela ya...
  18. Fbn

    JamiiForums Tanzania Dubai imejengwa kwa pesa haramu zote za dunia

    Mnaweza kubisha ila Airport ni geresha kusema ndio imejenga jangwa. Mafuta nakataa kabisa maana yaligundulika siku nyingi kabla ya dubai. Matapeli,human trafficking,pesa chafy,udukuzi na kila jambo unalofahamu dili zote ni dubai. Hush pup yule mnaijelia alikuwa anaishi dubai. Utakatishaji wa...
  19. jT0078

    JamiiForums Tanzania Leta Laptop mbovu nikupe pesa

    Nanunua Laptop mbovu kama spare, bei maelewano Ilala – DSM 0767953873
  20. H

    JamiiForums Tanzania CRDB nimetoa pesa kwenye ATM kwa simbanking sijarudishiwa wiki sasa

    Nawatahadharisha kuwa mtandao CRDB ni nyoko ukitoa pesa kwenye ATM kwa simbaking ikagoma wanasumbua kurudisha nilitoa 400,000/= ikakatwa kwenye akaunti ila haikutoka nikarudia tena kutoa 400,000/= ikakatwa kwenye akaunti ila haikutoka nikaambiwa wakijiamini ndani ya masaa 6 zitarudishwa ni wiki...
Back
Top Bottom