jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Najiuliza sana na sipati jibu hivi kwa pigo hilo itakuwaje CHADEMA bila ruzuku itabaki moja tena!
Ni kwa namna ipi itapata pesa za kulipa mishahara watendaji wake wa ngazi mbalimbali?
Je, kama CHADEMA ilikuwa ikitegemea pesa ya ruzuku kuendesha mambo mengi/yake sasa itakuwaje?
Ni kwa namna ipi itapata pesa za kulipa mishahara watendaji wake wa ngazi mbalimbali?
Je, kama CHADEMA ilikuwa ikitegemea pesa ya ruzuku kuendesha mambo mengi/yake sasa itakuwaje?