Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,146
Tumekuwa tukisikia wanasiasa fulani wakijisifu kuleta maendeleo kwa kununua ndege na wengine wakikosoa vikali uamuzi huo.
Ukweli unaokubalika kwa makundi yote mawili kuhusu usafiri wa ndege ni kuwa; usafiri wa ndege ni jambo la gharama kubwa na huenda ni mahususi kwa baadhi ya watu tu.
Nimekaa na kujiuliza haya maswali
1. Usafiri wa ndege hapa Tanzania umelenga kundi gani haswaa la kijamii?
2. Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu kulipia gharama za kusafiri kwa ndege kwa pesa zao kutoka mifukoni mwao?
Ukweli unaokubalika kwa makundi yote mawili kuhusu usafiri wa ndege ni kuwa; usafiri wa ndege ni jambo la gharama kubwa na huenda ni mahususi kwa baadhi ya watu tu.
Nimekaa na kujiuliza haya maswali
1. Usafiri wa ndege hapa Tanzania umelenga kundi gani haswaa la kijamii?
2. Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu kulipia gharama za kusafiri kwa ndege kwa pesa zao kutoka mifukoni mwao?