Napenda kuvilalamikia vyombo vya habari hasa redio na TV. Asilimia kubwa ya vipindi havizingatii kipi kinafaa kwenye jamii

Njaramatata

Member
Aug 6, 2020
44
66
Habari wanna jukwaa.

Kuna kitu naomba nikizungumzie, inawezekana kilishaandikwa humu.

Napenda kuvilalamikia Sana vyombo vya habari hasa redio na TV, sio zote. Asilimia kubwa ya vipindi ni promotion ya michezo na umbea, yaani vipindi havizingatii muda wa kazi Wala kipi kinafaa kwenye jamii na kiwasilishwe. Radio zimekuwa kama kijiwe.

Information ni chakula cha ubongo kinajenga na kum-condition mtu. Sio ajabu ndo maana uelewa wetu Watanzania kuanzia watoto mpaka wakubwa ni wa hovyo. Ukimsaili mtoto Mambo ya shule na Mambo ya burudani unashangaa uzani inaelekea kwenye burudani hii ni hatari.

Hizi media sababu ya pesa zimeweka rehani hatma yetu.

Nawasilisha.
 
TV na Redio hazipo kwaajiri ya kukufurahisha wewe wala jamii...Majizo nawengine wengine wangekuja kukuomba uwachangie pesa ili wafungue Radio kukufaidisha na habari ungewatukana.

wamewekeza pesa kupata pesa, wanaangalia wapi kuna pesa.
 
😂😂 mkuu yaan unasema kipindi cha KISHINDO CHA AWAMU YA 5 na TUNATEKELEZA ww havikuvutii kabisaa ?
 
Habari wanna jukwaa.

Kuna kitu naomba nikizungumzie, inawezekana kilishaandikwa humu.

Napenda kuvilalamikia Sana vyombo vya habari hasa redio na TV, sio zote. Asilimia kubwa ya vipindi ni promotion ya michezo na umbea, yaani vipindi havizingatii muda wa kazi Wala kipi kinafaa kwenye jamii na kiwasilishwe. Radio zimekuwa kama kijiwe.

Information ni chakula cha ubongo kinajenga na kum-condition mtu. Sio ajabu ndo maana uelewa wetu Watanzania kuanzia watoto mpaka wakubwa ni wa hovyo. Ukimsaili mtoto Mambo ya shule na Mambo ya burudani unashangaa uzani inaelekea kwenye burudani hii ni hatari.

Hizi media sababu ya pesa zimeweka rehani hatma yetu.

Nawasilisha.
Hasa hirizi zao zinapokuwa zimekwisha nguvu kwa huyo mtangazaji ndio balaa zito utafikiri zimwi
 
Back
Top Bottom