Ile dhana potofu kuwa ufisadi ni maendeleo sasa haipo. Kila pesa ya serikali inafanya kazi inavyostahili

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Kuna kipindi Watanzania walijenga kasumba mbaya sana. Kwamba kila mradi wa serikali ukifanyika lazima watu wapige dili na kisha wao kuporomosha majumba na kununua magari ya kifahari.

Awamu hii mambo yamebadilika maana pesa ya serikali inatolewa macho na mtu huwezi kuidokoa hovyo hovyo.

Leo hii tunashudia mil 700+ zilizotolewa na Mh rais wa JMT kujenga majengo ya utawala na mabweni kwa ajili ya maafisa pale DPA ikikamilika ndani ya mwaka mmoja.

Ikumbukwe majengo yaliyotumika yalikuwa yameachwa na mkoloni tangu mwaka 1958. Leo hii ndani ya mwaka mmoja yanapatina majengo mapya ya kiwango cha kisasa kabisa.

My take; Je, mliosema kuwa hii nchi sio barabara na JPM haiwezi kuiyoosha hamuoni aibu? Maana imenyooshwa vizuri tu japokuwa kuna vikwazo kidogo.
 
Fuatilia kwa umakini, utajua kuwa tril 1.5 hazikupigwa.
Kuna mtu makini kama Yule CAG Mstaafu,serikalini lazima Kuwe na Cheque and balances,mnakaguliwa,mnaulizwa matumizi ya pesa,mnang’ang’aa macho na hasira zote zile.

Upuuzi mwingine uchaguzi 2020, Nikupe mfano wake, Wewe mwanafunzi, uko chumba cha mtihani, unaigizia kwa mwenzio wa mbele, unapelekwa chaka, unanakili mpaka nukta, mwenzio akipiga zero na wewe pia.

Mliiba kiasi Kwamba mkasahau kuna nafasi za upinzani, mkang’aka tena
 
Kuna mtu makini kama Yule CAG Mstaafu,serikalini lazima Kuwe na Cheque and balances,mnakaguliwa,mnaulizwa matumizi ya pesa,mnang’ang’aa macho na hasira zote zile.

Upuuzi mwingine uchaguzi 2020,Nikupe mfano wake,
Wewe mwanafunzi,uko chumba cha mtihani,unaigizia kwa mwenzio wa mbele,unapelekwa chaka,unanakili mpaka nukta,mwenzio akipiga zero na wewe pia..

Mliiba kiasi Kwamba mkasahau kuna nafasi za upinzani,mkang’aka tena
Ahaaa, jikite kwenye mada. Habari ya uchaguzi ilishapita. Kuhusu ukaguzi wa CAG huwa unafanyika inavyostahili.
 
Tabora kuna ushirikina mwingi sana na huyu jamaa ni mchawi anapata shida sana na hilo kanisa. Safari hii unalo 😂😂😂 yatapigwa maombi hapo ukereke mpaka ufe ....kinachokusumbua ni majini uliyo nayo
 
Tabora kuna ushirikina mwingi sana na huyu jamaa ni mchawi anapata shida sana na hilo kanisa. Safari hii unalo 😂😂😂 yatapigwa maombi hapo ukereke mpaka ufe ....kinachokusumbua ni majini uliyo nayo
Umelewa gongo?
 
Tabora kuna ushirikina mwingi sana na huyu jamaa ni mchawi anapata shida sana na hilo kanisa. Safari hii unalo 😂😂😂 yatapigwa maombi hapo ukereke mpaka ufe ....kinachokusumbua ni majini uliyo nayo

Mkuu umechanganya topic, umevaa miwani yako leo? 🤣 🤣
 
Ni kweli hata Chato International Airport ni matumizi bora ya fedha za serekali
 
PAC walikupa majibu bro, hukusikia?

Hakukuwa na majibu zaidi ya utapeli na hofu ya PAC ili wasitekwe na kundi la jiwe la watu wasiojulikana.

Uchaguzi mkuu, wakati wa JK uchaguzi wa 2015 kulikuwa na BVR KITI mpya nchi nzima, uchaguzi ule haikufika 300b, lakini uchaguzi huu wa majizi wanasema wametumia 300b+, wakati hawajanunua hata BVR KIT moja, na wakati wa kujiandikisha walikuwa wanapita na tano chakavu. Ni wapi majizi yamepeleka 300b+?
 
Back
Top Bottom