Connection kati ya walio na Mtaji wa Pesa na walio na Mawazo Mazuri ya Biashara

Digital base

Senior Member
Jul 19, 2020
126
189
Habari ya leo wakuu,

Vijana tunapitia changamoto sana katika kupata support ya kiuchumi hasa tukiwa na wazo la kuanza biashara naamini mtaji wa kwanza ni wazo la biashara then pesa ina fuata baada ya hilo wazo.

Changamoto unaweza kuwa na wazo zuri lenye faida na uka jaribu kuanza lakini Kuna sehemu pesa inahitajika unashindwa ufanye vipi.Uki tafuta wawekezaji wenye pesa ili mboreshe wazo wengi wana amini hapo mtu unania ya kupiga tu pesa kumbe sivyo kabisa una nia safi ya kuendeleza wazo lako liwe bora na litambulike.

Pia kuna mtu ana kuwa na mtaji wa pesa ila kutokana na kukosa wazo zuri la biashara mtu anajikuta ana anzisha biashara kwa kufuata nini jirani yake ana fanya bila kujua history ya hiyo biashara alianza vipi namna gani alitengeneza wateja wake wa kudumu.

Pia huenda umeomba ushauri kwa mtu akakwambia biashara hiyo ina lipa sana utatoboa kumbe hata yeye hajui mwanzo wake na undani wake ukoje mtu unaweka milioni zako humo mwisho wa siku zina potea maana ume fanya kitu kwa kushauriwa ama kwa kuiga badala ya kufanya utafiti wewe mwenyewe.

Kutokana na ugumu uliopo katika soko unajikuta una kata tamaa mapema huku ukiumia kuhusu pesa yako uliyo wekeza una kuja kugundua kuwa ume kosea njia baada ya kuona hamna wateja kama ulivo tarajia.

Tatizo ni connection ya walio wahitaji wa kweli kwenye uwekezaji wa mawazo mazuri ya biashara na walio na uhitaji wa pesa kwa mawazo yao mazuri ya biashara.

Vijana tusio na ajira za kudumu mikopo kwenye taasisi za kifedha ni changamoto hatuna sifa za kukopesheka. Hapa iwe ni sehemu ya connection kwa wenye mitaji na mawazo ya biashara changanua wazo lako ili aliye na pesa ajue uhakika wa faida.

Karibuni .
 
Digital base wewe binafsi una wazo gani la biashara au skills gani za biasha.BTW ulichoongea ni kweli tatizo na kwa kuwa tatizo tayari ni fursa yaani unaweza kupata pesa kwa biashara ya kukutanisha wenye sound business ideas na wale wenye pesa kwa nia ya kuwekeza.

Kwa kuanzia jielimishe zaidi kuhusu issue za sources za financing business utakukutana na mambo kama crowdfunding na investment clubs ambayo ni fursa ukiya adjust kidogo kuendana na mazingira ya Tz
 
Digital base wewe binafsi una wazo gani la biashara au skills gani za biasha.BTW ulichoongea ni kweli tatizo na kwa kuwa tatizo tayari ni fursa yaani unaweza kupata pesa kwa biashara ya kukutanisha wenye sound business ideas na wale wenye pesa kwa nia ya kuwekeza. Kwa kuanzia jielimishe zaidi kuhusu issue za sources za financing business utakukutana na mambo kama crowdfunding na investment clubs ambayo ni fursa ukiya adjust kidogo kuendana na mazingira ya Tz
Hapo mkuu kwa upande wangu wazo langu la biashara nililo nalo ambalo pia naendelea nalo kukufanyia kazi na mpaka sasa nime fungua na kampuni inayo fanya hizo shughuri nna business Ideas 3

1.Usafi wa aina zote
Najihusisha na usafi wa mazingira yote kwa ujumla ambapo pia nafanya usafi kwa uchafu sugu ulio shindikina mfano Masink yaliyo fubaa, Tiles zilizo fubaa Sofa zenye uchafu sugu n.k
Hivyo ni baadhi tu na hapo nang'arisha na kurudisha hari ya upya.
2.Laundry business
Hapo nafanya shughuri ya kufua nguo,viatu, mabegi,mashuka n.k kwa machine
3.Uzalishaji wa bidhaa za usafi
Hapo natengeneza dawa za kung'arisha masink,Tiles zilizo fubaa, Sofa zenye uchafu sugu, dawa ya kung'arisha nguo nyeupe na za rangi zilizo fubaa ama kuwa na madoa sugu pamoja na viatu,pia natengeneza sabuni za maji,za mche,za unga kwa ajiri ya kufulia nguo na usafi mwingine wa kawaida, lakini pia natengeneza Window Cleaner,n.k hizo ni baadhi tu ya bidhaa nnazo tengeneza ziko nyingi.
CHANGAMOTO ILIYOPO
1.A.katika usafi na kufua nguo
Hapo ni suala la mtaji wa kuweza kuji brand, kulipia matangazo, gharama za kutengenezea fliers, posters n.k
Hivyo vyote vina hitaji pesa maana ni vitu vinavyo tumika katika marketing na mategemeo ama matokeo si ya muda huo huo ina hitaji muda kwahyo ukiwekeza pesa ikiwa huja imarika kiuchumi una tumia pesa nyingi ambayo hairudi mapema.
B.Soko
Huduma nnayo toa kwa upande wangu niya viwango vya juu swala la kuto julikana limeniathiri kwa kiasi kikubwa hasa kutokana na kuto weza afford gharama za matangazo, gharama za vipeperushi, gharama za vifaa vya ofisini n.k japo natumia Digital marketing ina matokeo kiasi.
C.Wafanya kazi
Kampuni kwa kuwa mpya ni changamoto kupata watu sahihi wa kufanya nao kazi kwa kiwango kile nnacho taka hasa watu wa marketing.
Nili tangaza nafasi ya Volunteer marketing development officer na nika weka wazi kuwa kampuni ni mpya kwahyo hata kama ni volunteer kuna malipo ambayo yata tegemea kiwango cha kazi yake yeye pamoja na team yake ya marketing walicho fanya katika kutafuta tenda.
Wapo baadhi walikuja lakini wali ishia tu kutoa sababu kila mmoja alivo ridhika yote hiyo ni kutokana na uchanga wa kampuni pili swala la malipo.
UHALISIA WA SOKO
Mpaka sasa napambana mwenyewe katika sales and marketing na soko napata kwa kiasi japo si kwa ukubwa kulingana na kuwa nafanya kazi nikiwa mwenyewe bila team maana vijana wengi walio na elimu zao hawataki kuanzia chini "so am still fighting" soko lipo sana ila pesa nyingi inaishia kwenye kulipia frem ya ofisi na nyumba niliyo weka machine za kufulia pia kulipa wafanya Kazi wa usafi na Secretary ndo watu nilio nao mpaka sasa.
MAFANIKIO
Mafanikio yapo kwa kiasi kulingana na namna nilivo kwa sasa maana wateja napata na mahitaji ya kuweza kukidhi matumizi/gharama za uendeshaji japo ni kwa kiasi bado mengi sija fanikiwa kuya fikia.
Hapa chini ni mfano wa kazi zetu katika masink,Tiles,Sofa n.k picha za kabla na baada ya kusafisha pamoja na ubora wa dawa nnazo tengeneza maana kwa sasa dawa za usafi siuzi isipo kuwa natumia mwenyewe kwenye shughuri zangu mwenyewe za usafi kutokana na mtaji nilio nao si mkubwa sana
IMG_20210115_130549_508.jpg

IMG_20210115_121732_958.jpg

IMG_20210121_145228_321.jpg
IMG_20210121_184810_996.png
IMG_20210209_171159_109.jpg


IMG_20210209_171019_699.jpg
 

Attachments

  • IMG_20210114_102142_936.jpg
    IMG_20210114_102142_936.jpg
    106 KB · Views: 4
  • IMG_20210115_120041_731.jpg
    IMG_20210115_120041_731.jpg
    77.3 KB · Views: 3
Hapo mkuu kwa upande wangu wazo langu la biashara nililo nalo ambalo pia naendelea nalo kukufanyia kazi na mpaka sasa nime fungua na kampuni inayo fanya hizo shughuri nna business Ideas 3
1.Usafi wa aina zote
Najihusisha na usafi wa mazingira yote kwa ujumla ambapo pia nafanya usafi kwa uchafu sugu ulio shindikina mfano Masink yaliyo fubaa, Tiles zilizo fubaa Sofa zenye uchafu sugu n.k
Hivyo ni baadhi tu na hapo nang'arisha na kurudisha hari ya upya.
2.Laundry business
Hapo nafanya shughuri ya kufua nguo,viatu, mabegi,mashuka n.k kwa machine
3.Uzalishaji wa bidhaa za usafi
Hapo natengeneza dawa za kung'arisha masink,Tiles zilizo fubaa, Sofa zenye uchafu sugu, dawa ya kung'arisha nguo nyeupe na za rangi zilizo fubaa ama kuwa na madoa sugu pamoja na viatu,pia natengeneza sabuni za maji,za mche,za unga kwa ajiri ya kufulia nguo na usafi mwingine wa kawaida, lakini pia natengeneza Window Cleaner,n.k hizo ni baadhi tu ya bidhaa nnazo tengeneza ziko nyingi.
CHANGAMOTO ILIYOPO
1.A.katika usafi na kufua nguo
Hapo ni suala la mtaji wa kuweza kuji brand, kulipia matangazo, gharama za kutengenezea fliers, posters n.k
Hivyo vyote vina hitaji pesa maana ni vitu vinavyo tumika katika marketing na mategemeo ama matokeo si ya muda huo huo ina hitaji muda kwahyo ukiwekeza pesa ikiwa huja imarika kiuchumi una tumia pesa nyingi ambayo hairudi mapema.
B.Soko
Huduma nnayo toa kwa upande wangu niya viwango vya juu swala la kuto julikana limeniathiri kwa kiasi kikubwa hasa kutokana na kuto weza afford gharama za matangazo, gharama za vipeperushi, gharama za vifaa vya ofisini n.k japo natumia Digital marketing ina matokeo kiasi.
C.Wafanya kazi
Kampuni kwa kuwa mpya ni changamoto kupata watu sahihi wa kufanya nao kazi kwa kiwango kile nnacho taka hasa watu wa marketing.
Nili tangaza nafasi ya Volunteer marketing development officer na nika weka wazi kuwa kampuni ni mpya kwahyo hata kama ni volunteer kuna malipo ambayo yata tegemea kiwango cha kazi yake yeye pamoja na team yake ya marketing walicho fanya katika kutafuta tenda.
Wapo baadhi walikuja lakini wali ishia tu kutoa sababu kila mmoja alivo ridhika yote hiyo ni kutokana na uchanga wa kampuni pili swala la malipo.
UHALISIA WA SOKO
Mpaka sasa napambana mwenyewe katika sales and marketing na soko napata kwa kiasi japo si kwa ukubwa kulingana na kuwa nafanya kazi nikiwa mwenyewe bila team maana vijana wengi walio na elimu zao hawataki kuanzia chini "so am still fighting" soko lipo sana ila pesa nyingi inaishia kwenye kulipia frem ya ofisi na nyumba niliyo weka machine za kufulia pia kulipa wafanya Kazi wa usafi na Secretary ndo watu nilio nao mpaka sasa.
MAFANIKIO
Mafanikio yapo kwa kiasi kulingana na namna nilivo kwa sasa maana wateja napata na mahitaji ya kuweza kukidhi matumizi/gharama za uendeshaji japo ni kwa kiasi bado mengi sija fanikiwa kuya fikia.
Hapa chini ni mfano wa kazi zetu katika masink,Tiles,Sofa n.k picha za kabla na baada ya kusafisha pamoja na ubora wa dawa nnazo tengeneza maana kwa sasa dawa za usafi siuzi isipo kuwa natumia mwenyewe kwenye shughuri zangu mwenyewe za usafi kutokana na mtaji nilio nao si mkubwa sana
View attachment 1711766
View attachment 1711769
View attachment 1711770View attachment 1711771View attachment 1711772

View attachment 1711774
Pia najihusisha na Fumigation pamoja na kutengenezea dawa hizo za fumigation (Fumignts)
 
Siku hizi wenye pesa wanasaka kuiba mawazo, ya wenye mawazo lakini pesa hawana...
Kweli mkuu,hata mtu aki iba wazo bila kushirikiana na mwenye wazo hata fanikisha lengo kama ilivo kwa mwenye wazo namna alivo jipanga japo hana pesa
 
Wazo zuri sana.kabla sijaku pm,kwamfano kama nikiamua kushirikiana na ww ni jwa vp na mm nitapata faida?Lets say nikainvest 500k?
 
Hao watu unaowasema wanapesa hawana wazo la biashara ni wajinga sana...hawajui uhalisia wa biashara wanadhani ni kama mshahara tu unavyoingia maana wengi ni waajiriwa (simaanishi waajiriwa ni wajinga).Ndo maana utashangaa kuna baadhi ya nyuzi humu mtu anauliza mtaji wa milion 1 anataka biashara ya kuingiza faida laki kwa siku. Kwahiyo hawa watu wenye mitaji sishauri kabisa muambatane nao mtazinguana akuone mwizi tu. Nashauri mtu ukomae mdogomdogo hata kwa kukopa kama unauhakika ya enough sales.
 
NAMTAFUTA MTU NIMPE PESA AWEKE DHAMANA YA ISIYOHAMISHIKA KILA SIKU AWE ANANIPATIA 30 000 KWA KILA SIKU KWA KIASI CHA MILIONI MBILI NITAKAZOMPATIA MKATABA MIEZI SITA kwa wanaojua kuzungusha fedha fasta pekee
 
Hao watu unaowasema wanapesa hawana wazo la biashara ni wajinga sana...hawajui uhalisia wa biashara wanadhani ni kama mshahara tu unavyoingia maana wengi ni waajiriwa (simaanishi waajiriwa ni wajinga).Ndo maana utashangaa kuna baadhi ya nyuzi humu mtu anauliza mtaji wa milion 1 anataka biashara ya kuingiza faida laki kwa siku. Kwahiyo hawa watu wenye mitaji sishauri kabisa muambatane nao mtazinguana akuone mwizi tu. Nashauri mtu ukomae mdogomdogo hata kwa kukopa kama unauhakika ya enough sales.
Kweli kabisa mkuu wazo zuri sana
 
Hapo mkuu kwa upande wangu wazo langu la biashara nililo nalo ambalo pia naendelea nalo kukufanyia kazi na mpaka sasa nime fungua na kampuni inayo fanya hizo shughuri nna business Ideas 3

1.Usafi wa aina zote
Najihusisha na usafi wa mazingira yote kwa ujumla ambapo pia nafanya usafi kwa uchafu sugu ulio shindikina mfano Masink yaliyo fubaa, Tiles zilizo fubaa Sofa zenye uchafu sugu n.k
Hivyo ni baadhi tu na hapo nang'arisha na kurudisha hari ya upya.
2.Laundry business
Hapo nafanya shughuri ya kufua nguo,viatu, mabegi,mashuka n.k kwa machine
3.Uzalishaji wa bidhaa za usafi
Hapo natengeneza dawa za kung'arisha masink,Tiles zilizo fubaa, Sofa zenye uchafu sugu, dawa ya kung'arisha nguo nyeupe na za rangi zilizo fubaa ama kuwa na madoa sugu pamoja na viatu,pia natengeneza sabuni za maji,za mche,za unga kwa ajiri ya kufulia nguo na usafi mwingine wa kawaida, lakini pia natengeneza Window Cleaner,n.k hizo ni baadhi tu ya bidhaa nnazo tengeneza ziko nyingi.
CHANGAMOTO ILIYOPO
1.A.katika usafi na kufua nguo
Hapo ni suala la mtaji wa kuweza kuji brand, kulipia matangazo, gharama za kutengenezea fliers, posters n.k
Hivyo vyote vina hitaji pesa maana ni vitu vinavyo tumika katika marketing na mategemeo ama matokeo si ya muda huo huo ina hitaji muda kwahyo ukiwekeza pesa ikiwa huja imarika kiuchumi una tumia pesa nyingi ambayo hairudi mapema.
B.Soko
Huduma nnayo toa kwa upande wangu niya viwango vya juu swala la kuto julikana limeniathiri kwa kiasi kikubwa hasa kutokana na kuto weza afford gharama za matangazo, gharama za vipeperushi, gharama za vifaa vya ofisini n.k japo natumia Digital marketing ina matokeo kiasi.
C.Wafanya kazi
Kampuni kwa kuwa mpya ni changamoto kupata watu sahihi wa kufanya nao kazi kwa kiwango kile nnacho taka hasa watu wa marketing.
Nili tangaza nafasi ya Volunteer marketing development officer na nika weka wazi kuwa kampuni ni mpya kwahyo hata kama ni volunteer kuna malipo ambayo yata tegemea kiwango cha kazi yake yeye pamoja na team yake ya marketing walicho fanya katika kutafuta tenda.
Wapo baadhi walikuja lakini wali ishia tu kutoa sababu kila mmoja alivo ridhika yote hiyo ni kutokana na uchanga wa kampuni pili swala la malipo.
UHALISIA WA SOKO
Mpaka sasa napambana mwenyewe katika sales and marketing na soko napata kwa kiasi japo si kwa ukubwa kulingana na kuwa nafanya kazi nikiwa mwenyewe bila team maana vijana wengi walio na elimu zao hawataki kuanzia chini "so am still fighting" soko lipo sana ila pesa nyingi inaishia kwenye kulipia frem ya ofisi na nyumba niliyo weka machine za kufulia pia kulipa wafanya Kazi wa usafi na Secretary ndo watu nilio nao mpaka sasa.
MAFANIKIO
Mafanikio yapo kwa kiasi kulingana na namna nilivo kwa sasa maana wateja napata na mahitaji ya kuweza kukidhi matumizi/gharama za uendeshaji japo ni kwa kiasi bado mengi sija fanikiwa kuya fikia.
Hapa chini ni mfano wa kazi zetu katika masink,Tiles,Sofa n.k picha za kabla na baada ya kusafisha pamoja na ubora wa dawa nnazo tengeneza maana kwa sasa dawa za usafi siuzi isipo kuwa natumia mwenyewe kwenye shughuri zangu mwenyewe za usafi kutokana na mtaji nilio nao si mkubwa sana
View attachment 1711766
View attachment 1711769
View attachment 1711770View attachment 1711771View attachment 1711772

View attachment 1711774
Ungejiunga na SACCOS changamoto ya mtaji ingeisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom