passport

  1. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo: Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma

    Bunge limepitisha bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Waziri mwenye dhamana, Dkt Selemani Jafo akisema hoja ya kutaka kurejesha utaratibu wa watu wa Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma. Jafo amesema hayo jana Jumanne Aprili 23, 2024 akitoa...
  2. Mpatuka

    JamiiForums Tanzania Msaada Passport ya kusafiria

    Kuna yeyote hapa ambaye amekutana na tofauti kati ya taarifa zilizopo kwenye cheti cha kuzaliwa na zile za kwenye NIDA? Hasa sehemu ya kuzaliwa zinatofautiana? Ninauliza kwa sababu nataka kufuatilia upatikanaji wa pasipoti na nina wasiwasi juu ya taarifa sahihi zinazohitajika na uhamiaji."
  3. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Anayesimamia utoaji wa Pasi za kusafiria (Passport) embu alegeze, watu wanateseka sana

    Kwako Ndugu Kamishna wa Uhamiaji Mamayetu Pls kitengo cha uhamiaji upande wa passport embassy fanya marekebishooo Leo niliamua kuadhimisha miaka 3 ya mama samia kwa aunt yangu Nimepata muda wa kuangalia sifa na baadhi ya malalmiko yaliyotolewa na wananchi Katika tv mbili tofauti wananchi...
  4. Emery Paper

    JamiiForums Tanzania Msaada kujaza fomu ya passport online

    Habari zenu wakuu ? Niko hapa najaza fomu ya kuomba Passport online. Nimefika hii hatua natakiwa nijaze dhumuni la safari na maelekezo yanasema ni lazima kujaza. Sina safari yoyote bali nahitaji tu kuwa na passport. Kwa wenye uzoefu natokaje hii hatua ? Nashukuruni sana kwa msaada wenu.
  5. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Nashauri kuwa na Passport iwe ni sharti la lazima mtu kuanza chuo au kufungua biashara. Hili ni dogo sana kwa Rais wetu

    Passport ni kitu muhimu sana. Lakini ukisikiliza ni malalamiko ya watu wengi kuwa upatikanaji wake ni mgumu. Kutokuwa na passport ni moja ya sababu watanzania wengi kukoswa grobal mentality. Wengi mambo yakiwa magumu wanafikilia kurudi vijijini badala ya kutafuta fursa nje ya nchi. Kigezo eti...
  6. Zekoddo

    JamiiForums Tanzania App ambayo inaweza kunisaidia kubadilisha picha ya kawaida kuwa passport size yenye Blue color background

    Naomba kujuzwa Application inayoweza kuniwezeaha kubadili picha ya kawaida na kuwa passport size
  7. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Nimekwama kujaza fomu ya passport. Naomba msaada wakuu

    Baada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa: 7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu. 9. Shuhuda kwa mwombaji: Naomba kufahamu kama huyo shuhuda ni ndugu au Ni mwajiri au Ni hakimu au...
  8. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuwa na Passport uondolewe, tutumie vitambulisho vya uraia badala yake

    Nadhani muda muafaka sasa umefika kwa nchi zote duniani kuaga passport na mambo ya kustamp stamp na tuwe na kakadi tu kama national ID and info ukiingia nchini za watu zinarekodiwa digitali rather than hivi vitabu vya kurenew kila baada ya muda fulani, ambavyo kama unasafiri safiri sana in a...
  9. Mparee2

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kurenew passport ziangaliwe upya

    Napendekeza passport ikiisha muda wake au kujaa; mtu apewe nyingine kwa taratibu rahisi kwa sababu anafahamika na sio kuanza mlolongo wa maombi mapya kama mtu ambaye hajawahi kumiliki passport Nafikiri mtu angetakiwa tu awakilishe copy ya NIDA na pengine kuwepo na fomu rahisi ya kujaza vile...
  10. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Graduate wa chuo, tafuta documents zifuatazo omba passport ya kusafiria nenda Ulaya ukapate ramani ya maisha yako

    Mchanganuo wa Nyaraka za zinazohitajika kwa anayetafuta Pasipoti ya Kusafiria Kwa Safari ya Ulaya na Kuweka Mipango ya Maisha. Kabla ya kuanza safari yako ya Ulaya na kuanza hatua mpya ya maisha yako, unahitaji kuwa na nyaraka sahihi zinazohitajika wakati wa kuomba pasipoti ya kusafiria. Hizi...
  11. Namora

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata Pasi ya kusafiria

    Wakuu naombeni mwongozo wenu tafadhali, nilikua nafatilia pasi ya kusafiria (International Passport) kidogo nimekumbsna na vikwazo. Mimi niko mkoani huku (Chuganian) Nimejaribu kuulizia uhamiaji wa hapa nimeelezwa niwe na: Cheti cha kuzaliwa (Ninacho) Namba za Nida (ninazo) Cheti cha kuzaliwa...
  12. Jicholamwewe

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini nipate hati ya kusafiria baada ya haya mazingira kujitokeza?

    Nahitaji msaada wakuu nisaidieni yeyote anayefanya kazi uhamiaji kurani au anamfaham MTU yuko pale naomba msaada wenu kuna MTU anataka kuzima ndoto zangu. Nilipata mishe nje hivyo nikaenda kuomba passport. Lakini mzazi hakupenda jambo hili.nilipoenda nikaambiwa niwape namba ya mzazi wamhoji bas...
  13. Kitchener

    JamiiForums Tanzania Hii video ndiyo iliyomfanya Askofu Kakobe anyang'anywe passport?

    Jamaa ameumizwa sana kwasababu tu alitaja Tanganyika. Imagine, tangu enzi Wazanzibar wapo huru kujivunia Zanzibar na kupigania Zanzibar, wana serikali yao, bunge lao, lakini mtu wa Bara akitaja Tanganyika anachokutana nacho ni hatari tupu. Hutakiwi kujiita mtanganyika, ila wengine wajiite tu...
  14. LeBoss

    JamiiForums Tanzania Nimepata pasi ya kusafiria (Electronic passport)

    .
  15. R

    JamiiForums Tanzania Kadi ya NIDA inakitu gani special hadi iwe ngumu kuprint kiasi hiki? Passport na NIDA kipi kigumu kuchapisha?

    Passport ya Tanzania unapata ndani ya siku moja baada data kuingizwa kwenye mtambo. Benki kadi unapata ndani ya masaa kadhaa, najiuliza hii kadi ya NIDA ina teknolojia gani ngumu hadi ukae mwaka bila kuprint kitambulisho? Lakini kama wenye namba ya NIDA wanapata huduma zote kwanini tunaamini...
  16. P

    JamiiForums Tanzania Napaswa kurudisha Passport kwa kuwa nimeshindwa kusafiri?

    Kuna wakati nilipata nafasi ya masomo nje. Nikatafuta passport. Mwishowe nikashindwa kwenda masomoni kwa sababu Fulani. Kama utaratibu kuwa na sababu ya kusafiri ndo upewe, hainibidi kuwarudishia? Maana sikusafiri. Just thinking loudly.
  17. GoldDhahabu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya Tupeni Uzoefu Wenu Kuhusu Passport

    Kwa Tanzania, sharti uwe na safari ndiyo utapewa pasi ya kusafiria(passport). Utaratibu ukoje Kenya?
  18. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Serikali inafahamu kuwa kwa kuwapatia watu wake passport kunaweza kuwahamasisha kutafuta fursa nchi zingine?

    Mwanzoni mwa mwaka huu, nilienda Mutukula kufanya manunuzi ya vitu fulani. Niliamua kuvifuata huko kwa sababu niliamini bei ni nafuu zaidi kuliko nilikokuwa. Kuna wafanyabiashara wanaofuata mizigo yao huko. Ikiwa wao wanafuata huko na kuja kutuuzia tuliko, nilijua, kwa vyo vyote, bei ingekuwa ni...
  19. Katkit

    JamiiForums Tanzania MWAMPOSA: Kama huna Passport wewe ni mtu usiyejielewa

    Bwana asifiwe, Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
  20. Mona_tz

    JamiiForums Tanzania Msaada: Huwa inachukua muda gani kupata passport baada ya kukamilisha taratibu zote za maombi?

    Naomba msaada. Mimi niliomba passport ya kusafiria trh 30/03/2023 pale ofisi kuu ya Uhamiaji Kurasini. Nilimaliza taratibu zote za malipo, kupiga picha, Fingerprint na yule ofisa wa Uhamiaji akanambia niende kuchukua passport yangu trh 13/04/2023 cha ajabu nimeenda nimeambiwa tena bado haijatoka...
Back
Top Bottom