Jiko Koa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 228
- 763
Baada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa:
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu.
9. Shuhuda kwa mwombaji:
Naomba kufahamu kama huyo shuhuda ni ndugu au Ni mwajiri au Ni hakimu au Ni afisa wa uhamiaji.
Je, siku ya kuwasilisha fomu Ofisi ya uhamiaji napaswa kwenda na shngapi?
Na je napaswa kuwasilisha fomu Ofisini siku ngapi baada ya ku download ( yaani isizidi siku ngapi)?
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu.
9. Shuhuda kwa mwombaji:
Naomba kufahamu kama huyo shuhuda ni ndugu au Ni mwajiri au Ni hakimu au Ni afisa wa uhamiaji.
Je, siku ya kuwasilisha fomu Ofisi ya uhamiaji napaswa kwenda na shngapi?
Na je napaswa kuwasilisha fomu Ofisini siku ngapi baada ya ku download ( yaani isizidi siku ngapi)?