paka

  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa jinsi zilivyo rahisi kupatikana mwakani nategemea kuwatunuku Mbwa na Paka wangu PhD's za Utiifu Kwangu

    Kwakuwa Siku hizi kupatikana kwa PhD's ( Doctorates ) ni rahisi nchini Tanzania mwakani GENTAMYCINE nami najiandaa Kukiomba Chuo Kikuu Kimoja ( siyo cha Genius cha SAUT ambacho nimesoma na Kupikika vyeka ) kuwatunuku ambapo nitalipia pia Mbwa wangu Kipenzi aitwae Baitekon na Paka wangu Rafiki...
  2. Kinyungu

    JamiiForums Tanzania Ukiweza kuona watu 7 na Paka...

    Je, unaweza kuona sura za watu 7 na paka 1 kwenye hii picha? Kama unaweza akili yako iko vizuri?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mbowe: Mchezo wa Paka na Panya kwa Maslahi ya nani?

    Ni mshangao mkubwa haya kutokea kwa upande wa serikali yenye kupaswa kuupata uhalali wake kutokea kwa wananchi wanaoilipa kodi. Ni mshangao mkubwa zaidi kuwa walioko huko serikalini tunaowalipa mishahara na marupurupu wanaweza kufikia kucheza na haki za wananchi kwa kiwango hiki. Kwamba...
  4. BAKIIF Islamic

    JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyeadhibiwa adhabu kali ya moto kwa ajili ya kumtesa Paka

    Paka ni jamii ya wanyama wadogo, na mara nyingi hujulikana kama paka wa kufugwa ili kumtofautisha na wanyama wa mwituni. Paka anaweza kufugwa kama paka wa nyumbani, paka wa shambani au paka wa porini (Kimburu) ambaye yupo huru na huepuka kuwasiliana na binadamu. Paka wa nyumbani huthaminiwa na...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania watu huhusisha paka, bundi na fisi na uchawi tofauti na Ulaya?

    Kwanini Tanzania watu wengi huhusisha viumbe mfano wa paka, bundi na fisi na uchawi? Ulaya viumbe hawa ni marafiki wa karibu sana wa binadamu. Naomba jibu.
  6. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Paka kuchukuliwa kama mwanafamilia kwa kutengewa bajeti yake, inakubalika?

    Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi. Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge. Kimbembe kipo huku mama yao (mke...
  7. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Kitendawili: Paka aliyesuka mabutu, nyoka mwenye hereni na panya mwenye T.B

    Jibu ni Mr.Ebo !
  8. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Paka shume anasubiri biriani ya IMF ipakuliwe, walengwa kalagabaho

  9. Ramon Abbas

    JamiiForums Tanzania Twende na Paka kauzu, unaukumbuka msemo gani unaoendana na huyu paka?

    Weka kauli yoyote ambayo uliwahi kuiona inayoendana na huyu paka kauzu
  10. Environmental Security

    JamiiForums Tanzania Hekima ya kupambana na paka (nyau): nashauri itumike zaidi

    Habarini, Kuna hekima ya Kiafrika ya namna ya kumdhibiti paka na kumpiga akiwa kakosea, awe ni paka wako au wa jirani. Wazee wa Kiafrika wanashauri kuwa ukifanikiwa kumdhibiti paka ndani ya chumba na mkononi una kiboko mujarabu kwa ajili ya kumpa kichapo na mlango na madirisha yamefungwa...
  11. Petro E. Mselewa

    JamiiForums Tanzania Paka wakamata panya wanauzwa

    Paka wenye umri wa miezi miwili ambao ni wa asili na wakamata panya mahiri wanauzwa. Wako watatu. Kila mmoja ni shilingi elfu arobaini. Wanapatikana Survey hapa Dar es Salaam. Wale wote mnaokabiliwa na tatizo la panya majumbani mwenu hapa Dar na kwingineko wahini hii fursa ya kumaliza tatizo...
  12. Grau

    JamiiForums Tanzania Sumu gani inaua mbwa au paka haraka?

    Samahani naomba mnisaidie ni sumu ipi inaua mbwa maana wanakula vifaranga na wanaingia ndani kula mayai, nilimtega kwa sumu ya panya anapeta tu mtaani Nahitaji msaada wenu maana nikimuacha atamaliza kuku wangu.
  13. Vhagar

    JamiiForums Tanzania Nionyesheni paka hapa

    Happy sababa day. Kuna vocha hapa zungushia duara ukimuona.
  14. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Paka wa nyumbani kafia miguuni mwangu; kuna cha kuhofia katika ulimwengu wa kiroho?

    Nyumbani kwangu hapa naishi na mke na watoto wangu wawili pamoja na binti wa kazi na ndugu wawili. Sasa kuna kipindi kuna paka mdogo alikutwa maeneo ya karibu na mtoto wangu basi mtoto wangu huyo akamleta. Ni kipaka cheupe chenye madoa ya brown kwa mbali, kilikuwa kidogo sana, Binafsi...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel lahuzunika sana kulikosakosa gaidi la Hamas lenye roho Tisa kama ya paka

    Akizungumza kwa masikitiko sana mkuu wa majeshi wa Israel southern command Eliezer Toledano amesikitika kwa kumkosa kumuua mara mbili wiki iliyopita gaidi bishi la Hamas Mohammed Deif, 55 pichani hapo chini. Deif ambaye ni gaidi zoefu ameponea na kukoswakoswa kuuawa mara kadhaa 2011, 2013...
  16. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Malenga wa Kibiti asema," Tangu paka kaondoka, panya nyumba watawala"

    Paka kiwepo pahala,panya hawana pirika, Pale kakamata dola, panya wanadhoofika. Mashimoni wanalala, kero tunapumzika. Tangu paka kuondoka,panya nyumba watawala. Paka walikuwa jela,kifungo walifungika, Wakawa si wa kitala,midomo walifungika. Kuondoka wa kuwala,jikoni ni patashika, Tangu paka...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Nani atafunga paka Kengele - Ndani ya CCM si shwari tena

    Ndani ya uongozi wa juu wa CCM hali si shwari tena, kumetibuka vumbi hawaonani na kila mmoja anamtazama Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Unguja. Kamera nyingi zimewanasa viongozi wa CCM serikalini walio ndani ya Serikali ya Samia Suluhu, wakiwa wamemtolea mimacho kama waliopigwa...
  18. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Labda mnielimishe nyie, sioni faida ya paka ambae mke anamgharamia sana bila faida

    MUHIMU: PICHA HII SIO YA PAKA WA HAPA KWETU Hapa kwangu napoishi tuna paka, Sio mimi niliemleta bali ni mke wangu. Hatuna tatizo la panya kwa hio bado sielewi paka anahitajika wa nini. Kuna jirani ana fuga ngombe huwa anatuuzia maziwa nyumba chache, Mke wangu alilipia ujazo wa ziada...
  19. S

    JamiiForums Tanzania WARIOBA asema kweli - Hakuna atakayeweza kumfunga Paka kengele

    Kwa aliemsikiliza Jaji warioba atakuwa ameupata ukweli wa hatari inayoikabili Tanzania huko tuelekeako. Chains au minyororo au tuseme links zile zilizomfanya na kuwafanya CCM waibuke na ushindi kuanzia diwani mpaka Raisi ni mchezo hatari unaoweza kuipeleka nchi katika shida. Kwa mara ya kwanza...
  20. Superbug

    JamiiForums Tanzania Natamani kumla paka wangu nione ladha yake

    Paka Ni viumbe wapole wazuri ila ukimtibua utajuta. Kutokana na kuishi na watu wa Jamii mbalimbali duniani Kuna vyakula natamani kuvila ila naona sitaonekana wa kawaida. Moja ya kitu ninachotaka kukila ni paka wangu ila dhamiri inanisuta. Najiuliza atakuwa na utamu Kama wa sungura au? Kumala...
Back
Top Bottom