GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,925
Kwakuwa Siku hizi kupatikana kwa PhD's ( Doctorates ) ni rahisi nchini Tanzania mwakani GENTAMYCINE nami najiandaa Kukiomba Chuo Kikuu Kimoja ( siyo cha Genius cha SAUT ambacho nimesoma na Kupikika vyeka ) kuwatunuku ambapo nitalipia pia Mbwa wangu Kipenzi aitwae Baitekon na Paka wangu Rafiki aitwae Jaiforey.
Na kwa Kuanzia tu nimeamua Kuvipendekeza Vyuo Vikuu vya UDOM na Chuo Kikuu Huria japo natamani pia nikipendekeze hata na UDSM lakini bado sijafanya Maamuzi yangu Kamili.
Kikubwa nitaomba tu Ushirikiano wao!!
Na kwa Kuanzia tu nimeamua Kuvipendekeza Vyuo Vikuu vya UDOM na Chuo Kikuu Huria japo natamani pia nikipendekeze hata na UDSM lakini bado sijafanya Maamuzi yangu Kamili.
Kikubwa nitaomba tu Ushirikiano wao!!