sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje