Wakati huu ambao dunia inapitia wakati mgumu kutokana nchi nyingi kukumbwa na janga la ugonjwa wa corona, ambao umeathiri kwa kiasi kikubwa shuguli nyingi za binadamu Kama vile shule na vyuo kufungwa.
Ningependa kutoa ushauri kwa ndugu zangu hususani wanachuo na wanafunzi kuhutumia muda huu...