Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,503
Habari JF
Kuna binti niko naye kwenye mahusiano kwa kipindi kama cha miezi 3
Sasa kiukweli mimi nampatia vitu baadhi ambavyo viko katika ndani ya uwezo wangu takribani kama wiki 8 hivi.
Sasa Mimi huyu binti simpendi ila ndo hivyo kama mnavyojua mapenzi yanakuaga hayana Ujanja. Hivyo basi Mimi uyu binti ananipenda at the great extent lakini mimi bado na ile sitaki nataka.
Sasa naomba mnipe advice, njia bora yakuachana naye kimya kimya ili nisimuumize moyo.
Kitu cha mwisho sitaki kuweka maisha yangu kwenye hatari kwasababu huyu ni mtoto wa mtu Flani mzito Serikalini japo vitu vidogo vidogo nilikuwa nampatia.
NB: Nimeishi Mara 1 tu
Kuna binti niko naye kwenye mahusiano kwa kipindi kama cha miezi 3
Sasa kiukweli mimi nampatia vitu baadhi ambavyo viko katika ndani ya uwezo wangu takribani kama wiki 8 hivi.
Sasa Mimi huyu binti simpendi ila ndo hivyo kama mnavyojua mapenzi yanakuaga hayana Ujanja. Hivyo basi Mimi uyu binti ananipenda at the great extent lakini mimi bado na ile sitaki nataka.
Sasa naomba mnipe advice, njia bora yakuachana naye kimya kimya ili nisimuumize moyo.
Kitu cha mwisho sitaki kuweka maisha yangu kwenye hatari kwasababu huyu ni mtoto wa mtu Flani mzito Serikalini japo vitu vidogo vidogo nilikuwa nampatia.
NB: Nimeishi Mara 1 tu